Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba siku hiyo Bulldozer alipata wanunuzi laki 9 ?!Shekhe anadai Mwamposa aliingiza million 900 siku ya mkesha wa chako ni chako katika uwanja wa Mkapa kwa kuuza udongo tu.
View attachment 2726986
Na yeye auze hata ubani au kachori zitamlipa zaidi.Shekhe anadai Mwamposa aliingiza million 900 siku ya mkesha wa chako ni chako katika uwanja wa Mkapa kwa kuuza udongo tu.
View attachment 2726986
Ficha upumbavu wako wa kuwazia watu uchafu wako. Katubu wale wafuasi wapo mama zako pia.Kwa. Style hii ipo siku wafuasi wa Mwamposa wataambiwa wapigane miti ili kupata upako wa mimba na watajazana kweri kweri🤣
wana ujanja gani wa kuuza udongo zaidi ya kuuza majini? Wakauze dawa za kisuni wapate milioni nyingi na waoKwani na wao wamekatazwa kuuza udongo
Wanaweza agiza na kuleta tendeHuu sasa ni wivu ile ni biashara na mafanikio ya biashara ni faida.. Hata kuuza leso na mafuta ya upako ni biashara..
Tende za Upako 🤣Wanaweza agiza na kuleta tende
Wakazitengenezea mchongo nao
[emoji1]
Ova
Mwana sheikh asiuze maji ya Zamzam apige 909. Itapendeza.Shekhe anadai Mwamposa aliingiza million 900 siku ya mkesha wa chako ni chako katika uwanja wa Mkapa kwa kuuza udongo tu.
View attachment 2726986
Kila atakebugia na atatoa neno..."Bismillah"...!Tende za Upako 🤣
Mwamposa anawatesa sana hawa ngedere kiimani na majini yao anayaunguza sana matakoniShekhe anadai Mwamposa aliingiza million 900 siku ya mkesha wa chako ni chako katika uwanja wa Mkapa kwa kuuza udongo tu.
View attachment 2726986
Wao wanauzia watu majini mbona hamna mtu anaewafatiliaHuu sasa ni wivu ile ni biashara na mafanikio ya biashara ni faida.. Hata kuuza leso na mafuta ya upako ni biashara..
Wagalatia hamna Akili, acha mpigwe kkenge poriHuu sasa ni wivu ile ni biashara na mafanikio ya biashara ni faida.. Hata kuuza leso na mafuta ya upako ni biashara..
Wagalatia hamna Akili, acha mpigwe kkenge pori nyieWao wanauzia watu majini mbona hamna mtu anaewafatilia.