mtumishi 2021
Member
- Mar 12, 2021
- 24
- 26
Kesi ya jinai haishi wakizigua wanarudi ndaniSasa kwanini hujapeleka ushahidi kwa DPP ili aifremu kesi vizuri wafungwe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesi ya jinai haishi wakizigua wanarudi ndaniSasa kwanini hujapeleka ushahidi kwa DPP ili aifremu kesi vizuri wafungwe?
Mtumishi wa kakobe mbona kama hujanielewa?Kesi ya jinai haishi wakizigua wanarudi ndani
Nani aliehamasishwa we kichwa majiMsiende tena mkaanze kuhamasisha kuchoma makinisa na kuwapiga mapadri risasi
Ulimalizika wap watu wameuwawa tena wengi tundu lisu kapigwa risasi wao wamo ndani wacha chuki zungumzia haki inatia uchungu sana japo hatuonani ila mm siwez kustamili ujinga unaozungumza wew ningekuzaba kibaoMiaka 9 ugaidi ulimalizika.
Wamehubir nin zaid ya haki usawa mm nina cd za mihadhara zote wametufunua macho sana na elimu kiukwel tumeipata kutambua hak za msingi kabisa wew endelea tu ila muda utaongea hakuna kiongoz yoyote zanzibar mwenye saut kama kama hawa viongoz wa uwamsho wew jitoe faham tu ila iko siko hak itasimamaHao ni magaidi totally bt hekima tu imetumika kuwafutia mashtaka, mnaodai hamna ushahidi tafuteni mahubiri/mawaidha yao, hapo wamekalishwa kitako na kuonywa dhidi ya kutojirudia huo ushenzi wao ndo maana wameachiwa.
Ujinga kwako wewe kwetu sisi tuliona busara tupu wanahubirNi kweli walikua wanahubiri ujinga clips zipo
Hili likafiri la kisukuma limekuja tena hukuMsiende tena mkaanze kuhamasisha kuchoma makinisa na kuwapiga mapadri risasi
Wameshanyooka hawaongei kama walivyokuwa wanatishia pale mwanzo hebu wasikilize hapa chini.Wamekuwa gerezani kwa miaka 9 shutuma za ugaidi zimeshindwa kuthibitishwa
Ugaidi huwa hata hawapandishwi kizimbani ni chuma directly wakifanya tena watapoteaEbaeban,
Sheikh Mselem au Muislam yeyote yule hawezi kufanya hayo.
Wamekuwa gerezani kwa miaka 9 shutuma za ugaidi zimeshindwa kuthibitishwa.
Taiwan wameishia wapi? Hong Kong je?Kama kudai utaifa wetu mlioupora nyinyi wakoloni WEUSI ni ujinga basi TUNEUKUBALI UJINGA HUO WAZANZIBAR
Ebaeban,
Sheikh Mselem au Muislam yeyote yule hawezi kufanya hayo.
Wamekuwa gerezani kwa miaka 9 shutuma za ugaidi zimeshindwa kuthibitishwa.
Kitu muhimu ni kwamba wamenyooshwa hawaongei kwa kiburi kama walivyokuwa wanatishia dola ya nchi hii sasa wanaongea kwa adabu chezea kukaa Gerezani miaka 9 wewe!!?Haujapatikana ushahidi wowote katika suala la ugaidi.
Hadi leo toka sheria kupitishwa hakuna mtu yeyote aliyehukumiwa kwa kosa hili.
Cover...Hawawezi kufanya hivyo vipi na wale wa kibiti waliokokbilia msumbiji sasa...
Swala la usalama ni la kitaifa na sisi Tanzania tunaliangalia kwa umakini mkubwa..
Hawa mashehe ubwabwa ndiyo waliokuwa wanahamasisha kuchoma makanisa na kuua mapadre huko Zanzibar wakati huo sasa wameshanyooshwa! Kwisha habari yao kama na wewe unataka ukakaa Gerezani kwa miaka ya kutosha fanya walivyofanya hao Mashehe ubwabwa wakati wa Kikwete. Uongozi wa Mama Samia lazima utakunyoosha tu.Wakristo wa ZANZIBAR na WAISLAM huwezi watafautisha ttzo hawa washenzi wanaoingia sasa hivi ZANZIBAR wanakuja kueneza USHENZI wao na chuki baina yetu lkn makanisa ZANZIBAR yapo na kila MTU anaheshimiwa kwa itikadi yakee
Magu...Kitu muhimu ni kwamba wamenyooshwa hawaongei kwa kiburi kama walivyokuwa wanatishia dola ya nchi hii sasa wanaongea kwa adabu chezea kukaa Gerezani miaka 9 wewe!!?
Kwahiyo wataendelea na kuchoma makanisa na kuua askari wetu kama walivyokuwa wanasema kabla ya kukamatwa mkuu?Magu...
Mtu hanyooshwi kwa kudai haki ya nchi yake.
Ingekuwa hilo linawezekana wangenyoosheka wananchi wa Vietnam walipokuwa wanakabiliana na Marekani kuikomboa nchi yao.
Unajua vita vya Yugoslavia dhidi ya Hitler majeshi ya Yugoslavia yakiongozwa na Field Marshall Tito wakati wa WW II?
Huu ndiyo ukweli wa historia.
Walifanya UGAIDIEbaeban,
Sheikh Mselem au Muislam yeyote yule hawezi kufanya hayo.
Wamekuwa gerezani kwa miaka 9 shutuma za ugaidi zimeshindwa kuthibitishwa.