T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Jilipue kiongozi, si ndio mlitaka muambiwe hivo. Kama hii nchi ni ya kikatoliki peleka mapoumbou yako Saudi Arabia uone kama vichwa maji wanaruhusiwa kuishi uko.utaifa gani na nchi hii niyakikatolic period.
Mzee inawezekana shekh mselem Hans hulka hio ya kufanya vurugu Ila Kuna waliosikia mawaidha yake huko Zanzibar wakaenda fanya waliyoyataka hayo huweza kuwa yamesababishwa na kichocheo Cha mawaidha ya shekh japo kila mtu kafanya kwa utashi .Ebaeban,
Sheikh Mselem au Muislam yeyote yule hawezi kufanya hayo.
Wamekuwa gerezani kwa miaka 9 shutuma za ugaidi zimeshindwa kuthibitishwa.
Naona umeanza mchochea Moto huyo sheikh FaridAnaejua nini zaidi? Mimi nisingetoa statement ya kizembe namna ile.
Tunapigania kupunguza manguvu dhalimu ya serikali kwenye vi nchi vyetu vichanga vya kidikteta hivi, tumewasapoti miaka 9, tukiamini kuwa wameonewa kwa kosa la kutoa maoni ya kisiasa, whether hatuyakubali au tunakubaliana na kuvunja Muungano. Hawakutakiwa kufungwa miaka tisa.
Anatoka anasema oooh yamekwisha, furaha itoshe tumetoka, tusishindane na mwenye nguvu. Tushukuru tumetoka.
Wanaharakati wetu wa dunia ya tatu maskini ya Mungu, very uchwara. I hope Sheikh Farid does not subscribe to this man’s crap.
Alikosea wapi kuzungumza mkuu?Daaaah....
I hope and pray Sheikh Farid hakubaliani na hiki kituko cha huyu mtu.
Ana elimu gani huyu shehe? Hayuko media savvy kabisa. Sio kila swali la kila ki You Tube TV kinachokimulika lazima ujibu.
Mmepigania nchi mkarushiwa risasi jukwaani, mkafungwa miaka tisa, hata kama huna nia ya kuendelea na mikutano kwa sasa huna haja ya kutamka mambo ya kishehe ubwabwa namna ile.
nchi hii ni ya kikatoliki kama unao ushahidi mwengineo uleteHekima ni kitu adhimu DUNIANI.
Busara ni kitu adhimu DUNIANI.
Kuishi katika taifa bora Kama hili la TANZANIA ni jambo la kumshukuru sana MWENYEZI MUNGU 🙏.
Nchi hii isiyoendeshwa KIDINI.
Nchi hii isiyo na vita vya KIDINI,RANGI NA KIKABILA.
Nchi hii yenye kutoa UHURU WA KUABUDU NA KUTENGAMANA NA WENGINE KIUCHUMI ,KISIASA NA KIJAMII bila ya UKANDA NA UKABILA.....
Tuendelee tu KUULINDA umoja wetu kama watanzania......
#NchiKwanza
#JMTKwanza
#KaziInaendelea
mzee inaonesha ulikuwa ume overdose ya cocaine hivi hukusikiya mwaka jana watu waliouliwa pemba wapatao 20 na wanawake kubakwa na kina jusa kuvunjwa miguu ndio nikakwambia uwache cocaine bora urudie ile bangiMzee inawezekana shekh mselem Hans hulka hio ya kufanya vurugu Ila Kuna waliosikia mawaidha yake huko Zanzibar wakaenda fanya waliyoyataka hayo huweza kuwa yamesababishwa na kichocheo Cha mawaidha ya shekh japo kila mtu kafanya kwa utashi .
Sababu ya hao UAMSHO kuwekwa ndani kipindi kile Ni kutokana na kukithiri kwa matukio ovu ya uchomaji makanisa na kushambulia makasisi wa kanisa huko Zanzibar .
Unaweza jiuliza miaka yote wakiwa ndani mbona Zanzibar ilikuwa tulivu .!?hatukusikia matukio ya kishenzi Kama ya kipindi kile .
Unaweza kuwa unawatetea waislamu kwa jasho na damu lakini usitetea njia ovu kwa kofia ya dini ni haramu zaidi ya kula kitimoto.
Wasalaam
Tus
Hakuna mahakama iliyosema shutuma zimeshindwa kuthibishwa. Wewe ni mtu mzima na msomi mzuri sana tena mjuvi wa mambo unaelewa kabisa DPP anayo haki na mamlaka kikatiba kuondoa kesi mahakamani pale anapoona hana haja na hiyo kesi tenaEbaeban,
Sheikh Mselem au Muislam yeyote yule hawezi kufanya hayo.
Wamekuwa gerezani kwa miaka 9 shutuma za ugaidi zimeshindwa kuthibitishwa.
