Shemeji 3 wamehamia kwangu, wanavaa ovyo kunitega?

[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Huyo mke kaingia hasara, hamna mume hapo ila pana mzinzi, kwa maelezo yako Shangazi wa mke wako umeshamla kimya kimya mwezi Oktoba, hiyo familia haina maadili kabisa
 
Acha uzinzi
 
Kama dada yao anaona sawa bhasi kuna uwezekano wao ni kawaida yao kukaa kihasarahasara. Sasa shida inaweza kuwa wewe hujazoea hiyo mikao sasa ingia bro, tafuna unavyotaka ila baadae usije kutuomba ushauri unaokoaje ndoa yako au mwanamke wako kabadilika.

Na usijidanganye kuwa wanawake huwa wanaelewa kuwa wanaume ni wadhaifu maana ukishatenda ndio utajua kuwa mwanamke akiumizwa pale alipopaamini huwa haponi ila atatafuta mechanism ya kuishi na wewe kwa amani. Hapo uwe tayari kwa hiyo mechanism atayoitumia.
 
Bila kapicha ni ubatili.....
 
Nigawie mmoja mkuu
 
Wee mtu wa ajabu sana, hao mabinti wameichangamsha nyumba wewe unatulalamikia, weka hapa namba zako za simu ili tukupunguzie mzigo.
 
Tumwambie ukweli mkuu. Moja ya Mechanism yao ni kukutafutia mbadala kwa siri. Ndio ile utatoka ukichelewa huulizwi utaomba excuse sijui leo kazini nn na nn utajibiwa kistaarabu hakuna shida,kumbe amesha add member. Usivunje uaminifu wa mkeo.kamwe!
 
Kwa kondoa ruka nao tu hawana shida, wanajua sana kutunza siri! Unaweza kuruka na mtoto halafu mama yake akakubariki pia bila shida!
Ukubali tu kuwa kukuta antenna ni kipengele,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…