Sheikh Mselem: Tukiambiwa Hapana, tusishindane na mwenye nguvu

Sheikh Mselem: Tukiambiwa Hapana, tusishindane na mwenye nguvu

Tunawasubiri wimbo wao nitoke vipi watakuja agenda gani
 
Tangu walipowekwa gerezani ulishasikia makanisa yakichomwa moto? ulishasikia makasisi wakimwagiwatindikali na kuuwawa. Sasa subiri wajisahaurishe kama miaka 5 au sita hivi waanze moto wao wa kuwavutia kasi hawa watu wanaowaita Kamafiri, utasikia kanisa moto, mchungaji, padri at el, wanamwagiwa tindikali mara paaaap risasi. Dah mungu aingilie kati aiseee
Other,
Ikiwa unaamini hayo mimi siwezi kukulazimisha vinginevyo.
 
Miaka waliyokaa jela imewapa masomo mawili:
Either watakuwa wema sana au watakuwa wamekuwa wanyama hatari zaidi.
Usikute huko selo yame-recruit watu kibao kwenye hiyo imani kali yao!
Walikua hawachanganywi na WAFUNGWA wengine Boss.
 
Anaejua nini zaidi? Mimi nisingetoa statement ya kizembe namna ile.

Tunapigania kupunguza manguvu dhalimu ya serikali kwenye vi nchi vyetu vichanga vya kidikteta hivi, tumewasapoti miaka 9, tukiamini kuwa wameonewa kwa kosa la kutoa maoni ya kisiasa, whether hatuyakubali au tunakubaliana na kuvunja Muungano. Hawakutakiwa kufungwa miaka tisa...
Unajua kilichowakuta miaka yote hiyo, kwanini usilianzishe wewe ili tukusaport
 
Mashoga wapo sehemu zote ,unajua idadi ya waislam ambao ni mashoga ,akina aunt ally ?au unabwabwaja t

Dini hamzuii mtu kufanya uhalifu.
Detective,
Nilokusudia ni kuwa mtu asiwadhuru wengine kwa kusema kuwa hayo ndiyo mafunzo ya dini yake.

Ndiyo nikatoa mfano wa ushoga katika kanisa.

Hili ni tatizo kubwa kufikia sheria kupitishwa kuhalalisha ndoa za jinsia moja kufungishwa kanisani.

Lakini ukweli unajulikana kuwa hayo si mafunzo ya Yesu Kristo
 
Mwenye kutaka kuanzisha mihadhara ya kidini yenye kuendekeza mabishano yenye kuishia kwenye mifarakano na ajipange akijua hasara zilizopo kwa upande wake.
 
Kama mlitaka kuishi kidini, hizo nchi zipo, za kidini. Nendeni Somalia watawapokea.
Kule ni Uislamu mwanzo mwisho.
Ni kuswali tu na kuhiji na kufunga ramadhan.
Nendeni huko mkaishi mnavyopenda.
 
Walishitakiwa sababu ya mijumuiko ? Au kilichokuwa kinafanyika katika hayo majumuiko..., nadhani ili kujua kama wanaonewa au la!! inabidi tujue hicho wanachotaka kuambiwa hapana au ndio ni kufanya nini ?
Key,
Kwa muda mrefu Wazanzibari wamekuwa wakidai uhuru zaidi katika nchi yao.

Hili linaungwa mkono na Wazanzibari wengi na ndiyo sababu kuu upinzani umekuwa na nguvu kubwa Zanzibar.

Hali hii imepelekea CCM Zanzibar kushindwa kushinda chaguzi zote visiwani.

Chaguzu huru ilikuwa ni jinamizi.

Tatizo limekuwa likikua kila miaka ilivyozidi kwenda.

Matokeo yake ndiyo haya Wazanzibari wakajenga nguvu ya umoja wao kupitia Uamsho.

Wazanzibari waliamua kuileta dini yao kuongeza nguvu yao.

Hii ikawa "front" ya pili ya mapambano dhidi ya Tanganyika, nguvu ya kwanza ikiwa kupitia upinzani.

Bila ya kutafuta suluhu Wazanzibari hawataacha kuidai nchi yao.

Inaelekea ukweli huu sasa umewaamsha waliokuwa wanadhani wanaweza kutawala kwa kutumia nguvu.

Haya tunayoshuhudia ya kwanza kuwa na Serikali ya Umoja Zanzibar na pili masheikh kutolewa gerezani ni katika juhudi za kutafuta utangamano Zanzibar iwe kitu kimoja na itawalike kwa amani.

Mama Samia na Rais Dr. Hussein Mwinyi na Upinzani uliokuwako Zanzibar umefungua mlango mpya wa udugu.

Tuwasaidie katika hili sisi kama ndugu zao.

Hii ndiyo njia nzuri ya kudumisha muungano.
 
Kama mlitaka kuishi kidini, hizo nchi zipo, za kidini. Nendeni Somalia watawapokea.
Kule ni Uislamu mwanzo mwisho.
Ni kuswali tu na kuhiji na kufunga ramadhan.
Nendeni huko mkaishi mnavyopenda.
Che...
Soma post 114.
 
