Sherehe ya Mwaka Mpya ni ya Kikristo, Waislamu tumeivamia tu bila kujua

Sherehe ya Mwaka Mpya ni ya Kikristo, Waislamu tumeivamia tu bila kujua

Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.

Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
Mashindano tayari, kwahiyo ikiwa mfano ni ya kikristu? Yani hampendi amani kabisa mtakuwa na undugu na lucifer tu.
 
Kwetu sisi Waislamu tuna sikukuu tatu tu, Iddi Al Fritr, Iddi Al Ad'ha na Iddi ya Jumaa, yaani kila siku ya Ijumaa.

Kusherehekea kupinduka mwaka kwetu sisi Waislamu haifai na ni jambo ambalo walio tutangulia hawakufanya na sisi Waislamu hatufanyi hivyo.

Ibaki ya kuwa Sikukuu ya Mwaka mpya wa Miladiya ni yenu nyinyi Wakristo na so yetu sisi. Na Sasa naona Waislamu mdogo mdogo wameanza kuelewa isipokuwa baadhi Yao ambayo wako mbali na dini yao, ila wataelewa tu kwa idhini ya Allah.
Kwa hiyo mwaka mpya wa Gregorian Calender hamuutambui?
 
Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.

Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
Tunatakiwa tumuheshimu Issa pia. Kwa hiyo sio kosa kushrehekea Bithday ya Siasa a.s
 
Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.

Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
Dunia inaendeshwa na Wakristo hivyo hakuna namna
 
Ni hivi; wewe kama unaona kuna faida kuishangilia basi shangilia ili ufaidike, jambo la msingi hapo ni kupata faida ya kushangilia.

Mfano mimi inapoingia mwaka mpya huku watu wakipiga honi, kelele, fataki nk, mimi hushika udhu na kuswali rakaa 2 za sunna/nafal kumshukuru Allah kwa kuuona mwaka mpya isitoshe pia kutoa shukurani kwa manufaa niliyopata katika mwaka uliopita.
Unamshukuru Alah kuuona mwaka mpya wa Kikristo ulioanzishwa na Papa Gregory wa kanisa Katoliki.

Safi sana
 
Yesu alivaa nini ? Alivaa raba ?

Tunautambua kwa kujua idadi ya maika kwa ufupi muda. Hatusherehekei sababu ni matumizi mabaya ya akili, muda na rasilimali.
Kuna waislam wengi sana wanasherehekea
 
Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.

Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili aSu kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
muislamu gani aliyesoma asilijue hilo? sasa kwa vile tuko katika ulimwengu wa watu wa dini zote tunanyamaza na kuwaachia wahusika washerehekee kama vile wanavyosherehekea wahindu na mayahudi na dini nyingine.

Na sisi ukifika mwaka mpya wetu tunasherehekea ijapokuwa siyo utamaduni wetu kufanya sherehe.
 
Sasa kama mnautambua kwa nini mnakasirika waislam wenzenu wakisherehekea mwaka mpya?
Sababu ni wajinga na wanakwenda kinyume na dini, kutambua jambo Fulani haimaanishi ya kuwa jambo husika ulifanye. Weka akilini hili.
 
Yesu alivaa nini ? Alivaa raba ?

Tunautambua kwa kujua idadi ya miaka kwa ufupi muda. Hatusherehekei sababu ni matumizi mabaya ya akili, muda na rasilimali.
Kuusherehekea ni kosa, Ila kuutumia ni Sawa.

Ni sawa na mtu anayekataa kula nyama ya nguruwe ila mchuzi wake anakunywa.
 
Back
Top Bottom