Shepu inayostaili kula hela za mwanaume (kupiga mizinga)

Shepu inayostaili kula hela za mwanaume (kupiga mizinga)

Angalau huyu naweza mpa pesa kidogo kama asante. Huyu utamu anakuwa nao tu asikusanganye mtu eti hawana utamu. Mi nmekula sana wa aina hii.
Hawa ndio wanatakiwa watuumize sisi wanaume vichwa; sasa utakuta mwanaume mwingine anasumbuliwa au kuendeshwa na hizi shepu za kawaida mpaka anapoteza mwelekeo.​
 
Uzuri wa chupa ya maziwa haitoi uhalali wa utamu wa maziwa yenyewe mkuu. Nina ushahidi nina msukuma mmoja ninae yupo kama uyo ila napiga hesabu kumtema tu, bado walopita wengine nikiwaona hata hamu nao sina.
 
Uzuri wa chupa ya maziwa haitoi uhalali wa utamu wa maziwa yenyewe mkuu. Nina ushahidi nina msukuma mmoja ninae yupo kama uyo ila napiga hesabu kumtema tu, bado walopita wengine nikiwaona hata hamu nao sina.
Ebu tupatie namba yake
 
Kuhonga mwanamke asiyekuwa na shepu hii, ni matumizi mabaya ya fedha.

Wengi wanajisifia kuhonga vipato vyao kwa wapenzi wao mbalimbali; wengine wanasema pesa ya mwanaume lazima itumiwe na mwanamke.

Na kwa sasa tunapokaribia siku ya wapendanao, wapo wanaume wameshaanza kupigwa mizinga ya hapa na pale.

Swali la kujiuliza, anayekupiga mzinga ana shepu ya namna gani?

Hii ndio shepu ya kupiga mizinga, kama hana muonekano huu vaa viatu ukimbie haraka.
View attachment 2900753
Mkuu shape pekee ndo ikufanye utoe hela...vipi kuhusu akili?
 
Back
Top Bottom