Sherehe ya Mwaka Mpya ni ya Kikristo, Waislamu tumeivamia tu bila kujua

Sherehe ya Mwaka Mpya ni ya Kikristo, Waislamu tumeivamia tu bila kujua

Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.

Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
Waislamu wajinga ndo wanoshabikia ayo mambo watu wenye elimu zao huwaoni kushabikia ujinga kama huo
 
Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.

Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
🤣🤣🤣 nyie ni wakristo mlioko kifungoni.
Jaribu kuset hiyo simu yako kwenye calenda ya kiislamu uone kama hata whatsapp utaitumia
 
Sababu ni wajinga na wanakwenda kinyume na dini, kutambua jambo Fulani haimaanishi ya kuwa jambo husika ulifanye. Weka akilini hili.
Sasa si mwaka mnautumia? Au msikitini kwenu huo mwaka wa kikristo hamuutumii?

Kama unautumia huu mwaka mpaka msikitini, kwa nini iwe dhambi kusherehekea?
 
Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.

Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
Sawa. Kama wewe ni mfanyankazi jiulize tarehe yako ya mshahara ni ipo. Je, wewe ni mwislamu bora kuliko Qatar walioandaa kombe la dunia kwa tarehe za kalenda. Wewe ni mwislamu bora kuliko mashirika ya ndege ya nchi za kiislamu zinazotumia kalenda usiyoitaka? Acha ushamba. Kila kitu kinatumika mahala pake.
 
muislamu gani aliyesoma asilijue hilo? sasa kwa vile tuko katika ulimwengu wa watu wa dini zote tunanyamaza na kuwaachia wahusika washerehekee kama vile wanavyosherehekea wahindu na mayahudi na dini nyingine.

Na sisi ukifika mwaka mpya wetu tunasherehekea ijapokuwa siyo utamaduni wetu kufanya sherehe.
Kusoma kupi fafanua,madrasa au skuli
 
Kuusherehekea ni kosa, Ila kuutumia ni Sawa.

Ni sawa na mtu anayekataa kula nyama ya nguruwe ila mchuzi wake anakunywa.
Kuna swali niliuliza Yesu alivaa Kobazi au Raba ?

Kingine naona umekosea kujadiliana na Mimi, ukijadiliana na Mimi hakikisha unajua kulinganisha mambo na kutumia vizuri mifano. Mfano wa nguruwe na mchuzi wake ni kitu tofauti na suala hili. Sababu kutumia nguruwe hujatenzwa nguvu ila mwaka umeingia katika mfumo kutokana na mazingira tunayoishi wala siyo dhambi kutumia mwaka huu, ila kusherehekea ni jambo lisilo faa katika mwaka wa Kiislamu na usio wa kiislamu.
 
Sasa kama umetukuta tunashehereka miaka 800 ya mwaka mpya kuna ubaya gani ukituunga mkono...

Mbona Eid El Fitr tunakula ubwabwa pamoja???

Sisi ni ndugu hizi dini tumeletewa tu. Vinginevyo unataka hata tarehe za mishahara zifuate imani za kidini...

Heri ya mwaka mpya mkuu ndugu yangu
Ndo umejua kumgawia hiyo asprin atulize fuvu lake, maana kingekuwa kichwa angetumia kuwaza vyema.
 
Sema ni UJINGA kuwaza ivyo Kuna wengine wameoana Islam christian Kuna wengine MAJIRANI Islam Christian it think ni upumbavu zaidi kuwaza Leo sikukuu Fulani na kujitenga kabisa na iyo ndio inaonyesha moyoni mwako jinsi Gani Haina UPENDO na binaadamu wengine ila tu WA Imani yako ni upumbavu na UJINGA mo Salah kasherekea Christmas ni kuonyesha kwamba unaishi na watu vizuri binaadamu wengi hatuwezi kujifunza HIKI KITU kutokana na upumbavu wetu wa kiakili
 
Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.

Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?

Labda nikutoe wasi wasi kuwa, sioni kama kuadhimisha mwaka mpya wa kidunia kukiwa na adhari yoyoye kwa waislam; Hii ni sawa tu na kuadhimisha siku ya kuzaliwa CHADEMA, CCM, Siku ya wafanyakazi nk.
Nafikiri Ujikite kwenye mambo ya msingi aliyo yaamrisha Mwenyezi Mungu badala ya kujichosha na hoja ndogo ndogo za sunna huku tukipuuzia mambo ya msingi (farathi)
Fundisha watu waache, Ushirikina, Wizi, uasharati, Kupunja kwenye Mizani, Kupindisha sheria nk
Wajikite zaidi kwenye Kusaidia wenye mahitaji kama mayatima na wasio na uwezo, Kutenda haki hasa kwa wenye nafasi hiyo nk
 
Sema ni UJINGA kuwaza ivyo Kuna wengine wameoana Islam christian Kuna wengine MAJIRANI Islam Christian it think ni upumbavu zaidi kuwaza Leo sikukuu Fulani na kujitenga kabisa na iyo ndio inaonyesha moyoni mwako jinsi Gani Haina UPENDO na binaadamu wengine ila tu WA Imani yako ni upumbavu na UJINGA mo Salah kasherekea Christmas ni kuonyesha kwamba unaishi na watu vizuri binaadamu wengi hatuwezi kujifunza HIKI KITU kutokana na upumbavu wetu wa kiakili
Hapo ndio tunapokosea mpaka tunatangaza dini za shetani bila kujua,lazima ujifunze kuhoji,muislam kamili anaamini ukristo sio dini ya ukweli sasa kusherehekea founder wake ni kuikubali kiaina
 
Hili jukwaa libadilishwe jina liitwe jukwaa la la kuusema ukristo. Yani, asilimia kubwa za mada ni kuusema Ukristo.
hivi wewe hujawahi kuziona mada za kuwasema waisilamu humu? Tena hizo ndizo nyingi sana ukipiga mahesabu
 
Back
Top Bottom