Shemeji yangu amekataa! Abadani, Mwanangu hapimwi DNA ikibidi ndoa ivunjike tu

Nina watoto mapacha wale mapacha wasiofanana
Mimi ni mweusi kabisa Ile wanaitwa black beauty, baba mtu akicheka gizani utaona meno tu lakin katika wale mapacha wawili mmoja ni mweupe Sana na mwingine ni mweusi Sana,
Hii imekaaje? Rangi sio inshu Kuna Mambo ya ukoo,
Kuna kipindi flan flan Mr alianzaga my question lakin lilipofika kwa baba mkwe akamwita na kumlazimisha aniombe radhi, kwani alipokua anamuona Yule mweupe ndivyo alivyokuwa Bibi yake mzaa baba yake
So kabla ya yote angalieni asili kwanza
 
Hivi km mtu akipima blood group ukakuta mtoto ana blood group tofauti na wazazi wake,je baba atakua na chake hapo!??
 
Na hio siku ipo na inakuja tu, kuna siku mama yake atamwambia kuwa wewe si baba yake mzazi.
 
Okay sawa Mwanamke kagomesha.
Finally brother Ako anaamua nini ?
Yeye kama mwanaume, kulea mtoto wa mshikaji kama Baba mlezi au Kufanya nn...

Bro Ako kapigwa
Sema nini Rasterman mpelekee hii kutoka Katika Biblia Takatifu.


1 Pet 3:7
Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.
 
Hata ningekua mimi ningegoma kama ni kweli sijachepuka. Kuna vitu sio rangi tu ambavyo mtoto anaweza chukua kwa wazazi. Nyie mmekazania rangi rangi kama kafuata kwa bibi mzaa babu yake shangazi.
Kama hujachepuka huwezi kuwa mkali kwenye ishu ya DNA sababu unajiamini. 🤣🤣🤣
 
Huyo mtoto jibu liko wazi kabisa si wa huyo baba, Uthibitisho wa nin tena, Wasijisumbue sana.
Huwa mnapenda sana hio kauli ya kama huniamini tuachane ili kuficha ouvu wenu flani. DNA unpimwa na kuachana tunaachana vile vile 😀😀😀
 
Wewe umeoa? Mnapendaga kuingilia mambo ya watu ya nini? Lione lilivyokomaa! Mwanaume unakuwa kama binti? Wacha hizo mwamba jali business zako! Nimeupenda msimamo wa huyu binti! Hakuna kurudi nyuma!
 
Hii rahisi sana. Kinachohitajika ni vinasaba vya mtoto na aba. Baba amchukue achukue vinasaba vyake na mtoto apeleke kupima. Kwani lazima mama aambiwe? Vinasaba vya mama havihitajiki katika kupima DNA ya baba na mtoto. Vinasaba vya mama vinahitajika tu kuthibtisha kama huyo maa ni mama wa mtoto kweli. Saa sioni niny mnahangaika na huyo mama vipi. Chukuwa mwanao nenda mkapimwe DNA, kwisha. Au mnaogopa huyo mama atawakunja!
 
Rangi ya mtoto haitoshi tu kumshuku, mimi mwenyewe chocolate, mke wangu mweusi ila binti wetu cheupeee!!! Lakini muonekano wa uso wa binti tunafanana balaa belua.
Chukueni nywele ya huyo mtoto kisiri mkapime ili kuondoa mashaka.
 
Kitanda hakizai haramu. Jamaa amemegewa
 
Mwanamke anazingua kukataaa lakini na nyie Muachee ukengeee sasa mtoto kuwa mweupe ndo mkampime DNA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acheni ujingaa labda mseme hafanani suraa na wazazi...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…