Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Na hio siku ipo na inakuja tu, kuna siku mama yake atamwambia kuwa wewe si baba yake mzazi.Mkuu uhangaike na mtoto si wako? Biblia inakataa kubebe geneology isiyoyako.
Ndio maana wazee wanajiua mwishoni baada ya kujua mtoto aliye mhangaikia hakuwa wake na Mama alificha.
Ukumbuke Kiroho iko hivi. Mtoto kama si wako ukamlea kwa kudanganywa ni wako. Hata kama unampenda kivipi siku atakayogundua Baba yake wa Damu sio wewe na ni mwingine atakushangaza na wala usilaum ni Nature.
Kama hujachepuka huwezi kuwa mkali kwenye ishu ya DNA sababu unajiamini. 🤣🤣🤣Hata ningekua mimi ningegoma kama ni kweli sijachepuka. Kuna vitu sio rangi tu ambavyo mtoto anaweza chukua kwa wazazi. Nyie mmekazania rangi rangi kama kafuata kwa bibi mzaa babu yake shangazi.
Huwa mnapenda sana hio kauli ya kama huniamini tuachane ili kuficha ouvu wenu flani. DNA unpimwa na kuachana tunaachana vile vile 😀😀😀Huyo mtoto jibu liko wazi kabisa si wa huyo baba, Uthibitisho wa nin tena, Wasijisumbue sana.
mpka sasa sijaiona ile coment pendwa kataa[emoji849][emoji849][emoji849]A
Aaaah tena hyo nahisi utakua umeiweka ww😁Ipo hapo katikati mkuu
Wewe umeoa? Mnapendaga kuingilia mambo ya watu ya nini? Lione lilivyokomaa! Mwanaume unakuwa kama binti? Wacha hizo mwamba jali business zako! Nimeupenda msimamo wa huyu binti! Hakuna kurudi nyuma!Wakuu tumefika mwisho. Tumekuwa watabe kushauri kwenye mahusiano ya wengine huku mtandaoni lakini huku field Mke wa Brother(rafiki yangu wa longtime) ametushinda.
Ni hivi Mwaka Jana Mke wa Huyu Best Yangu alijifungua mtoto wa kiume. Tulifurahi kupata mtoto wapili na sisi kama ndugu na jamaa wa karibu sana ukizingatia yeye jamaa alinisaidi sana kusoma enzi hizo kipesa na kimawazo basi tulimfanyia Tafrija ndogo ya kupata mtoto.
Siku chache baadae furaha ya jamaa iliingia shubiri kila alipokuwa akifatilia ukuaji wa mtoto.
Yaani mtoto amekuwa na sura na mwonekano tofauti na Baba na Mama yake.
Yaani Mshikaji ni Mweusi na Mke wake maji ya kunde lakini Mtoto ni Mweupe.
Kwa sayansi ndogo tuliyo nayo kama baba mweusi na Mama maji ya kunde sio rahisi kupata mtoto mweupe. Pengine angepata rangi ya kunde kama Mama yake au Mweusi kabisa kama Baba yake.
lakini Baba ni msomi hawezi kufanya maamuzu based on just feelings. Ameamua kushauriana na mkewe kuwa wakampime DNSA maana jamaa roho inakataa kumpenda mwanaye kati kati ya mashaka.
Mke amekataa kata kata kuwa Mwanaye hapimwi DNA ikibidi hata ndoa ivunjike.
Ana dai kama hamwamini mke wake basi bora waaachane.
Mimi na Braza tume baki mdomo wazi juu ya msimamo wa Mwanamama huyu.
Tulitegemea angekubali ili kumwondolea hofu mumewe na upendo uzidi kutamalaki. Hali imekuwa tofauti.
Aaaah tena hyo nahisi utakua umeiweka ww[emoji16]
Angekua mwanao wa kiume au kaka yako,ungemshauri hivo hivo??Unakausha tu mtu anajijua shoo yenyewe mbovu, mke ana mheshimu yeye angetulia tu.
