Shemeji yangu anaona wivu mimi kuwa karibu na mumewe

Shemeji yangu anaona wivu mimi kuwa karibu na mumewe

Nilivyokua mdogo nilikua nashangaa watu wanagombanaje kwa vitu vidogo namna ile, kumbe kuna mambo yanayoonekana madogo lakini ni mazito mno. Kulinda amani yako na ya Ndugu yako, Weka mipaka usiende kwa nduguyo kama hakuna Sababu maalum. Watakuheshimu kuanzia huyo shemeji.
Sawa
 
Mkuu si siku zote nipo na ndugu yangu na mara zote ye ndo huniita jioni nikiwa free maana Mimi huku ni mgeni pia huyu ndugu huku ana miaka sasa ana marafiki zake pia ana maaskari wenzie mtumiaji mzuri wa kilevi ILA mi stumii kilevi na siku zote huwa namuacha na wenzake huko mtaani.
Khs simu kwa akili yako inavyokutuma kwamba ni kosa kushika simu ya ndugu yako au rafiki yako may be labda ana dk au ana data kuna kitu unatka kufanya kisha kumrudshia.
Mambo ya kukaa na familia yake mi yananihusu nini wakati mi nimewakuta wanaishi hivyo na jamaa ana michepuko yake huko kitaa sa kama hakai na mkewe mi ndo nimfundishe au hayo hayanihusu.
Unajua ukishakua mtu mzima tumia akili zako za kiutu uzima.

Kwa hiyo kila akikuita unajikurupua kwenda?

Hebu tafuta circle nyingine..... na simaanishi msionane la..tafuta circle nyingine!!!!!!

Hao marafiki zake wengine umewaona hapo nyumbani kwake mara nyingi kama wewe?

Inawezekena usiweze kumfundisha kutumia muda na mkewe ila jiondoe kuonekana kuwa wewe ndio chawa/kupe unamganda baba wa watu...unaweza kupata lawaza zisizokuwa na kichwa wala miguu zikakuharibia reputation yako!!!

Mwisho, bado sio sahihi mtu mzima kutumia simu ya mwenzio. Huna bando ila mnapata hela ya beer???ok tuseme huna kitu mwambie akuhamishie ununue, siku hizi inawezekana kununua muda wa maongezi kutoka mtandao mmoja kwenda mwingine bila shida. Wenza ndio wanashikiana simu. Badilika.
 
Unajua ukishakua mtu mzima tumia akili zako za kiutu uzima.

Kwa hiyo kila akikuita unajikurupua kwenda?

Hebu tafuta circle nyingine..... na simaanishi msionane la..tafuta circle nyingine!!!!!!

Hao marafiki zake wengine umewaona hapo nyumbani kwake mara nyingi kama wewe?

Inawezekena usiweze kumfundisha kutumia muda na mkewe ila jiondoe kuonekana kuwa wewe ndio chawa/kupe unamganda baba wa watu...unaweza kupata lawaza zisizokuwa na kichwa wala miguu zikakuharibia reputation yako!!!

Mwisho, bado sio sahihi mtu mzima kutumia simu ya mwenzio. Huna bando ila mnapata hela ya beer???ok tuseme huna kitu mwambie akuhamishie ununue, siku hizi inawezekana kununua muda wa maongezi kutoka mtandao mmoja kwenda mwingine bila shida. Wenza ndio wanashikiana simu. Badilika.

Huyo Hana akili, hajui undugu unamipaka.

Mimi nilishamuambia Mama kuwa akizungua atazinguliwa, kila mtu abaki kwenye mipaka yake.

Huyo ashasema anakaa karibu na mume wa Mtu, anajua ukaribu ni Haki ya Mke/ mume Kwa wenza.

Anataka nini Kama sio Ku.fi.rwa.. alafu anasingizia undugu, yaani kuna watu waajabu Sana.
 
Ni wazi mke ana hitaji sana time na huyo mumewe sasa anamdondoshea zigo kila atakaye kuwa karibu na mumewe.

Na kwa taarifa yako jamaa akichelewa kurudi huwa anamuambia mke wake kuwa amechelewa kwasababu alikua na wewe bar na kila akitoka huwa anasema anaenda kukutana na wewe ndiyo maana unanuniwa.

Anza kumkataa jamaa kijanja punguza ukaribu usiwe chanzo cha migogoro kwenye hiyo ndoa.
 
Wakuu mmebarikiwa Sana na Mwenyezi Mungu mliofunga Mungu Awakumbuke Sana.....

Nipo mkoa Fulani kikazi mbali kabisa na familia yangu. Huku kwa bahati nzuri kuna ndugu yangu kabisa ni askari.