Hujui kitu, wewe ni mmoja kati ya lile kundi lililoshibishwa mahubiri ya hao jamaa ambao mlikuwa mnapokea mafundisho toka kwa walimu wajinga, unamuita mwenzio mzembe aliekuwa frontline wakati wewe hata hujulikani ulipokuwa.

Nyie mlikuwa mnapigana vita ambayo hata hamkumjua adui yenu ni nani, badala ya kuelekeza mashambulizi yenu panapostahili, mkayaelekeza kwa wengine ambao kimsingi hawahusiki.

Hivi mnaposema "Zanzibar yenu" mnakuwa mnakumbuka hiyo Zanzibar ina mchanganyiko wa makundi ya watu wenye imani tofauti? au mnataka hao wengine waondoke Zanzibar mbaki peke yenu?

Rudi kawaulize walimu wako hayo maswali wakikujibu ndio urudi hapa na hizi story zako zisizoeleweka, ile Zanzibar sio yenu peke yenu, ni ya wote, huu ubinafsi wenu ndio unawaletea shida halafu mnalia mnaonewa.

Kinachokusumbua mkuu ni mihemko, hukuwahi kutulia ukawasikiliza hao jamaa, Jamaa walikua wanahubiri haki. tatizo lenu ni wapesi sana kubeba propaganda za kidini.
Kama ni kweli hawa walichoma makanisa kwanini wameshindwa kuhukumiwa ndani ya miaka 9?

Makanisa yalichomwa ni TISS ili wajihlalishie walichokua wanataka kukifanya
 
Key,
Kwa muda mrefu Wazanzibari wamekuwa wakidai uhuru zaidi katika nchi yao.

Hili linaungwa mkono na Wazanzibari wengi na ndiyo sababu kuu upinzani umekuwa na nguvu kubwa Zanzibar.

Hali hii imepelekea CCM Zanzibar kushindwa kushinda chaguzi zote visiwani.

Chaguzu huru ilikuwa ni jinamizi.

Tatizo limekuwa likikua kila miaka ilivyozidi kwenda.

Matokeo yake ndiyo haya Wazanzibari wakajenga nguvu ya umoja wao kupitia Uamsho.

Wazanzibari waliamua kuileta dini yao kuongeza nguvu yao.

Hii ikawa "front" ya pili ya mapambano dhidi ya Tanganyika, nguvu ya kwanza ikiwa kupitia upinzani.

Bila ya kutafuta suluhu Wazanzibari hawataacha kuidai nchi yao.

Inaelekea ukweli huu sasa umewaamsha waliokuwa wanadhani wanaweza kutawala kwa kutumia nguvu.

Haya tunayoshuhudia ya kwanza kuwa na Serikali ya Umoja Zanzibar na pili masheikh kutolewa gerezani ni katika juhudi za kutafuta utangamano Zanzibar iwe kitu kimoja na itawalike kwa amani.

Mama Samia na Rais Dr. Hussein Mwinyi na Upinzani uliokuwako Zanzibar umefungua mlango mpya wa udugu.

Tuwasaidie katika hili sisi kama ndugu zao.

Hii ndiyo njia nzuri ya kudumisha muungano.
Sibishi kwamba kilichoshindikana kwa njia ya box la Kura kinawe kuwezekana kwa kutumia hawa watu, ila kwa njia gani ?

Binafsi nadhani ili kuwa na nguvu na kupata sympathy kudai uhuru au chochote kile... kiwe ni cha Wanzibar wote bila kujali imani zao, mwisho wa siku watafanikiwa (ila kwa kutumia aina hii ni kama panya kuchezea sharubu za paka)

Watumie mbinu za kina Ghandi au waliosema Non Violence.., Non Violence We Shall Overcome... (bila hivyo hata kama wenyewe sio wenye fujo ila tunajua kwenye msafara wa mamba pia kuna Kenge...) au kenge watajitokeza na kuleta fujo / machafuko jambo ambalo tutajikuta tunapoteza nguvu kazi za watu kupoteza muda wa maisha yao wakiwa kifungoni...

Yaani miaka kumi ijayo tutakuwa tunazungumza haya haya
 
Che...
Soma post 114.
Umeandika ukweli ktk post 115, sio Wazanzibari wote wanao chukia Muungano.
Ila ni baadhi ambao hawana maslahi nao. Kama ni hivyo
Tumieni vyombo husika, waambieni Wawakilishi wenu waseme Bungeni, au serikalini.
Sasa hivi mnaye Mwinyi na Samia wote Wazanzibari.
Nendeni mkazungumze nao.
Na sio mbinu mlizotumia za kumwagia tindikali wageni, kuchoma Makanisa, kuchinja Polisi Nk.
Hiyo ni Vita na katika vita ukipigwa inabidi utulie.
Semeni mnadai nchi yenu kwa Vita au Amani ?
 
Kabisa aisee maana walituonea sana.
Wakristo wa ZANZIBAR na WAISLAM huwezi watafautisha ttzo hawa washenzi wanaoingia sasa hivi ZANZIBAR wanakuja kueneza USHENZI wao na chuki baina yetu lkn makanisa ZANZIBAR yapo na kila MTU anaheshimiwa kwa itikadi yakee
 
Back
Top Bottom