Sheikh Mselem: Tukiambiwa Hapana, tusishindane na mwenye nguvu

utaifa gani na nchi hii niyakikatolic period.
Jilipue kiongozi, si ndio mlitaka muambiwe hivo. Kama hii nchi ni ya kikatoliki peleka mapoumbou yako Saudi Arabia uone kama vichwa maji wanaruhusiwa kuishi uko.
 
Ebaeban,
Sheikh Mselem au Muislam yeyote yule hawezi kufanya hayo.

Wamekuwa gerezani kwa miaka 9 shutuma za ugaidi zimeshindwa kuthibitishwa.
Mzee inawezekana shekh mselem Hans hulka hio ya kufanya vurugu Ila Kuna waliosikia mawaidha yake huko Zanzibar wakaenda fanya waliyoyataka hayo huweza kuwa yamesababishwa na kichocheo Cha mawaidha ya shekh japo kila mtu kafanya kwa utashi .

Sababu ya hao UAMSHO kuwekwa ndani kipindi kile Ni kutokana na kukithiri kwa matukio ovu ya uchomaji makanisa na kushambulia makasisi wa kanisa huko Zanzibar .

Unaweza jiuliza miaka yote wakiwa ndani mbona Zanzibar ilikuwa tulivu .!?hatukusikia matukio ya kishenzi Kama ya kipindi kile .

Unaweza kuwa unawatetea waislamu kwa jasho na damu lakini usitetea njia ovu kwa kofia ya dini ni haramu zaidi ya kula kitimoto.

Wasalaam

Tus
 
Naona umeanza mchochea Moto huyo sheikh Farid

Usikute mwenzio saivi hana hamu ya kurudi alikotoka .
 
Alikosea wapi kuzungumza mkuu?
 
nchi hii ni ya kikatoliki kama unao ushahidi mwengineo ulete
 
mzee inaonesha ulikuwa ume overdose ya cocaine hivi hukusikiya mwaka jana watu waliouliwa pemba wapatao 20 na wanawake kubakwa na kina jusa kuvunjwa miguu ndio nikakwambia uwache cocaine bora urudie ile bangi
 
Ebaeban,
Sheikh Mselem au Muislam yeyote yule hawezi kufanya hayo.

Wamekuwa gerezani kwa miaka 9 shutuma za ugaidi zimeshindwa kuthibitishwa.
Hakuna mahakama iliyosema shutuma zimeshindwa kuthibishwa. Wewe ni mtu mzima na msomi mzuri sana tena mjuvi wa mambo unaelewa kabisa DPP anayo haki na mamlaka kikatiba kuondoa kesi mahakamani pale anapoona hana haja na hiyo kesi tena

Kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi haimaanishi makosa hayapo. Kuna Mambo mengi huchangia ikiwemo mwenendo na ushirikiano wa watuhumiwa wenyewe kwa vyombo vinavyohusika

Ikiwa kweli kwa miaka yote hiyo 9 waliwekwa kizuizini kwa kuonewa, hao ni watu wazima na waelewa wa mambo. Naamini wanaouwezo mkubwa kabisa wa kugoma kutoka mahabusu kushinikiza kesi yao isikilizwe na hatimaye hukumu isomwe

Na wafanya hivyo basi tuone Kama kweli mnahisi walionewa

Msiwapambe na kutaka kuwatakatifuza hao watu. Ukweli wa wao kuwekwa huru wanaujua wao na mamlaka zilizowaachia. Nyie wengine mtaendelea kupiga ramli tu

Wakafungue kesi za madai na majina yao yasafishwe basi tuone
 
Viongozi wa Kikristo wanapoungana na mashoga hutengwa na kukemewa na kanisa

Halikadhalika viongozi au mashekhe wanaohubiri na kuchochea vitendo vya kigaidi hawanabudi kutengwa na kukemewa na waumini na viongozi wa kiislamu. Hili kwa upande huu limekuwa ngumu badala yake huungwa mkono
Leo Kanisa limegubikwa na tatizo la ushoga.

Hatuwezi kusema kuwa haya ni mafunzo ya Yesu Kristo.

Halikadhalika tunalo tatizo kubwa la ugaidi hatuwezi kusema hayo ni mafunzo ya masheikh.
 
Jombaaaa umetoa bonge la point. Ila Ni wachache wenye kutafakari.

C ajabu huyo anayefosi kingi hata hajui dini yake inamuelekeza nini wakati kama huo, Ila shekh ameshastuka kuwa waliteleza
 
Ebu toa ushaidi Kama Kuna Clip waliwai kuhamasisha kuchoma makanisa????isiwe chuki tu za uislamu na waislamu
Mm muislam ila ile mihadhara yao, walichanganya DINI na siasa dhahiri wa shahiri. Binafsi nilitamani waozee ndani maisha yao yote kwa upuuzi ule.
 
Huo ushahidi wako kwa nini umekaa nao hadi magaidi wanatoka mkuu? Si ungeupeleka wangekuwa washafungwa?
Kwani makanisa yalipochomwa Zanzibar, watalii kumwagiwa tindikaki wewe hukusikia? Hoja ya msingi matukio yalitendeka au hayakutendeka? Hoja ingekuwa nani alitenda huo uhalifu.
 
Sawa zimeshindwa kuthibitishwa lkn wasiende tena kumwagia watu tindikali
 
Kwani makanisa yalipochomwa Zanzibar, watalii kumwagiwa tindikaki wewe hukusikia? Hoja ya msingi matukio yalitendeka au hayakutendeka? Hoja ingekuwa nani alitenda huo uhalifu.
Baada ya kushikiliwa yakakoma.
 
Mm muislam ila ile mihadhara yao, walichanganya DINI na siasa dhahiri wa shahiri. Binafsi nilitamani waozee ndani maisha yao yote kwa upuuzi ule.
Kwaiyo dini na siasa ni haramu
 
Alikosea wapi kuzungumza mkuu?
Alikosea aliposema tusishindane na mwenye nguvu.

Basi tusingedai himaya ya Mwingereza iondoke Tanganyika maana walikuwa na nguvu ya kutawala dunia.

Shehe Mselem ametoa kituko kikubwa katika historia ya uanaharakati duniani.

Amefungwa kidhalimu kwa kutoa maoni kuhusu Muungano, anatoka anasema ametosheka na furaha ya kutolewa jela, tusishindane na mwenye nguvu. Huko jela atakuwa amelishwa sumu ya kumpumbaza, zombified.
 
Mkuu labda ulikuwa huangalii TV hawa JAMAA walikuwa wamejiaminisha Sana kiasi.cha kutamba kwenye vyombo vya habari hakuna anayewaweza, nikiri kwamba Shein na serikali yake iliwashindwa, nashukuru kipo walichojifunza
Wengine waanamiaka 22, kipindi cha uamsho walikua Form 3 Wanajifunza what is biology kudiscuss nao unapoteza muda mkuu, hv huyu hakusikia mambo ya uamsho kusema watachinja polisi mara Zanzibar Dola ya Kiislamu isimame
 
Hiyo nchi yao walipewa na nani mpaka waidai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…