Shekhe acharuka Mwamposa kuingiza milioni 900

Shekhe acharuka Mwamposa kuingiza milioni 900

hii ndio shida kubwa iliyopo kwenye uislam kufatilia mambo ambayo hayawahusu
hakuna mtu anafatilia na kusoma biblia kama muislam for what? ili atafute loophole aje public akosoe it simply stupidity mindset
mkataba wa bandari baada tu ya TEC kuweka msimamo wao hawa wameleta udini instead ya kujadili hoja wanajadili mtu
idiots
haya apo mwamposa kupiga M900 za wapumbavu wa dini wanao subili miujiza badala ya kufanya kazi kwa juhudi uku unamtegemea mungu na sio hayo MA michanga inakuuma nini wewe shekh?
wivu wivu wivu
Wagalatia hamna Akili, acha mpigwe kkenge pori nyie
 
Huyo sheikh anae mshangaa mwamposa kupiga hela ya mchanga si sheikh huyo ni mbabaishaji tu kwa sababu ukirito autofautishwi na utapele unaongozwa na viini macho mazingaombwe bayo chanzo chake ni uchawi
SAsa Hapo ndo umeandika nini weye msubiria mito ya pombe za peponi
 
Mwamposa anawapiga ile ni Alliance Global kabisa QNet kabisa zaidi ya JATU PLC yaan ni Mr. Kuku kwenye mfumo wa Dini
 
Masheikh ubwabwa wengi chuki zinawasumbua Kazi yao kuuza Dawa za ngumu za kiume na kufanya visomo,
 
Maalimu kadanganya kilichouzwq ni maji after all maji hata dukani sio Bure na watu wanashauriwa kwenda na maji Yao au kununua maji popote ,kilichomuuma sheikh asilimia kubwa ya watu wanaojaza makutaniko ya Mwamposa ni watu umma wake
 
Mwamposa auze maji shilingi 500 ni bei ya kawaida ya soko Kwa maji ya ujazi wa lita moja.

Lakini kuuza shilingi 1,000/- ni kuielemea waamini .

Ni sawa na kuwanyonya na wengi wao wamechoka ile mbaya.
 
Na akiuza kwa bei ya shilingi 500 bado atapata faida kubwa sana Na hata wale ambao walikuwa hawamudu wataweza kununua
 
Hauzi udongo ila ni sadaka inayotolewa na waumini...

Imani huja kwa kusikia na kusikia huja kwa neno la Mungu...
 
Kwa anayeelewa ukusanywaji wa sadaka na mapato yote kwenye ibada za huyu jamaa wala hatoshangaa. Kwa umati ule uliokuwepo siku hiyo Taifa kwa aliyeshuhudia [emoji1787] [emoji1787][emoji1787] hata hiyo mia tisa naona bado ni kidogo.

Hiyo siku kulikuwa kuna mabus yametoka mikoa mbalimbali nchi nzima, kuna raia niliambiwa pia ni wa nchi jirani, acha hizi daladala za humu zilizokuwa zinaua route zipeleke watu mkeshani kmmmmk

Kila mmoja kw waliokaa akitoa wastani wa 15,000 Tshs
 
Back
Top Bottom