- Thread starter
- #61
Ahsante mdau, nimeandika kitu katika post #53. Huyo kinamgusa kabisaKwani unawafahamu hadi useme anamdharirisha humu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante mdau, nimeandika kitu katika post #53. Huyo kinamgusa kabisaKwani unawafahamu hadi useme anamdharirisha humu?
Yeah, kuna tatizo?!!!Kwahiyo ulivyomwliza kuoga ukakaa sebuleni ukaanza kuanzisha Uzi huku ukisubiri mkeo akuletee chakula mezan?
Ndo umemuona mkorofi huyo yaani hadi unamsifia mwenyewe?!!!!!!!! Kama mna yenu mu'pm'ane huko, usitafute mserereko kwenye uzi wangu. Kwetu sisi wengine huyo ni mpole kuliko wote.🤣🤣We jamaa mkorofi🤭
Umejipeleka mbali mno bila sababu na mbali kwenyewe upande wa 'negative tu.Kwani kudhalilika mi mpaka nikufahamu?
Kwa nini mnawapa pole watu humu ilhali hamfahamiani? Tuseme lengo lako ni kuunga mkono mada yake?
We huoni swali la mtego alilouliza?
Umesoma comments za watu wanavyomshauri?
Posts #53 na 63 zinakuhusu!Hata kidogo dada angu.
Jamaa hajielewi. Ingekuwa shemeji yake ameachia shuzi hizo mbele yake hadharani sawa. Lakini sehemu sahihi na kwa tendo sahihi. Sasa hapa unaandika uzi wa nini? Hata kama hatujuani, let's think deep before writing a thread like that. Tusiandike tu kwa sababu tunajua kuandika.
Anaku-beep kwa sim 2, kama una airtime/bundle kwanye hiyo line aliyoku-beep mpigie. Hapo anajua dada yake simu yake ni One sim, if you know you know.Naingia bafuni kuoga maji niliyowekewa na dada yake ananiona!
Dakika moja na nusu baadae anaingia chooni wakati, kwa watu wazima na jinsi choo chenyewe kilivyojengwa, tunakuwa na kawaida ya kusubiriana kwanza sababu yanayoendelea chooni huwa yanasikika bafuni.....labda awe mtoto.
Basi huyu shemeji kaingia huko chooni na kujiachia vizuri kwa kuyamwaga mashuzi ya haja tu. Nilipotoka ananisalimia, 'za saa hizi shem!' Vp huyu wadau?!!!!
Dadaangu hawezi olewa na mbulula kama weweTaratibu wewe, unaweza kukuta mi ndo shemeji yako mwenyewe na huo ugali unaofaidi hapo kwa dada'ako mi ndo mnunuzi.
Ngoja nisitishe kutoa huduma nione km posts zako hazitopungua au kwisha kabisa humu!Dadaangu hawezi olewa na mbulula kama wewe
huna akili wewe huwa hujambi?Naingia bafuni kuoga maji niliyowekewa na dada yake ananiona!
Dakika moja na nusu baadae anaingia chooni wakati, kwa watu wazima na jinsi choo chenyewe kilivyojengwa, tunakuwa na kawaida ya kusubiriana kwanza sababu yanayoendelea chooni huwa yanasikika bafuni.....labda awe mtoto.
Basi huyu shemeji kaingia huko chooni na kujiachia vizuri kwa kuyamwaga mashuzi ya haja tu. Nilipotoka ananisalimia, 'za saa hizi shem!' Vp huyu wadau?!!!!
😳Ndo umemuona mkorofi huyo yaani hadi unamsifia mwenyewe?!!!!!!!! Kama mna yenu mu'pm'ane huko, usitafute mserereko kwenye uzi wangu. Kwetu sisi wengine huyo ni mpole kuliko wote.
Unashangaa nini To yeye?!!!
Sometimes ukute Ni mtu mzima tu na familia ila akili kisodaVyuo vimefungwa sasa malpaka vifunguliwe tutaona mengi..
Halijawahi kutoka neno la maana kinywani mwa mlevi!Sometimes ukute Ni mtu mzima tu na familia ila akili kisoda
Tuache kuwasingizia wasomi wetu siku hizi wengi wanajielewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Hao ndio wana JF.Mtumie link ya huu uzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vyuo vimefungwa sasa malpaka vifunguliwe tutaona mengi..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii habari inahitaji vichwa vya kibaha, mzumbe, ilboru, kilakala au tabora boys kuweza kuielewa na kutopanick nayo; wewe wa shule ya kata ya mwanalugali lazima upanick!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu khaaaaahAnaku-beep kwa sim 2, kama una airtime/bundle kwanye hiyo line aliyoku-beep mpigie. Hapo anajua dada yake simu yake ni One sim, if you know you know.
😄😄😁😂😂Naingia bafuni kuoga maji niliyowekewa na dada yake ananiona!
Dakika moja na nusu baadae anaingia chooni wakati, kwa watu wazima na jinsi choo chenyewe kilivyojengwa, tunakuwa na kawaida ya kusubiriana kwanza sababu yanayoendelea chooni huwa yanasikika bafuni.....labda awe mtoto.
Basi huyu shemeji kaingia huko chooni na kujiachia vizuri kwa kuyamwaga mashuzi ya haja tu. Nilipotoka ananisalimia, 'za saa hizi shem!' Vp huyu wadau?!!!!
Jf imekuwa ya kijinga sana