Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Hoja imeungwa mkonoDah nawewe ni mume wa mtu kabisa? Mkeo amekula hasara. Wanawake nao waanzishe kampeni ya kukataa ndoa kama waowaji wenyewe ndio kama huyu.
Jamaa ni papaya kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja imeungwa mkonoDah nawewe ni mume wa mtu kabisa? Mkeo amekula hasara. Wanawake nao waanzishe kampeni ya kukataa ndoa kama waowaji wenyewe ndio kama huyu.
Huyo shemeji yako hana shida kwa sababu hilo ni tendo la kiafya - hakuna ajabu, na zaidi amelifanyia sehemu sahihi. Hapo ni tatizo la mwenye nyumba kujenga choo na bafu bila kuzingatia faragha.Naingia bafuni kuoga maji niliyowekewa na dada yake ananiona!
Dakika moja na nusu baadae anaingia chooni wakati, kwa watu wazima na jinsi choo chenyewe kilivyojengwa, tunakuwa na kawaida ya kusubiriana kwanza sababu yanayoendelea chooni huwa yanasikika bafuni.....labda awe mtoto.
Basi huyu shemeji kaingia huko chooni na kujiachia vizuri kwa kuyamwaga mashuzi ya haja tu. Nilipotoka ananisalimia, 'za saa hizi shem!' Vp huyu wadau?!!!!
.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu khaaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]