Sheikh Mwaipopo: Muislam atakayehudhuria mkutano wa CHADEMA litakalomkuta ni juu yake

Sheikh Mwaipopo: Muislam atakayehudhuria mkutano wa CHADEMA litakalomkuta ni juu yake

PUMBAVU ZENU! Mimi ni muislamu na sikibali huu upuuzi wa mkataba wa kinyonyaji. Bandali akabidhiwe muwekezaji yoyote kwa mkataba ambao upo 50/50

Mwaipopo anakosea sana kufikiria wanaopinga huu mkataba wa ovyo ni Wakristo tu. Hili ni jambo la kitaifa toeni udini. TUNACHOTAK SERIKALI WALEKEBISHE BAADHI YA VIFUNGU KTK MKATABA KWANI HAVIKO SAWA
Hizi taka ngumu ni za kuamshwa tu, usichoke kuziamsha.
 
Kwamba yeye ndie Mungu, yeye ni nani apangie wengine namna ya kuishi... Kwamba yeye ni vyema kumsikiliza lakini kumsikiliza Mbowe ni dhambi, huyo Mwaipopo ndie mjinga zaidi, mwambie majini yake mwisho ni kwa wale anaowamudu tu wengine tumeaga nyumbani, akae na unafiki wake huko.
Hizo ni rabsha za kisiasa kuelekea DP World Vs TICTS…wengine wamesajili maAskofu na Mapadri na wengine wamesajili ma Sheikh na waandishi

huku Mtaani maisha yanaendelea kama kawaida
mkiwasha data huwa mnadhani Dunia nzima ipo mtandaoni


Jamii kubwa sana ya Wakazi wa Jiji hawamjui Mwaipopo wala hawajui kama kuna Mkutano wa Maaskofu na Chadema hapo kesho
 
Hizo ni rabsha za kisiasa kuelekea DP World Vs TICTS…wengine wamesajili maAskofu na Mapadri na wengine wamesajili ma Sheikh na waandishi

huku Mtaani maisha yanaendelea kama kawaida
mkiwasha data huwa mnadhani Dunia nzima ipo mtandaoni


Jamii kubwa sana ya Wakazi wa Jiji hawamjui Mwaipopo wala hawajui kama kuna Mkutano wa Maaskofu na Chadema hapo kesho
Kumbe ni Vita ya masilahi tu ?..... muhimu walaji wakubwa wanaopingana wapo Ccm.
 
MWAIPOPO ANA LAANA YA KUMKANA YESU

AMEKUWA TAHRA KABISA.
Hapa hakuna habari ya Yesu wala Mtume yeyote.
Ni habari ya watanzania na siasa zao.
Ujinga mkubwa ni kuwagawa watanzania.
Kama kuna facts zitollewe, watanzania waelewe wakiwa na dini zao, kabila zao na makundi yote ya kijamii.
Wapumbavu hawatakiwi kupewa majukwaa kwenye jamii na hata taifa.
Watu wenye akili nzuri huunganisha watu, na siyo kuwagawa.
 
Ukitaka kuepukana na wajinga, una mambo mawili ya kuchagua

1. Uhame kwenye dunia hii
2. Ufe

Kwa kuwa yote hayawezekani, twendeni nao na tunawajibu wa kuchukuliana nao

Ila hili la bandari, haturudishwi na kelele za wajinga wasiojua umhimu wa rasilimali pamoja uhuru wa nchi na wananchi

Wanaoamini bandari ni za chadema, wabaki nyumbani


Wanaoamini bandari ni kwa masilahi ya watu wote, wenye dini na wasio na dini, ccm na wasio wa ccm, kesho mapemaaa uwanjani kusikiliza maelekezo ya wataalamu na wanasheria nguli nchini
Wewe acha ulofa hakuna asiyejua humuhimunwa bandari isipokuwa kuna namna ya kuelimishana na kukosoana
 
Back
Top Bottom