Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Nina watoto mapacha wale mapacha wasiofanana
Mimi ni mweusi kabisa Ile wanaitwa black beauty, baba mtu akicheka gizani utaona meno tu lakin katika wale mapacha wawili mmoja ni mweupe Sana na mwingine ni mweusi Sana,
Hii imekaaje? Rangi sio inshu Kuna Mambo ya ukoo,
Kuna kipindi flan flan Mr alianzaga my question lakin lilipofika kwa baba mkwe akamwita na kumlazimisha aniombe radhi, kwani alipokua anamuona Yule mweupe ndivyo alivyokuwa Bibi yake mzaa baba yake
So kabla ya yote angalieni asili kwanza
Mimi ni mweusi kabisa Ile wanaitwa black beauty, baba mtu akicheka gizani utaona meno tu lakin katika wale mapacha wawili mmoja ni mweupe Sana na mwingine ni mweusi Sana,
Hii imekaaje? Rangi sio inshu Kuna Mambo ya ukoo,
Kuna kipindi flan flan Mr alianzaga my question lakin lilipofika kwa baba mkwe akamwita na kumlazimisha aniombe radhi, kwani alipokua anamuona Yule mweupe ndivyo alivyokuwa Bibi yake mzaa baba yake
So kabla ya yote angalieni asili kwanza