Hii rahisi sana. Kinachohitajika ni vinasaba vya mtoto na aba. Baba amchukue achukue vinasaba vyake na mtoto apeleke kupima. Kwani lazima mama aambiwe? Vinasaba vya mama havihitajiki katika kupima DNA ya baba na mtoto. Vinasaba vya mama vinahitajika tu kuthibtisha kama huyo maa ni mama wa mtoto kweli. Saa sioni niny mnahangaika na huyo mama vipi. Chukuwa mwanao nenda mkapimwe DNA, kwisha. Au mnaogopa huyo mama atawakunja!Wakuu tumefika mwisho. Tumekuwa watabe kushauri kwenye mahusiano ya wengine huku mtandaoni lakini huku field Mke wa Brother(rafiki yangu wa longtime) ametushinda.
Ni hivi Mwaka Jana Mke wa Huyu Best Yangu alijifungua mtoto wa kiume. Tulifurahi kupata mtoto wapili na sisi kama ndugu na jamaa wa karibu sana ukizingatia yeye jamaa alinisaidi sana kusoma enzi hizo kipesa na kimawazo basi tulimfanyia Tafrija ndogo ya kupata mtoto.
Siku chache baadae furaha ya jamaa iliingia shubiri kila alipokuwa akifatilia ukuaji wa mtoto.
Yaani mtoto amekuwa na sura na mwonekano tofauti na Baba na Mama yake.
Yaani Mshikaji ni Mweusi na Mke wake maji ya kunde lakini Mtoto ni Mweupe.
Kwa sayansi ndogo tuliyo nayo kama baba mweusi na Mama maji ya kunde sio rahisi kupata mtoto mweupe. Pengine angepata rangi ya kunde kama Mama yake au Mweusi kabisa kama Baba yake.
lakini Baba ni msomi hawezi kufanya maamuzu based on just feelings. Ameamua kushauriana na mkewe kuwa wakampime DNSA maana jamaa roho inakataa kumpenda mwanaye kati kati ya mashaka.
Mke amekataa kata kata kuwa Mwanaye hapimwi DNA ikibidi hata ndoa ivunjike.
Ana dai kama hamwamini mke wake basi bora waaachane.
Mimi na Braza tume baki mdomo wazi juu ya msimamo wa Mwanamama huyu.
Tulitegemea angekubali ili kumwondolea hofu mumewe na upendo uzidi kutamalaki. Hali imekuwa tofauti.
Kitanda hakizai haramu. Jamaa amemegewaWakuu tumefika mwisho. Tumekuwa watabe kushauri kwenye mahusiano ya wengine huku mtandaoni lakini huku field Mke wa Brother(rafiki yangu wa longtime) ametushinda.
Ni hivi Mwaka Jana Mke wa Huyu Best Yangu alijifungua mtoto wa kiume. Tulifurahi kupata mtoto wapili na sisi kama ndugu na jamaa wa karibu sana ukizingatia yeye jamaa alinisaidi sana kusoma enzi hizo kipesa na kimawazo basi tulimfanyia Tafrija ndogo ya kupata mtoto.
Siku chache baadae furaha ya jamaa iliingia shubiri kila alipokuwa akifatilia ukuaji wa mtoto.
Yaani mtoto amekuwa na sura na mwonekano tofauti na Baba na Mama yake.
Yaani Mshikaji ni Mweusi na Mke wake maji ya kunde lakini Mtoto ni Mweupe.
Kwa sayansi ndogo tuliyo nayo kama baba mweusi na Mama maji ya kunde sio rahisi kupata mtoto mweupe. Pengine angepata rangi ya kunde kama Mama yake au Mweusi kabisa kama Baba yake.
lakini Baba ni msomi hawezi kufanya maamuzu based on just feelings. Ameamua kushauriana na mkewe kuwa wakampime DNSA maana jamaa roho inakataa kumpenda mwanaye kati kati ya mashaka.
Mke amekataa kata kata kuwa Mwanaye hapimwi DNA ikibidi hata ndoa ivunjike.
Ana dai kama hamwamini mke wake basi bora waaachane.
Mimi na Braza tume baki mdomo wazi juu ya msimamo wa Mwanamama huyu.
Tulitegemea angekubali ili kumwondolea hofu mumewe na upendo uzidi kutamalaki. Hali imekuwa tofauti.
Sio ukali hapo issue wewe baba kwanini um-doubt mtoto. Ina maana huniamini na unamkataa mtoto[emoji3][emoji3][emoji3]Kama hujachepuka huwezi kuwa mkali kwenye ishu ya DNA sababu unajiamini. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]