Leo Kanisa limegubikwa na tatizo la ushoga.
Hatuwezi kusema kuwa haya ni mafunzo ya Yesu Kristo.
Halikadhalika tunalo tatizo kubwa la ugaidi hatuwezi kusema hayo ni mafunzo ya masheikh.
We sema nina chuki ama vipi, ila waambie "WASIRUDIE TENA"!Inaonekana UMEUMIA SANA!
Acha chuki utapata nafuu!
Jombaaaa umetoa bonge la point. Ila Ni wachache wenye kutafakari.Kati yako wewe na yeye nani anaejua zaidi? Yeye na wenzie ndio waliokuwa mstari wa mbele kupigania wanachokijua huku wameshikana mikono, unaweza vipi kumpinga mwalimu wako wewe shabiki tu.
Yaliyomfika huko alikokuwa kwa miaka tisa yamemfunza asirudie kushindana na mwenye nguvu zaidi yake, kama kuipigania "Zanzibar yao" hiyo Zanzibar yao walipewa na nani? au waliinunua wapi? na kwanini wao kuipigania "Zanzibar yao" kusababishe waumie wengine ambao hawahusiki?
Ile Zanzibar ninayoijua mimi ni ya wote, hakuna mwenye Zanzibar yake pale, ule waliofanya ulikuwa ni ulevi tu wa ubinafsi na mihemko uliowasababishia matatizo, sasa mwenzako anakiri alikosea, wewe bado unataka umrudishe alikotoka wakati akiteseka kule wewe ulikuwa nyumbani na familia yako unakunywa chai na vitumbua.
Wasingepamatwa..bila shaka upelelezi ulifanyika ndiyo wakakamatwa.Haujapatikana ushahidi wowote katika suala la ugaidi.
Hadi leo toka sheria kupitishwa hakuna mtu yeyote aliyehukumiwa kwa kosa hili.
Mm muislam ila ile mihadhara yao, walichanganya DINI na siasa dhahiri wa shahiri. Binafsi nilitamani waozee ndani maisha yao yote kwa upuuzi ule.Ebu toa ushaidi Kama Kuna Clip waliwai kuhamasisha kuchoma makanisa????isiwe chuki tu za uislamu na waislamu
Kwani makanisa yalipochomwa Zanzibar, watalii kumwagiwa tindikaki wewe hukusikia? Hoja ya msingi matukio yalitendeka au hayakutendeka? Hoja ingekuwa nani alitenda huo uhalifu.Huo ushahidi wako kwa nini umekaa nao hadi magaidi wanatoka mkuu? Si ungeupeleka wangekuwa washafungwa?
Baada ya kushikiliwa yakakoma.Kwani makanisa yalipochomwa Zanzibar, watalii kumwagiwa tindikaki wewe hukusikia? Hoja ya msingi matukio yalitendeka au hayakutendeka? Hoja ingekuwa nani alitenda huo uhalifu.
Kwaiyo dini na siasa ni haramuMm muislam ila ile mihadhara yao, walichanganya DINI na siasa dhahiri wa shahiri. Binafsi nilitamani waozee ndani maisha yao yote kwa upuuzi ule.
Alikosea aliposema tusishindane na mwenye nguvu.Alikosea wapi kuzungumza mkuu?
Wengine waanamiaka 22, kipindi cha uamsho walikua Form 3 Wanajifunza what is biology kudiscuss nao unapoteza muda mkuu, hv huyu hakusikia mambo ya uamsho kusema watachinja polisi mara Zanzibar Dola ya Kiislamu isimameMkuu labda ulikuwa huangalii TV hawa JAMAA walikuwa wamejiaminisha Sana kiasi.cha kutamba kwenye vyombo vya habari hakuna anayewaweza, nikiri kwamba Shein na serikali yake iliwashindwa, nashukuru kipo walichojifunza
Clip zipo nyingi sana ni umegoma kukubali ukweliEbu toa ushaidi Kama Kuna Clip waliwai kuhamasisha kuchoma makanisa????isiwe chuki tu za uislamu na waislamu
Hiyo nchi yao walipewa na nani mpaka waidaiUmeandika ukweli ktk post 115, sio Wazanzibari wote wanao chukia Muungano.
Ila ni baadhi ambao hawana maslahi nao. Kama ni hivyo
Tumieni vyombo husika, waambieni Wawakilishi wenu waseme Bungeni, au serikalini.
Sasa hivi mnaye Mwinyi na Samia wote Wazanzibari.
Nendeni mkazungumze nao.
Na sio mbinu mlizotumia za kumwagia tindikali wageni, kuchoma Makanisa, kuchinja Polisi Nk.
Hiyo ni Vita na katika vita ukipigwa inabidi utulie.
Semeni mnadai nchi yenu kwa Vita au Amani ?