Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #61
Angalau huyu naweza mpa pesa kidogo kama asante. Huyu utamu anakuwa nao tu asikusanganye mtu eti hawana utamu. Mi nmekula sana wa aina hii.
Hilo ni lishangazi sio pisi kaliPisi kali nimewawekea hapo juu, hao ndio wenye sifa ya kuhongwa; kama unahonga kwa hawa wenye muundo mwingine shauri yako
Aisee !!! Dah balaaa unaona bora ukapigw nyeto ga mlenda vuguvugu tuuHuyo mzinga wake wa kwanza tu, atakuambia umnunulie Crown or Ist.
Mizigo kama hiyo inabidi uwe umeshajiandaa kabisa kisaikolojia kifuatacho, ukijipendekeza.Aisee !!! Dah balaaa unaona bora ukapigw nyeto ga mlenda vuguvugu tuu
Kabisa...ila hii mizigo itakuwa mitam maana shape tuu mwenyewe u apagawa. Wacha wenye hela wafaidi stake sie wengine tule nyama mchanganyikoMizigo kama hiyo inabidi uwe umeshajiandaa kabisa kisaikolojia kifuatacho, ukijipendekeza.
Mama muuza mihogo dahHawanaga utamu wowote hawa, haujakutana na kina fatuma wewe.
Sio shep tu hapo bado haujagusa upaja, utakutana na ngozi laini halafu nyororo sio poa.Kabisa...ila hii mizigo itakuwa mitam maana shape tuu mwenyewe u apagawa. Wacha wenye hela wafaidi stake sie wengine tule nyama mchanganyiko
Watamu hawa; ila ugonjwa wao huwa ni hela tuHilo ni lishangazi sio pisi kali
Na hili ndilo wanatakiwa walitambueUkihonga honga pazuri
Yeah ni kweli kuna demu mmoja alivyonikubalia tu nikamnunulia IST kama gari ya dharura wakati nimemuagizia BMW sasa akawa anachelewa chelewa kujibu meseji zangu nikaachana nae na hiyo IST nikamuachiaHivi humu JF ni kweli watu wananunulia mademu magari?! 🫣
Ebu tupatie namba yakeUzuri wa chupa ya maziwa haitoi uhalali wa utamu wa maziwa yenyewe mkuu. Nina ushahidi nina msukuma mmoja ninae yupo kama uyo ila napiga hesabu kumtema tu, bado walopita wengine nikiwaona hata hamu nao sina.
HAwa wacheza dubwi??
Mkuu shape pekee ndo ikufanye utoe hela...vipi kuhusu akili?Kuhonga mwanamke asiyekuwa na shepu hii, ni matumizi mabaya ya fedha.View attachment 2900753
Wengi wanajisifia kuhonga vipato vyao kwa wapenzi wao mbalimbali; wengine wanasema pesa ya mwanaume lazima itumiwe na mwanamke.
Na kwa sasa tunapokaribia siku ya wapendanao, wapo wanaume wameshaanza kupigwa mizinga ya hapa na pale.
Swali la kujiuliza, anayekupiga mzinga ana shepu ya namna gani?
Hii ndio shepu ya kupiga mizinga, kama hana muonekano huu vaa viatu ukimbie haraka.
Wajuzi wanasema, hayo ni maneno ya kukata tamaa
Tunanyanyasika sana, lazima tufikishe malalamiko yetu kwa Katibu