Shemeji yangu amekataa! Abadani, Mwanangu hapimwi DNA ikibidi ndoa ivunjike tu

Hakuna haja, Wababa wengi ni sociological fathers.
refer: Prof Kabudi
 
Mtoto kuzaliwa mweupe siyo ishu,rangi nyeupe ni dominant sana,mimi ni maji ya kunde na mke wangu ni mweusi kwao lakini nikipata mtoto mweupe kabisa ila kichwa kafanana na mimi kama kwenye ukoo Kuna backgrounds za watu weupe ni kawaida
 

Kwani kupima DNA ni tangazo? Si apime na mwanae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…