Shem kayaachia mashuzi ya haja mbele yangu. Nifanyeje?

Shem kayaachia mashuzi ya haja mbele yangu. Nifanyeje?

Dah nawewe ni mume wa mtu kabisa? Mkeo amekula hasara. Wanawake nao waanzishe kampeni ya kukataa ndoa kama waowaji wenyewe ndio kama huyu.
Hoja imeungwa mkono

Jamaa ni papaya kabisa
 
Naingia bafuni kuoga maji niliyowekewa na dada yake ananiona!

Dakika moja na nusu baadae anaingia chooni wakati, kwa watu wazima na jinsi choo chenyewe kilivyojengwa, tunakuwa na kawaida ya kusubiriana kwanza sababu yanayoendelea chooni huwa yanasikika bafuni.....labda awe mtoto.

Basi huyu shemeji kaingia huko chooni na kujiachia vizuri kwa kuyamwaga mashuzi ya haja tu. Nilipotoka ananisalimia, 'za saa hizi shem!' Vp huyu wadau?!!!!
Huyo shemeji yako hana shida kwa sababu hilo ni tendo la kiafya - hakuna ajabu, na zaidi amelifanyia sehemu sahihi. Hapo ni tatizo la mwenye nyumba kujenga choo na bafu bila kuzingatia faragha.
Sasa wewe ulitaka aumie kwa sababu upo bafuni?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu khaaaaah
.
20200711_105452.jpg
 
Back
Top Bottom