Kama nyote ni weupe kidogo inawezekana kupata mweupe kuwazidi wazazi woote kwa mujibu wa Mendelian principle of inheritence.Wapo wanaopata watoto weupe kuwazidi ila huo msimamo wa mwanamke ni wa kuutilia shaka mno
Mkuu hamu inatoka wapi?
Hakuna haja, Wababa wengi ni sociological fathers.Wakuu tumefika mwisho. Tumekuwa watabe kushauri kwenye mahusiano ya wengine huku mtandaoni lakini huku field Mke wa Brother(rafiki yangu wa longtime) ametushinda.
Ni hivi Mwaka Jana Mke wa Huyu Best Yangu alijifungua mtoto wa kiume. Tulifurahi kupata mtoto wapili na sisi kama ndugu na jamaa wa karibu sana ukizingatia yeye jamaa alinisaidi sana kusoma enzi hizo kipesa na kimawazo basi tulimfanyia Tafrija ndogo ya kupata mtoto.
Siku chache baadae furaha ya jamaa iliingia shubiri kila alipokuwa akifatilia ukuaji wa mtoto.
Yaani mtoto amekuwa na sura na mwonekano tofauti na Baba na Mama yake.
Yaani Mshikaji ni Mweusi na Mke wake maji ya kunde lakini Mtoto ni Mweupe.
Kwa sayansi ndogo tuliyo nayo kama baba mweusi na Mama maji ya kunde sio rahisi kupata mtoto mweupe. Pengine angepata rangi ya kunde kama Mama yake au Mweusi kabisa kama Baba yake.
lakini Baba ni msomi hawezi kufanya maamuzu based on just feelings. Ameamua kushauriana na mkewe kuwa wakampime DNSA maana jamaa roho inakataa kumpenda mwanaye kati kati ya mashaka.
Mke amekataa kata kata kuwa Mwanaye hapimwi DNA ikibidi hata ndoa ivunjike.
Ana dai kama hamwamini mke wake basi bora waaachane.
Mimi na Braza tume baki mdomo wazi juu ya msimamo wa Mwanamama huyu.
Tulitegemea angekubali ili kumwondolea hofu mumewe na upendo uzidi kutamalaki. Hali imekuwa tofauti.
Ooh kumbe ndio mambo yake ya secind filial generation?Hilo ni kweli kabisa. Halafu utakuta huyo mtoto anayetiliwa mashaka atakuja kuzaa mtoto sawa kabisa na huyo jamaa.
Kama nyote ni weupe kidogo inawezekana kupata mweupe kuwazidi wazazi woote kwa mujibu wa Mendelian principle of inheritence.
Lakini kama mmoja ni mweusi is unlikely
Kuzaa nje na kuzalia ndani ni tofauti.Sasa atakama akijua kuwa watoto sio wake atafanyaje? Akubali na hali kwasababu ata yeye angezaa nje mkewe ange accept
Wakapime kisiri, hakuna Maabara ya Tanzania itakayopima DNA bila kibali cha Mahakama.Chukueni nywele za mama ... Za mtoto ... Na za baba mkapime [emoji16]
😅😅😅😅Kwahio huko kwao hakuna weupe kabisa yaani wao ukoo wao wote weusi kama giza la saa nane?
Nimesoma genetics, hakuna kitu kama hicho.Hilo ni kweli kabisa. Halafu utakuta huyo mtoto anayetiliwa mashaka atakuja kuzaa mtoto sawa kabisa na huyo jamaa.
Labda akampimie Nje ya Tanzania.Mwambie kaka avute subira ipo siku atoke na dogo akampime mweyewe bila ya mama kujua. Lakini naona kama bro wake ana bomu analiita mke[emoji23]
DNA haina ishu skhz , avunge alee mtoto ktanda hakzai haramuNdio kaka unaweza kweli kuzaa mtoto msifanane hilo linawezekana. Ila panapokuwa na mashaka ili kurejesha amani ya moyo DNA inashauriwa
Wakuu tumefika mwisho. Tumekuwa watabe kushauri kwenye mahusiano ya wengine huku mtandaoni lakini huku field Mke wa Brother(rafiki yangu wa longtime) ametushinda.
Ni hivi Mwaka Jana Mke wa Huyu Best Yangu alijifungua mtoto wa kiume. Tulifurahi kupata mtoto wapili na sisi kama ndugu na jamaa wa karibu sana ukizingatia yeye jamaa alinisaidi sana kusoma enzi hizo kipesa na kimawazo basi tulimfanyia Tafrija ndogo ya kupata mtoto.
Siku chache baadae furaha ya jamaa iliingia shubiri kila alipokuwa akifatilia ukuaji wa mtoto.
Yaani mtoto amekuwa na sura na mwonekano tofauti na Baba na Mama yake.
Yaani Mshikaji ni Mweusi na Mke wake maji ya kunde lakini Mtoto ni Mweupe.
Kwa sayansi ndogo tuliyo nayo kama baba mweusi na Mama maji ya kunde sio rahisi kupata mtoto mweupe. Pengine angepata rangi ya kunde kama Mama yake au Mweusi kabisa kama Baba yake.
lakini Baba ni msomi hawezi kufanya maamuzu based on just feelings. Ameamua kushauriana na mkewe kuwa wakampime DNSA maana jamaa roho inakataa kumpenda mwanaye kati kati ya mashaka.
Mke amekataa kata kata kuwa Mwanaye hapimwi DNA ikibidi hata ndoa ivunjike.
Ana dai kama hamwamini mke wake basi bora waaachane.
Mimi na Braza tume baki mdomo wazi juu ya msimamo wa Mwanamama huyu.
Tulitegemea angekubali ili kumwondolea hofu mumewe na upendo uzidi kutamalaki. Hali imekuwa tofauti.
This is not biblical. Umesoma Isaya 56-58 wewe?DNA haina ishu skhz , avunge alee mtoto ktanda hakzai haramu
Hayo ya wazee wa zamani waliokuwa hawako responsible na familia ndio maana walichukulia mambo poa.DNA haina ishu skhz , avunge alee mtoto ktanda hakzai haramu
Unapimia wapi Mkuu?Mnazingua na mada zenu za kitoto kwani kumpima mtoto DNA mpaka mama yake ajue si kama una mashaka si unapima kisiri siri.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app