Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #81
Sioni humuhimu wakuwa real kwasababu zangu binafsiUko feki mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sioni humuhimu wakuwa real kwasababu zangu binafsiUko feki mno
Mdogo wangu, you need a break. Mambo hayaendi hivyo hapa JF.
Inaogopesha jaman hmm😒trust no one humuhujakosea,wengi wetu humu tunaleteana maigizo
Mambo mengi mda mchache🤣👋mda mrefu hatujaonana umepotea kwelikweli....
ile appointment yetu vipi sasa....Mambo mengi mda mchache🤣👋
Inaboa balaa nyuzi zote zenye shombo ni wanaume sijui whyYaan humu mpaka naogopa af wote wenye mambo meusi ni Wanaume🤣🤣🤣👋
Mimi ata naoishi nao tu ukiwaambia wananifahamu vipi hakuna atakae kupa jibu sahihi vumilia acha life la jf liendeUko feki mno
Pole usichukie ukijua hapa mtandaoni hupati shida hataInaboa balaa nyuzi zote zenye shombo ni wanaume sijui why
Mimi ata naoishi nao tu ukiwaambia wananifahamu vipi hakuna atakae kupa jibu sahihi vumilia acha life la jf liende
Yaan acha tu..af ni utumbo na utapeli mtupuInaboa balaa nyuzi zote zenye shombo ni wanaume sijui why
Dogo sio wa kumzingatia sana 😅😅Huyu si juzi hapa alisema hapendi wageni au ??