Labda nikutoe wasi wasi kuwa, sioni kama kuadhimisha mwaka mpya wa kidunia kukiwa na adhari yoyoye kwa waislam; Hii ni sawa tu na kuadhimisha siku ya kuzaliwa CHADEMA, CCM, Siku ya wafanyakazi nk.
Nafikiri Ujikite kwenye mambo ya msingi aliyo yaamrisha Mwenyezi Mungu badala ya kujichosha na hoja ndogo ndogo
Fundisha watu waache, Ushirikina, Wizi, uasharati, Kupunja kwenye Mizani, Kupindisha sheria nk
Wajikite zaidi kwenye Kusaidia wenye mahitaji kama mayatima na wasio na uwezo, Kutenda haki hasa kwa wenye nafasi hiyo nk