Shekhe acharuka Mwamposa kuingiza milioni 900

Shekhe acharuka Mwamposa kuingiza milioni 900

Kwa anayeelewa ukusanywaji wa sadaka na mapato yote kwenye ibada za huyu jamaa wala hatoshangaa. Kwa umati ule uliokuwepo siku hiyo Taifa kwa aliyeshuhudia 🤣 🤣🤣 hata hiyo mia tisa naona bado ni kidogo.

Hiyo siku kulikuwa kuna mabus yametoka mikoa mbalimbali nchi nzima, kuna raia niliambiwa pia ni wa nchi jirani, acha hizi daladala za humu zilizokuwa zinaua route zipeleke watu mkeshani kmmmmk
 
hii ndio shida kubwa iliyopo kwenye uislam kufatilia mambo ambayo hayawahusu
hakuna mtu anafatilia na kusoma biblia kama muislam for what? ili atafute loophole aje public akosoe it simply stupidity mindset
mkataba wa bandari baada tu ya TEC kuweka msimamo wao hawa wameleta udini instead ya kujadili hoja wanajadili mtu
idiots
haya apo mwamposa kupiga M900 za wapumbavu wa dini wanao subili miujiza badala ya kufanya kazi kwa juhudi uku unamtegemea mungu na sio hayo MA michanga inakuuma nini wewe shekh?
wivu wivu wivu
una hoja. Sijaona mantiki ya huyo shehe shehena kumuongelea mwamposa. Hana hiyo authority. Wakiongelewa wasilam atarusha mate.
Nan asiyejua mwamposa mpiga dili lakin kuna haja gan na km sio wivu na majungu kumuongelea hivyo in public. Halaf hyo shehe ubwabwa maskin kwa kukosa elimu dunia sijui kama hajui hapo anaweza kuwa sued kwa kumchafua akiamua mwamposa amshtaki
 
Wana tabia ya kumuiga mwamposa na abrakadabra zake na wao wakauze udongo na maji ya zamzam, mbona easy tu wateja wapo. Huwa wanajitahidi kumuiga lakini huambulia patupu kwenye mikutano yao haijazi watu kama mwamposa. Watumie lile shindano lao kubwa la kusoma qur an huenda wakaingiza mamilioni ya fedha kwa kuuza udongo/mchanga na maji wampiku mwamposa
 
Masheikh wa aina ya huyu jamaa ni wapumbavu sanaaa, issue ya bandari inajadiliwa kwa kufuata vipengele vya mkataba, TEC wameukosoa mkataba straight way, hakuna mahali wametaja BAKWATA wala UISLAM!

Wao kama wanaona mkataba uko sawa, walipaswa kutoka hadharani n'a kuu-analyse mkataba kipengele kwa kipengele kuonyesha uzuri wake, lakini kwa ujinga na kukosa shule vichwani wanaanza kubwabwaja bwabwaja tu, n'a kuingiza udini kama utetezi, kama wanataka Rais asisemwe kwa madhaifu yake wampe BAKWATA na misikiti aongoze!

Yanaongea kana kwamba madhara ya mkataba yatawakumba wakristo peke yao, shwaiiiiiiin....
 
una hoja. Sijaona mantiki ya huyo shehe shehena kumuongelea mwamposa. Hana hiyo authority. Wakiongelewa wasilam atarusha mate.
Nan asiyejua mwamposa mpiga dili lakin kuna haja gan na km sio wivu na majungu kumuongelea hivyo in public. Halaf hyo shehe ubwabwa maskin kwa kukosa elimu dunia sijui kama hajui hapo anaweza kuwa sued kwa kumchafua akiamua mwamposa amshtaki
shekh kina muuma akicheki kwa poketi Ana buku jero harafu Kuna muhuni kapiga M900+ kizembe tu
 
Masheikh wa aina ya huyu jamaa ni wapumbavu sanaaa, issue ya bandari inajadiliwa kwa kufuata vipengele vya mkataba, TEC wameukosoa mkataba straight way, hakuna mahali wametaja BAKWATA wala UISLAM!

