Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Si mlezi mkuuNamba ya shemeji yako kumbe umeisevu kabisa???Una utovu wa nidhamu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mlezi mkuuNamba ya shemeji yako kumbe umeisevu kabisa???Una utovu wa nidhamu!!!
Ahahaah niende nalo skuli?Mwambie dadako akununulie gari
Ipi?Punguza gharama
hahahah lakini ni mleziKumbuka Huyo ni shemeji yako sio Uber uyo aiseee
Akikuomba utepe uje utuambie pia kua utepe tayari umeshakatwa.Hellow african
Mimi naishi na shemeji yangu dada yangu yupo india ni doctor uko india sasa shule wakati zimefunguliwa dada alisema shemeji anipeleke shule na gari yake ile BMW ya 2009
Sasa siku ilipofika shemeji kagoma kunipeleka anataka nipande daldala mimi sitaki leo nimerudi kutoka shule nimeomba ruhusa naenda kutibiwa sasa nimerudi nimemwambia njoo unichukue hapa shule kagoma kaanza kunifokea nimefika hapa nyumban kanipiga nataka nimwambie dada nitakuwa nimekosea?
Punguza kulegea dogoo!!!Si mlezi mkuu
Shemeji akikuomba huduma anazo mpaga dadako utakua tayari pia?Hellow african
Mimi naishi na shemeji yangu dada yangu yupo india ni doctor uko india sasa shule wakati zimefunguliwa dada alisema shemeji anipeleke shule na gari yake ile BMW ya 2009
Sasa siku ilipofika shemeji kagoma kunipeleka anataka nipande daldala mimi sitaki leo nimerudi kutoka shule nimeomba ruhusa naenda kutibiwa sasa nimerudi nimemwambia njoo unichukue hapa shule kagoma kaanza kunifokea nimefika hapa nyumban kanipiga nataka nimwambie dada nitakuwa nimekosea?
😂😂😂😂 sihami kwa shemejiWewe nimeshakwambia, hiyo midevu umenyoa zaidi ya mara 7. Wewe ni mtu mzima sasa.
Kwasababu akili zako zina waza upumbavu zinapelekea kuwaza upumbavu na ndio maana maskiniShemeji akikuomba huduma anazo mpaga dadako utakua tayari pia?
Umekula!? Au hakupi na chakula pia!?Hellow african
Mimi naishi na shemeji yangu dada yangu yupo india ni doctor uko india sasa shule wakati zimefunguliwa dada alisema shemeji anipeleke shule na gari yake ile BMW ya 2009
Sasa siku ilipofika shemeji kagoma kunipeleka anataka nipande daldala mimi sitaki leo nimerudi kutoka shule nimeomba ruhusa naenda kutibiwa sasa nimerudi nimemwambia njoo unichukue hapa shule kagoma kaanza kunifokea nimefika hapa nyumban kanipiga nataka nimwambie dada nitakuwa nimekosea?
Nakula kujigalagazaUmekula!? Au hakupi na chakula pia!?
NAKAZIAMdogo wangu, you need a break. Mambo hayaendi hivyo hapa JF.
Uzuri ni muelewa. Nina imani amenielewa.NAKAZIA