Shemeji kagoma kunipeleka shule na gari yake

Shemeji kagoma kunipeleka shule na gari yake

Hellow african

Mimi naishi na shemeji yangu dada yangu yupo india ni doctor uko india sasa shule wakati zimefunguliwa dada alisema shemeji anipeleke shule na gari yake ile BMW ya 2009

Sasa siku ilipofika shemeji kagoma kunipeleka anataka nipande daldala mimi sitaki leo nimerudi kutoka shule nimeomba ruhusa naenda kutibiwa sasa nimerudi nimemwambia njoo unichukue hapa shule kagoma kaanza kunifokea nimefika hapa nyumban kanipiga nataka nimwambie dada nitakuwa nimekosea?
Akikuomba utepe uje utuambie pia kua utepe tayari umeshakatwa.
 
Hellow african

Mimi naishi na shemeji yangu dada yangu yupo india ni doctor uko india sasa shule wakati zimefunguliwa dada alisema shemeji anipeleke shule na gari yake ile BMW ya 2009

Sasa siku ilipofika shemeji kagoma kunipeleka anataka nipande daldala mimi sitaki leo nimerudi kutoka shule nimeomba ruhusa naenda kutibiwa sasa nimerudi nimemwambia njoo unichukue hapa shule kagoma kaanza kunifokea nimefika hapa nyumban kanipiga nataka nimwambie dada nitakuwa nimekosea?
Shemeji akikuomba huduma anazo mpaga dadako utakua tayari pia?
 
Hellow african

Mimi naishi na shemeji yangu dada yangu yupo india ni doctor uko india sasa shule wakati zimefunguliwa dada alisema shemeji anipeleke shule na gari yake ile BMW ya 2009

Sasa siku ilipofika shemeji kagoma kunipeleka anataka nipande daldala mimi sitaki leo nimerudi kutoka shule nimeomba ruhusa naenda kutibiwa sasa nimerudi nimemwambia njoo unichukue hapa shule kagoma kaanza kunifokea nimefika hapa nyumban kanipiga nataka nimwambie dada nitakuwa nimekosea?
Umekula!? Au hakupi na chakula pia!?
 
Back
Top Bottom