Usimshange Mwaipopo hata mtoa mada anaamini hivyo.Mwaipopo anakosea sana kufikiria wanaopinga huu mkataba wa ovyo ni Wakristo tu. Hili ni jambo la kitaifa toeni udini. TUNACHOTAK SERIKALI WALEKEBISHE BAADHI YA VIFUNGU KTK MKATABA KWANI HAVIKO SAWA
😅😅😅Nitahudhuria kama nione kitanipata nini. Kwani mkutano wa siasa ni sala ya ijumaa?
😂😂😂😂Ulichosema kama kina ukweli hiviEt sheikh Mwaipopo!!😂😂.
Majina mengine haya match kabisa na baadhi ya Title..
Hazi sound kabisaa...
NB
sijasoma uzi
Ndio maana anatumiwa kufanya kazi za shetani, ni mjinga asiyejielewa.Mwaipopo huwa naona kama hayuko sawa kichwani
Hizi taka ngumu ni za kuamshwa tu, usichoke kuziamsha.PUMBAVU ZENU! Mimi ni muislamu na sikibali huu upuuzi wa mkataba wa kinyonyaji. Bandali akabidhiwe muwekezaji yoyote kwa mkataba ambao upo 50/50
Mwaipopo anakosea sana kufikiria wanaopinga huu mkataba wa ovyo ni Wakristo tu. Hili ni jambo la kitaifa toeni udini. TUNACHOTAK SERIKALI WALEKEBISHE BAADHI YA VIFUNGU KTK MKATABA KWANI HAVIKO SAWA
Hizo ni rabsha za kisiasa kuelekea DP World Vs TICTS…wengine wamesajili maAskofu na Mapadri na wengine wamesajili ma Sheikh na waandishiKwamba yeye ndie Mungu, yeye ni nani apangie wengine namna ya kuishi... Kwamba yeye ni vyema kumsikiliza lakini kumsikiliza Mbowe ni dhambi, huyo Mwaipopo ndie mjinga zaidi, mwambie majini yake mwisho ni kwa wale anaowamudu tu wengine tumeaga nyumbani, akae na unafiki wake huko.
Kumbe ni Vita ya masilahi tu ?..... muhimu walaji wakubwa wanaopingana wapo Ccm.Hizo ni rabsha za kisiasa kuelekea DP World Vs TICTS…wengine wamesajili maAskofu na Mapadri na wengine wamesajili ma Sheikh na waandishi
huku Mtaani maisha yanaendelea kama kawaida
mkiwasha data huwa mnadhani Dunia nzima ipo mtandaoni
Jamii kubwa sana ya Wakazi wa Jiji hawamjui Mwaipopo wala hawajui kama kuna Mkutano wa Maaskofu na Chadema hapo kesho
Hapa hakuna habari ya Yesu wala Mtume yeyote.MWAIPOPO ANA LAANA YA KUMKANA YESU
AMEKUWA TAHRA KABISA.
Wewe acha ulofa hakuna asiyejua humuhimunwa bandari isipokuwa kuna namna ya kuelimishana na kukosoanaUkitaka kuepukana na wajinga, una mambo mawili ya kuchagua
1. Uhame kwenye dunia hii
2. Ufe
Kwa kuwa yote hayawezekani, twendeni nao na tunawajibu wa kuchukuliana nao
Ila hili la bandari, haturudishwi na kelele za wajinga wasiojua umhimu wa rasilimali pamoja uhuru wa nchi na wananchi
Wanaoamini bandari ni za chadema, wabaki nyumbani
Wanaoamini bandari ni kwa masilahi ya watu wote, wenye dini na wasio na dini, ccm na wasio wa ccm, kesho mapemaaa uwanjani kusikiliza maelekezo ya wataalamu na wanasheria nguli nchini
Sio uongo na sababu kuuu ni chademaKweli kabisa hawa chadema wamezingua kuanza kueka udini na ukabila kwenye hili swala..afu mambo hua yanaanza mdogo mdogo mwisho inakua bifu kubwa
Sema sitorudi nyumaKwenye issue ya Bandari, kamwe hatutarudi nyuma.
Kuanzia pale enzi za Makonda na Baba yake ndio nikajua Tanzania hakuna Uchawi ni geresha tu,😅😅Hiyo kunuti Kama ingekuwepo wangeemsomea mwendazake au makonda.