Shem kayaachia mashuzi ya haja mbele yangu. Nifanyeje?

Shem kayaachia mashuzi ya haja mbele yangu. Nifanyeje?

Naingia bafuni kuoga maji niliyowekewa na dada yake ananiona!

Dakika moja na nusu baadae anaingia chooni wakati, kwa watu wazima na jinsi choo chenyewe kilivyojengwa, tunakuwa na kawaida ya kusubiriana kwanza sababu yanayoendelea chooni huwa yanasikika bafuni.....labda awe mtoto.

Basi huyu shemeji kaingia huko chooni na kujiachia vizuri kwa kuyamwaga mashuzi ya haja tu. Nilipotoka ananisalimia, 'za saa hizi shem!' Vp huyu wadau?!!!!
Nyuzi nyingine bure kabisa.
Sasa nia yako ni kumdhalilisha shemeji yako au? Naona kama unamtamani dhahiri. Sasa chooni ulitaka ushuzi usitoke wakati wakati alikuwa anakata gogo?

Mi nilipoona kichwa cha habari nokajua alikuwa ameuachia mbele yako hadharani!? Kumbe kila mmoja mlikuwa mnatimiza haja zenu!!
Eti inawezekana baba wa watoto wewe!! 🙆🤣 ..... Kazi kweli kweli.
 
Nyuzi nyingine bure kabisa.
Sasa nia yako ni kumdhalilisha shemeji yako au? Naona kama unamtamani dhahiri. Sasa chooni ulitaka ushuzi usitoke wakati wakati alikuwa anakata gogo?

Mi nilipoona kichwa cha habari nokajua alikuwa ameuachia mbele yako hadharani!? Kumbe kila mmoja mlikuwa mnatimiza haja zenu!!
Eti inawezekana baba wa watoto wewe!! 🙆🤣 ..... Kazi kweli kweli.

Kwani unawafahamu hadi useme anamdharirisha humu?
 
Kwahiyo ulivyomwliza kuoga ukakaa sebuleni ukaanza kuanzisha Uzi huku ukisubiri mkeo akuletee chakula mezan?
 
Kwani unawafahamu hadi useme anamdharirisha humu?
Kwani kudhalilika mi mpaka nikufahamu?
Kwa nini mnawapa pole watu humu ilhali hamfahamiani? Tuseme lengo lako ni kuunga mkono mada yake?
We huoni swali la mtego alilouliza?
Umesoma comments za watu wanavyomshauri?
 
Kwani kudhalilika mi mpaka nikufahamu?
Kwa nini mnawapa pole watu humu ilhali hamfahamiani? Tuseme lengo lako ni kuunga mkono mada yake?
We huoni swali la mtego alilouliza?
Umesoma comments za watu wanavyomshauri?

Jicheke Tu.. halafu jijibu wewe maswali yako hayo
 
🤣🤣We jamaa mkorofi🤭
Hata kidogo dada angu.
Jamaa hajielewi. Ingekuwa shemeji yake ameachia shuzi hizo mbele yake hadharani sawa. Lakini sehemu sahihi na kwa tendo sahihi. Sasa hapa unaandika uzi wa nini? Hata kama hatujuani, let's think deep before writing a thread like that. Tusiandike tu kwa sababu tunajua kuandika.
 
Yani zamani nlkua naheshim sana wakubwa (unamuona mtu anatoka asubui anarud jioni unajua ana kazi ana hela ana akili kumbe anaenda kubishana Samata na Diamond nani ana hela)
 
Haha, Hiyo na yenyewe inahitajigi uzi kumbe!!!
 
Unaleta kisa Cha kijinga ili uonekane umeandika!
Unavyoleta hiyo habari yako ulipata muda wa kutafakari? Unataka tujue una Shem wa aina gani?
Nyote tumeshawajua

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hii habari inahitaji vichwa vya kibaha, mzumbe, ilboru, kilakala au tabora boys kuweza kuielewa na kutopanick nayo; wewe wa shule ya kata ya mwanalugali lazima upanick!
 
Yani zamani nlkua naheshim sana wakubwa (unamuona mtu anatoka asubui anarud jioni unajua ana kazi ana hela ana akili kumbe anaenda kubishana Samata na Diamond nani ana hela)
Habari yako!
 
Nyuzi nyingine bure kabisa.
Sasa nia yako ni kumdhalilisha shemeji yako au? Naona kama unamtamani dhahiri. Sasa chooni ulitaka ushuzi usitoke wakati wakati alikuwa anakata gogo?

Mi nilipoona kichwa cha habari nokajua alikuwa ameuachia mbele yako hadharani!? Kumbe kila mmoja mlikuwa mnatimiza haja zenu!!
Eti inawezekana baba wa watoto wewe!! 🙆🤣 ..... Kazi kweli kweli.
Ukikua utaielewa hii post, kwa sasa ihifadhi tu na usubiri kidogo!
 
Back
Top Bottom