Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Namjibu mtu kadiri alivyokujaSiku ukiacha kuwaza upumbavu utakuwa na akili kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namjibu mtu kadiri alivyokujaSiku ukiacha kuwaza upumbavu utakuwa na akili kubwa
nakuunga mkono 100%Namjibu mtu kadiri alivyokuja
Sasa sio kila ujio wa mtu umtukane busara muhimu sana usipende kuropoka acha dharauNamjibu mtu kadiri alivyokuja
N ww utakufa kwa kufwata mikumbonakuunga mkono 100%
Ndo hvy mzee wangu, mtu akija kijinga nae anajibiwa kijinga siwezi kuumiza kichwa kwenye ujinganakuunga mkono 100%
Tulia upate doziySasa sio kila ujio wa mtu umtukane busara muhimu sana usipende kuropoka acha dharau
haya ni maneno tu, usiruhusu yakuumize 😂N ww utakufa kwa kufwata mikumbo
Dozy jitibu weweTulia upate doziy
Acha kuwaza upumbavuHuyo shemeji yako anakutengenezea mazingira ya kukubong'oa wewe
Sidhani kama kuna mtu anaandika vya kufikirika kama huyu...sidhani....anywys labda inampa ahueniMdogo wangu, you need a break. Mambo hayaendi hivyo hapa JF.
Mtoa mada Johnnie Walker asione hii 😂Yani wewe unataka kudeka kwa shemeji?kama vile wewe ndo mkewe?ningekua mimi walah ningekuomba ndogo,niwe nimewaoa wote wawili.
Sawa madamAcha kuwaza upumbavu
Ahahah unataka niandike nin?Sidhani kama kuna mtu anaandika vya kufikirika kama huyu...sidhani....anywys labda inampa ahueni
Na ww uache kuleta mada za kipumbavuAcha kuwaza upumbavu
Nishamaliza kaziMtoa mada Johnnie Walker asione hii 😂
Si kwasababu wewe una waza upumbavu kwahiyo lazima nikuletee mada za kipumbavu ili uwe mpumbavu zaidNa ww uache kuleta mada za kipumbavu
Umri wake unaruhusu, ila changamoto ni kwamba ameshindwa kuzielewa vizuri hizi forums. Ila nadhan with time, ataichukulia in a positive way, maana itakuja kuwa na msaada sana kwakeSidhani kama kuna mtu anaandika vya kufikirika kama huyu...sidhani....anywys labda inampa ahueni
Bc usituambie tuache upumbavu wakat unanijua kabisa umeleta mada ya kipumbavuSi kwasababu wewe una waza upumbavu kwahiyo lazima nikuletee mada za kipumbavu ili uwe mpumbavu zaid