Shemeji yangu anaona wivu mimi kuwa karibu na mumewe

Shemeji yangu anaona wivu mimi kuwa karibu na mumewe

Kwani huyi mumewe kaanza kutoka na kuchelewa kurudi kwake baada ya wewe kuhamia huko au kabla?
Mkuu maisha ya Askari wengi ni umalaya na pombe. Ndo maana nimesema hapo siku zote huwa namuacha na Askari wenzie kitaa sa sjui huwa anarudi saa ngapi kwake. Maana yake hayo ni maisha yake nilimkuta nayo.
 
Au ukiendaga unakulaga???

Maana baadhi ya sisi wanawake kwenye misosi macho yanatutoka[emoji3064]

Usiwe unaenda hapo.
Rudia kusoma nilichoandika utaona nimesema hata maji ya kunywa tu toka huu mwaka umeanza sjanywa pale.
 
Uko sahihi lakini msimamo wangu siwezi Acha kwenda kwa ndugu yangu kwa namna yoyote kisa mwanamke kikubwa nisiwaingilie mambo yao wala nisiulize yasiyonihusu hata kama yananihusu wasponiambia nisiulize huo na wala sili wala kunywa pale kwao. ILA la kutoenda kwa ndugu yangu tena wa damu Hilo asahau kama yule mwanamke anataka nisikanyage pale basi MUMEWE ndo aniambie nisiende kwake si mpuuzi mwingine....[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji779]
hicho kisa kama changu kwa shangazi yangu alielolewa na mjomba angu
mpaka babu akawa akaniambia huko utakiwi utaharibu ndoa ya watu mana walishapata habari zake

me nikajisemea yule mpuuzi hawezi kunifanya me nisiende kwa uncle wangu ambaye tumezoeana tangu utoto kutoka uauncle mpk urafiki hiyo ilikuwa kam miaka 20 hivi iliyopita
cha kushangaza alivyojifungua watoto wake ndio wakawa wananipenda balaa

yaani ilikuwa hivyohvyo tukifika story tunacheka basi alikuwa anaumia analeta chuki za waziwazi ukizingatia huyo uncle alikuwa kanipita kama miaka 10 hivi
ila tulikuwa zaidi ya mabest mpk sasaĺ

hvyo hilo kurumbembe lisikutishe liache liumie lipasuke yaan uache kwenda kwa ndugu yako kisa mwanamke mpuuzi tu huyo ni wa kumpuuza
 
Jaribu kujikeep busy na Mambo yako, Kama bado mgeni hapo tafuta shughuli yoyote ya kufanya.

Huyo shemeji yako ni mchoyo na inaonekana hataki kabisa ndg wa mumewe wakanyage hapo. Na ndio walivyo wake wa maaskari wanawapanda Sana waume zao kichwani.


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu maisha ya Askari wengi ni umalaya na pombe. Ndo maana nimesema hapo siku zote huwa namuacha na Askari wenzie kitaa sa sjui huwa anarudi saa ngapi kwake. Maana yake hayo ni maisha yake nilimkuta nayo.
Sasa kama umemkuta na hayo maisha ya nini mkewe kukutolea macho, jiepushe nae, wanawake akili zao mbovu ipo siku atakudhalilisha itaonekana kama mnagombea bwana.
 
Sasa kama umemkuta na hayo maisha ya nini mkewe kukutolea macho, jiepushe nae, wanawake akili zao mbovu ipo siku atakudhalilisha itaonekana kama mnagombea bwana.
😂😂😂😂👆
 
Jaribu kujikeep busy na Mambo yako, Kama bado mgeni hapo tafuta shughuli yoyote ya kufanya.

Huyo shemeji yako ni mchoyo na inaonekana hataki kabisa ndg wa mumewe wakanyage hapo. Na ndio walivyo wake wa maaskari wanawapanda Sana waume zao kichwani.


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Shughuri kvp mi huku nipo kikazi nakuwa free kuanzia saa kumi jioni labda mda huo wa jioni niutafutie fursa ya kupiga hela
 
Kiukweli sitaki kusema lolote litakalokuvunjia heshima ila kwani kuna dalili yoyote ya huyo mwanamke kuonyesha wewe kuwa haupo sawa?sijui naliwekaje hili ili nieleweke na usininukuu vibaya ila we si unaonekana mwanaume kamili hata karibu ya huyo shemeji yako?
 
  • Thanks
Reactions: THT
Kama umegundua hilo sasa unafuata nini huko?
 
  • Thanks
Reactions: THT
KARIBUNI kwa maoni wenye uzoefu wa haya mambo.....
Mkuu weka mipaka ushkaji gani kila siku mnakua kama njiwa,epuka lawama ,ukiishi na mkeo utaelewa wanawake akili zao juu ya marafiki za waume wao
 
  • Thanks
Reactions: THT
Kiukweli sitaki kusema lolote litakalokuvunjia heshima ila kwani kuna dalili yoyote ya huyo mwanamke kuonyesha wewe kuwa haupo sawa?sijui naliwekaje hili ili nieleweke na usininukuu vibaya ila we si unaonekana mwanaume kamili hata karibu ya huyo shemeji yako?
😂😂😂😂 Dada yako si ni mke wangu maana ndiye anaujua uanaume wangu huwa mnanijadili akikutembelea.
 
Miaka yote wanawake hawawapendi ndugu wa mume wake ... Ni wachache sanaa wako tofauti kati ya 100 unaweza pata wanawake wawili wanao wapendwa ndugu za mume....

Ni tabia za wanawake.. lakini wanaume hatujali wala nini tunawapenda ndugu wa mke Vizuri tuu
 
Kakaako ndio hajielewi!
Alafu nawe unaonekana mpuuzi tuu!

Kama umegundua hapendi, si uache mazoea na mume wake, au unataka kuwa mke mwenza?
 
Mkuu weka mipaka ushkaji gani kila siku mnakua kama njiwa,epuka lawama ,ukiishi na mkeo utaelewa wanawake akili zao juu ya marafiki za waume wao
Nina mke na Nina mji wng tabia mbaya kwa mke wa kulaumiwa ni mwanaume ukichelewa akakuwahi ndo hapo hata mama yako mzazi kwako atapaona Gereza hatokanyaga ukichelewa ujue ndugu zako wote hutowaona utabaki we na mkeo na ndugu wa mkeo tu, mke wangu nilishamuwahi kitambo Sana ujue wanawake wao huwa wanapambana kumtawala mwanaume na si vinginevyo lazma umuwahi kwa kila jaribu lake ananyooka kbs tena amani inaatawala sana ndani maana anakua ameshajua mipaka yake na principles zako haendi nje ya hapo. Sjawahi mpiga wala hata kumtishia mke wangu maana anaijua mipaka yake havuki nampenda ananipenda......
 
Nilivyokua mdogo nilikua nashangaa watu wanagombanaje kwa vitu vidogo namna ile, kumbe kuna mambo yanayoonekana madogo lakini ni mazito mno. Kulinda amani yako na ya Ndugu yako, Weka mipaka usiende kwa nduguyo kama hakuna Sababu maalum. Watakuheshimu kuanzia huyo shemeji.
 
Back
Top Bottom