Shepu inayostaili kula hela za mwanaume (kupiga mizinga)

Shepu inayostaili kula hela za mwanaume (kupiga mizinga)

Kuhonga mwanamke asiyekuwa na shepu hii, ni matumizi mabaya ya fedha.

Wengi wanajisifia kuhonga vipato vyao kwa wapenzi wao mbalimbali; wengine wanasema pesa ya mwanaume lazima itumiwe na mwanamke.

Na kwa sasa tunapokaribia siku ya wapendanao, wapo wanaume wameshaanza kupigwa mizinga ya hapa na pale.

Swali la kujiuliza, anayekupiga mzinga ana shepu ya namna gani?

Hii ndio shepu ya kupiga mizinga, kama hana muonekano huu vaa viatu ukimbie haraka.
View attachment 2900753
db3be591328d7c387b9b730cdb800770.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhonga mwanamke asiyekuwa na shepu hii, ni matumizi mabaya ya fedha.

Wengi wanajisifia kuhonga vipato vyao kwa wapenzi wao mbalimbali; wengine wanasema pesa ya mwanaume lazima itumiwe na mwanamke.

Na kwa sasa tunapokaribia siku ya wapendanao, wapo wanaume wameshaanza kupigwa mizinga ya hapa na pale.

Swali la kujiuliza, anayekupiga mzinga ana shepu ya namna gani?

Hii ndio shepu ya kupiga mizinga, kama hana muonekano huu vaa viatu ukimbie haraka.
View attachment 2900753
Demu la kawaida tuu mbona
 
Back
Top Bottom