Sheria kuu 5 kwa mwanaume

Maulanah aku rekhem, dunian na akhera. Hakuna aliyemjinga isipokua yule ampingaye allah na mtume wake mohamad
umenifata mwenyewe sasa vilio vyanini...? akurehemu wewe mwenyewe!
 
Hakika ewe kafiri, acha kutumainia akil zako. Mtegemee allah na uache uzinifu, maana zinaa ni uchafu, na wachafu wote ni hukumu siku ya kiama
Oya we niaje aisee.
Wapi nimeandika nazagamua??
Allah ndo kaandika hii comment yako au ni wewe kwa akili zako??
 
Msisitizo hapo namba 3 akikisha DNA unaenda kupima nje ya nchi hata Nairobi hapo gharama sio kubwa sana. DNA za bongo hata kama matokeo yakija negative unaambiwa ni mtoto wako, wenyewe wanasema.wanalinda masilahi ya mtoto
 
Wakuu mwamba kashatoa madini hiyo nambari moja acheni tu ni mateso makubwa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…