Wao kama wanaona mkataba uko sawa, walipaswa kutoka hadharani n'a kuu-analyse mkataba kipengele kwa kipengele kuonyesha uzuri wake, lakini kwa ujinga na kukosa shule vichwani wanaanza kubwabwaja bwabwaja tu, n'a kuingiza udini kama utetezi, kama wanataka Rais asisemwe kwa madhaifu yake wampe BAKWATA na misikiti aongoze!

Yanaongea kana kwamba madhara ya mkataba yatawakumba wakristo peke yao, shwaiiiiiiin....
wakiambiwa akili hawana wakubali ndivyo walivyo walivyo, hawana uwezo wa kujenga hoja za msingi
 
Masheikh wa aina ya huyu jamaa ni wapumbavu sanaaa, issue ya bandari inajadiliwa kwa kufuata vipengele vya mkataba, TEC wameukosoa mkataba straight way, hakuna mahali wametaja BAKWATA wala UISLAM!

Wao kama wanaona mkataba uko sawa, walipaswa kutoka hadharani n'a kuu-analyse mkataba kipengele kwa kipengele kuonyesha uzuri wake, lakini kwa ujinga na kukosa shule vichwani wanaanza kubwabwaja bwabwaja tu, n'a kuingiza udini kama utetezi, kama wanataka Rais asisemwe kwa madhaifu yake wampe BAKWATA na misikiti aongoze!

Yanaongea kana kwamba madhara ya mkataba yatawakumba wakristo peke yao, shwaiiiiiiin....
kama akili za masheikh ni hizi, basi kuwa muislam ni janga kubwa, bora uwe mpagani tu
 
Inabidi serikali ianze kuchukua Kodi kwa hawa matapeli wanao ibia watu kwa mgongo wa dini kama alivyo amrisha ruto kule Kenya
 
Kwa. Style hii ipo siku wafuasi wa Mwamposa wataambiwa wapigane miti ili kupata upako wa mimba na watajazana kweri kweri🤣
Mimi nilishasema sitaenda sehemu yoyote inayoitwa kanisani mpaka siku malaika watakapokuja kufundisha neno la Mungu wakitokea mbinguni.

Kwanini niikabidhi akili kwa binadamu mwenzangu ambaye pia ni mdhambi kama mimi tu?

Huko mbinguni inasemekana kuna mabilioni ya malaika, sasa wanafanya nini huko badala ya kushuka duniani na kufundisha habari za mbinguni kisha wakapaa na kuondoka?

Yaani habari za mbinguni nifundishwe na binadamu mwenzangu ambaye hajawahi kufika hata Tandale?

NB: Ninaheshimu imani za watu wengine lakini kamwe sipendi utapeli kwa kigezo cha imani.
 
huyo shehe ubwabwa aache kulalamika, ni wivu tu unamsumbua.

amwache mwamposa ajipigie mpunga wake kupitia wajinga ndani ya ukristu.

na yeye atafute kichaka chake, apige mpunga kupitia wajinga waliojazana miskitini.
 
Mimi nilishasema sitaenda sehemu yoyote inayoitwa kanisani mpaka siku malaika watakapokuja kufundisha neno la Mungu wakitokea mbinguni.

Kwanini niikabidhi akili kwa binadamu mwenzangu ambaye pia ni mdhambi kama mimi tu?

Huko mbinguni inasemekana kuna mabilioni ya malaika, sasa wanafanya nini huko badala ya kushuka duniani na kufundisha habari za mbinguni kisha wakapaa na kuondoka?

Yaani habari za mbinguni nifundishwe na binadamu mwenzangu ambaye hajawahi kufika hata Tandale?

NB: Ninaheshimu imani za watu wengine lakini kamwe sipendi utapeli kwa kigezo cha imani.
unaambiwa amini hawa watumishi wa mungu waliopo duniani, usipowaamini hawa watu hata malaika wakishuka hutawaamini
 
Nani mwenye low IQ? Wewe unayedhani kukata au kupinga serikali ndio kigezo Cha elimu au yule aliyekataa kupinga akaacha kusema?

V Kuna watu Wana low iq Kama mashekh wa nnchi hi
Ni watu wajinga mno elimu dun
 
Back
Top Bottom