Nilipofika nilifikia kwake kama siku tatu hivi nikawa nimehamia kwenye nyumba niliyokuwa nimeandaliwa na ofisi.
Mke anahisi mnyamwez geyi nn... hahahaa kwa nn ajshindanishe sasa na mwanaume

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Sehemu ndogo tu ulikosea, ulitakiwa wakati unatoka na rafiki yako, umshawishi atoke na mkewe pia. Hapo ungejiongezea thamani; kwa walioko kwenye ndoa, mume/mke ni watu muhimu zaidi kuliko wazazi au ndugu.
 
Ni wazi mke ana hitaji sana time na huyo mumewe sasa anamdondoshea zigo kila atakaye kuwa karibu na mumewe.

Na kwa taarifa yako jamaa akichelewa kurudi huwa anamuambia mke wake kuwa amechelewa kwasababu alikua alikua na wewe bar na ndiyo maana unanuniwa.

Anza kumkataa jamaa kijanja punguza ukaribu usiwe chanzo cha migogoro kwenye hiyo ndoa.
Kuna kaukweli hapa aisee 🤔🤔🤔🤔
 
Kingine akiona nimeshika simu ya mumewe weeee huo mdomo utakavyovutwa nadhan mnaelewa wanaume ukiwa na mshikaji wako kushika simu yake ni kawaida sana.
Mkuu samahani kwa nitachokuuliza, au basi.
 
Sehemu ndogo tu ulikosea, ulitakiwa wakati unatoka na rafiki yako, umshawishi atoke na mkewe pia. Hapo ungejiongezea thamani; kwa walioko kwenye ndoa, mume/mke ni watu muhimu zaidi kuliko wazazi au ndugu.
Mkuu mambo ya mke kutoka na mume yanawahusu wao sina muda huo watu wanapigana mpk mke ana shika kisu kumchoma mume kisa michepuko ndo Mimi nijipendekeze eti watoke out wote kama wao wameshindwa Mimi ni Nani sasa....
 
Mkuu samahani kwa nitachokuuliza, au basi.
Kuhusu simu? Uliza pumba zako tu kushika Simu ya mtu mnayefahamiana ni kawaida hata ofisini mtu kuomba Simu yangu ampigie mtu ni kawaida kikubwa asiangalie yasiyomuhusu
 
Kuhusu simu? Uliza pumba zako tu kushika Simu ya mtu mnayefahamiana ni kawaida hata ofisini mtu kuomba Simu yangu ampigie mtu ni kawaida kikubwa asiangalie yasiyomuhusu
Mbona unajam sasa we mzee wakati hata sijauliza chochote? kwani umehisi nini?
 
Sehemu ndogo tu ulikosea, ulitakiwa wakati unatoka na rafiki yako, umshawishi atoke na mkewe pia. Hapo ungejiongezea thamani; kwa walioko kwenye ndoa, mume/mke ni watu muhimu zaidi kuliko wazazi au ndugu.
Sina maisha ya kujipendekeza kwa mwanadamu asiye na connection yoyote ya maana kwangu watu hawampendi mpk Mungu sembuse Mimi
 
Sehemu ndogo tu ulikosea, ulitakiwa wakati unatoka na rafiki yako, umshawishi atoke na mkewe pia. Hapo ungejiongezea thamani; kwa walioko kwenye ndoa, mume/mke ni watu muhimu zaidi kuliko wazazi au ndugu.
Sina maisha ya kujipendekeza kwa mwanadamu asiye na connection yoyote ya maana kwangu watu hawampendi mpk Mungu sembuse Mimi
 
"Kingine akiona nimeshika simu ya mumewe weeee huo mdomo utakavyovutwa nadhan mnaelewa wanaume ukiwa na mshikaji wako kushika simu yake ni kawaida sana."

Kwa uandishi huu, inaashiria una tabia za kishoga.

Hiyo Shem yupo sawa!
 
Inaonyesha wote wewe na huyo shemeji yako mnagombea attention ya mtu mmoja. ( Nani anamhusu zaidi) kwa mujibu wa maelezo yako.
 
"Kingine akiona nimeshika simu ya mumewe weeee huo mdomo utakavyovutwa nadhan mnaelewa wanaume ukiwa na mshikaji wako kushika simu yake ni kawaida sana."

Kwa uandishi huu, inaashiria una tabia za kishoga.

Hiyo Shem yupo sawa
👆👆👆👆👆👆🥰
Kwa uandishi huu, inaashiria una tabia za kishoga.
 
Badilisha kichwa cha habari yako. "Anakuonea wivu" - je, unadhani anafikiri kuwa unaweza kulala kimapenzi na mmewe? Mi niliposoma kichwa hicho nikajua labda wewe ni KE. Lakini pia km wewe ni KE, nilitegemea useme "wifi" siyo "shemeji".
KARIBUNI kwa maoni wenye uzoefu wa haya mambo.....
 
Back
Top Bottom