Sherehe ya Mwaka Mpya ni ya Kikristo, Waislamu tumeivamia tu bila kujua

Tukubaliane kuwa upo ila muislam safi hapaswi kuusherehekea kwa sababu ya nature na waanzilishi wake
 
Tukubaliane kuwa upo ila muislam safi hapaswi kuusherehekea kwa sababu ya nature na waanzilishi wake
Tatizo kubwa la waislamu ni kutokuwa na Elimu ya Kutosha juu ya Dini yao
Utashangaa, Mtu anahangaika kubishania vitu vidogo vidogo vya Sunna
Huku haoni Uasharati, Ushirikina, Wizi nk kama ni makosa pengine ukubwa wake (dhambi zake) ni mara 100 kuliko ya suna anazo hangaika nazo..
 
Hebu twende kwa Hoja.

Unasema siyo dhambi kutumia mwaka huu...

Kama mwaka unautumia, Dhambi iko wapi kuusherehekea?

Kusherehekea Kitu unachokitumia inakuwaje dhambi????
 
Nini maana kuelimika ? Kuingia kanisani na vimini au vimodo au kuamini utatu na kuungama kwa mwanadamu mwenzako ? Au kuelimika ni kuchanganyika jinsia mbili tofauti kwenye ibada ? Kuelimika ni nini hasa ?
Kumbe kuchanganya jinsia mbili ni kitu kibaya?

Huko Kwenye daladala/sokoni etc... nyie wavaa kobazi huwa hamchanganyi jinsia?
 
Sio mwaka wa kidunia.
Ni mwaka ulioanzishwa na Wakristo chini ya Papa Gregory XIII
 
Hebu twende kwa Hoja.

Unasema siyo dhambi kutumia mwaka huu...

Kama mwaka unautumia, Dhambi iko wapi kuusherehekea?

Kusherehekea Kitu unachokitumia inakuwaje dhambi????
Soma maelezo niliyo kupa yako wazi sana. Kwenu nyinyi kusherehekea mwaka mpya ni ibada au siyo ibada ? Kama ni ibada wapi ibada hii mmeipata ? Je Yesu alisherehekea kupinduka kwa mwaka ?

Kusherehekea ni dhambi sababu hakuna waio tutangulia wailifanya jambo hili si mitume wala si manabii. Mola wetu ameweka usiku na mchana ili watu wapate kuhesabu na kujua hesabu na idadi ya miaka na si kusherehekea.

Kwahiyo suala la sisi Waislamu kutumia mwaka usio wa Kiislamu upo nje ya uwezo wetu sababu tumekuta tayari jambo hilo lipo ila kwa nchi ambazo zinajitawala zenyewe yaani za Kiislamu unazingatiwa mwaka wa kiislamu. Kwahiyo hili linaingia katika mlango huo wala haliathiri dini maadamu tunajua mwaka wetu wa Kiislamu ukoje, siku inadalika saa ngapi haidhuru.
 
Unamshukuru Alah kuuona mwaka mpya wa Kikristo ulioanzishwa na Papa Gregory wa kanisa Katoliki.

Safi sana


Namshukuru Allah kwa mafanikio aliyonipa mwaka uliopita na sio namshuru Allah kwa kubadilika mwaka.-- soma vizuri pont yangu. Hata pia huwa namshukuru kwa mafanikio mwaka mpya wa kiisilamu unapoingia.
 
Sasa kama si asili katika Dini Si Mliache?

Kwa nini mnalitumia mpaka kwenye ratiba zenu za msikitini jambo ambalo si asili ya uislam?
Tunalitumia sababu lipo nje ya uwezo wetu kutokana na mfumo wa nchi jinsi ilivyo. Unaelekea ninacho kiongelea ?

Ndiyo maana katika kuliacha tunafanya yale ambayo yapo ndani ya uwezo na Hilo linaingia katika mlango wa dharura, na dharura hukadiriwa kwa makadirio yake.
 
Kalenda ni Kama elimu,Haina dini,haijalishi nani kagundua,hata Gregory hakusukumwa na ukiristo kutengeneza hiyo kalenda, Qur'an 17:12,10:6,29:14,2:260 inatambua kwamba tunatumia jua na mwezi kupima nyakati
 
Kumbe kuchanganya jinsia mbili ni kitu kibaya?

Huko Kwenye daladala/sokoni etc... nyie wavaa kobazi huwa hamchanganyi jinsia?
Uislamu umekamilika sana, unauliza maswali mepesi sana. Huko kwenye madaladala ni katika mlango wa dharura na mlango katika dini upo.

Lakini suala la kiibada si jambo la dharura, Yesu alifanya vipi ibada au mafundisho ya kufanya ibada zenu mmeyapata wapi ?

Lakini nashangaa wewe huoni ubaya wa kuchanganyika jinsia mbili tofauti akili zako ndogo sana kijana au hufikirii. Jamii imeharibika na kuwa hivi katika sababu kubwa ni kuruhusu michanganyiko hiyo.
 
Hii kalenda ya Gregory inahusiana nini na ukiristo!?
 
Ukitaka kuona jinsi hawa wafuasi wa mudy wana uwezo mdogo kiakili, nenda kwenye hiyo wanaita mihadhara yao. Mazungumzo yao ni kama uitishwe mkutano wa watoto
1998 jeshi la polisi liliua waislam mwembechai,baada ya padre kulalamika yesu anatikanwa,mihadhara hiyo kanisani na serikalini palikua hapalaliki hapaliki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…