Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Wagalatia hamna Akili, acha mpigwe kkenge pori nyiehii ndio shida kubwa iliyopo kwenye uislam kufatilia mambo ambayo hayawahusu
hakuna mtu anafatilia na kusoma biblia kama muislam for what? ili atafute loophole aje public akosoe it simply stupidity mindset
mkataba wa bandari baada tu ya TEC kuweka msimamo wao hawa wameleta udini instead ya kujadili hoja wanajadili mtu
idiots
haya apo mwamposa kupiga M900 za wapumbavu wa dini wanao subili miujiza badala ya kufanya kazi kwa juhudi uku unamtegemea mungu na sio hayo MA michanga inakuuma nini wewe shekh?
wivu wivu wivu
Wagalatia hamna Akili, acha mpigwe kkenge poriwana ujanja gani wa kuuza udongo zaidi ya kuuza majini? Wakauze dawa za kisuni wapate milioni nyingi na wao
Wagalatia hamna Akili, acha mpigwe kkenge pori nyie msiojitambuaAuze na yeye Majini ya Upako.
Kutwa kuyajua majini mwisho wake ndio wivu, chuki na ugaid.
Taliban.
SAsa Hapo ndo umeandika nini weye msubiria mito ya pombe za peponiHuyo sheikh anae mshangaa mwamposa kupiga hela ya mchanga si sheikh huyo ni mbabaishaji tu kwa sababu ukirito autofautishwi na utapele unaongozwa na viini macho mazingaombwe bayo chanzo chake ni uchawi
Mito ya pombe na KE 72 wanakusubiri wahi akhera Mujahdeen.Wagalatia hamna Akili, acha mpigwe kkenge pori nyie msiojitambua
just by one comment u shown me ur personalityWagalatia hamna Akili, acha mpigwe kkenge pori nyie
mnapigwa ninyi msiojua maandiko ya bibliaWagalatia hamna Akili, acha mpigwe kkenge pori
Alafu kwanini na Yeye asiuze huo udongo? Mazinge bwana.Hauzi udongo ila ni sadaka inayotolewa na waumini...
Imani huja kwa kusikia na kusikia huja kwa neno la Mungu...
Kwa anayeelewa ukusanywaji wa sadaka na mapato yote kwenye ibada za huyu jamaa wala hatoshangaa. Kwa umati ule uliokuwepo siku hiyo Taifa kwa aliyeshuhudia [emoji1787] [emoji1787][emoji1787] hata hiyo mia tisa naona bado ni kidogo.
Hiyo siku kulikuwa kuna mabus yametoka mikoa mbalimbali nchi nzima, kuna raia niliambiwa pia ni wa nchi jirani, acha hizi daladala za humu zilizokuwa zinaua route zipeleke watu mkeshani kmmmmk