Tukubaliane kuwa upo ila muislam safi hapaswi kuusherehekea kwa sababu ya nature na waanzilishi wakeLabda nikutoe wasi wasi kuwa, sioni kama kuadhimisha mwaka mpya wa kidunia kukiwa na adhari yoyoye kwa waislam; Hii ni sawa tu na kuadhimisha siku ya kuzaliwa CHADEMA, CCM, Siku ya wafanyakazi nk.
Nafikiri Ujikite kwenye mambo ya msingi aliyo yaamrisha Mwenyezi Mungu badala ya kujichosha na hoja ndogo ndogo
Fundisha watu waache, Ushirikina, Wizi, uasharati, Kupunja kwenye Mizani, Kupindisha sheria nk
Wajikite zaidi kwenye Kusaidia wenye mahitaji kama mayatima na wasio na uwezo, Kutenda haki hasa kwa wenye nafasi hiyo nk
hapana bwana mdogo, tuko mwakaa 1444 baada ya hijra, mfunguo tisa.Waislam wapo mwaka 1800s...so mleta mada fuatiria vzr uanze kuzimisha
Tatizo kubwa la waislamu ni kutokuwa na Elimu ya Kutosha juu ya Dini yaoTukubaliane kuwa upo ila muislam safi hapaswi kuusherehekea kwa sababu ya nature na waanzilishi wake
Hebu twende kwa Hoja.Kuna swali niliuliza Yesu alivaa Kobazi au Raba ?
Kingine naona umekosea kujadiliana na Mimi, ukijadiliana na Mimi hakikisha unajua kulinganisha mambo na kutumia vizuri mifano. Mfano wa nguruwe na mchuzi wake ni kitu tofauti na suala hili. Sababu kutumia nguruwe hujatenzwa nguvu ila mwaka umeingia katika mfumo kutokana na mazingira tunayoishi wala siyo dhambi kutumia mwaka huu, ila kusherehekea ni jambo lisilo faa katika mwaka wa Kiislamu na usio wa kiislamu.
Kumbe kuchanganya jinsia mbili ni kitu kibaya?Nini maana kuelimika ? Kuingia kanisani na vimini au vimodo au kuamini utatu na kuungama kwa mwanadamu mwenzako ? Au kuelimika ni kuchanganyika jinsia mbili tofauti kwenye ibada ? Kuelimika ni nini hasa ?
Sasa kama si asili katika Dini Si Mliache?Dhambi kusherehekea sababu jambo hilo si asili katika dini ya Uislamu.
Sio mwaka wa kidunia.Labda nikutoe wasi wasi kuwa, sioni kama kuadhimisha mwaka mpya wa kidunia kukiwa na adhari yoyoye kwa waislam; Hii ni sawa tu na kuadhimisha siku ya kuzaliwa CHADEMA, CCM, Siku ya wafanyakazi nk.
Nafikiri Ujikite kwenye mambo ya msingi aliyo yaamrisha Mwenyezi Mungu badala ya kujichosha na hoja ndogo ndogo
Fundisha watu waache, Ushirikina, Wizi, uasharati, Kupunja kwenye Mizani, Kupindisha sheria nk
Wajikite zaidi kwenye Kusaidia wenye mahitaji kama mayatima na wasio na uwezo, Kutenda haki hasa kwa wenye nafasi hiyo nk
Soma maelezo niliyo kupa yako wazi sana. Kwenu nyinyi kusherehekea mwaka mpya ni ibada au siyo ibada ? Kama ni ibada wapi ibada hii mmeipata ? Je Yesu alisherehekea kupinduka kwa mwaka ?Hebu twende kwa Hoja.
Unasema siyo dhambi kutumia mwaka huu...
Kama mwaka unautumia, Dhambi iko wapi kuusherehekea?
Kusherehekea Kitu unachokitumia inakuwaje dhambi????
Unamshukuru Alah kuuona mwaka mpya wa Kikristo ulioanzishwa na Papa Gregory wa kanisa Katoliki.
Safi sana
Tunalitumia sababu lipo nje ya uwezo wetu kutokana na mfumo wa nchi jinsi ilivyo. Unaelekea ninacho kiongelea ?Sasa kama si asili katika Dini Si Mliache?
Kwa nini mnalitumia mpaka kwenye ratiba zenu za msikitini jambo ambalo si asili ya uislam?
Title inasema kutumia mwaka au kusherekea mwaka mpya?Kwa hiyo nyie waislam msio wajinga huwa mnatumia mwaka gani?
Umenifunza lipi mpka sasa ukanitoa ujinga?Tangu lini mmeelimika yakhe[emoji16][emoji16]
Kalenda ni Kama elimu,Haina dini,haijalishi nani kagundua,hata Gregory hakusukumwa na ukiristo kutengeneza hiyo kalenda, Qur'an 17:12,10:6,29:14,2:260 inatambua kwamba tunatumia jua na mwezi kupima nyakatiHii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.
Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
Uislamu umekamilika sana, unauliza maswali mepesi sana. Huko kwenye madaladala ni katika mlango wa dharura na mlango katika dini upo.Kumbe kuchanganya jinsia mbili ni kitu kibaya?
Huko Kwenye daladala/sokoni etc... nyie wavaa kobazi huwa hamchanganyi jinsia?
Hii kalenda ya Gregory inahusiana nini na ukiristo!?Waislam wana kalenda yao hujawahi kusikia mwezi wa shaaban, rajab, ramadan
Au hujawahi kusikia mwaka mpya wa kichina
Wahindi,wayahudi wote wana kalenda zao kutokana na tamaduni zao
Lakini kalenda tunayotumia sasa ya kikristo ya papa Gregorian ndo ya kisasa na imemeza kalenda nyingine zote
Ukigoma kuyaoga,utakunywa tu. Ukigoma kuyanywa utafulia tu. Ukigoma kuyafulia utakula samaki wake tu. Ukigoma kula samaki utayavuka tu kutoka mahala moja kwenda kwingine lazima uvuke iwe daraja au kwa ndege. Ukigoma wewe mama ndugu,rafiki atakupikia chakula ule tuUkristo ni kama Maji.
Kuna wapuuzi wenzako walijidai wanaenda shule eti hadi jpili alafu ijumaa wanapumzika, sjui waliishia wapi.Unavuka kwenda wapi na kalendar haikuhusu,hizi kalendar ni vitu vya kubuni,wachina wana calendar yao inaanza mwezi wa pili,waarabu wanayao ila zimeouuzwa na ulimwengu
1998 jeshi la polisi liliua waislam mwembechai,baada ya padre kulalamika yesu anatikanwa,mihadhara hiyo kanisani na serikalini palikua hapalaliki hapalikiUkitaka kuona jinsi hawa wafuasi wa mudy wana uwezo mdogo kiakili, nenda kwenye hiyo wanaita mihadhara yao. Mazungumzo yao ni kama uitishwe mkutano wa watoto