Tetesi: Sheria mpya: Mwisho polisi kuvaa kiraia wakiwa kazini

Tetesi: Sheria mpya: Mwisho polisi kuvaa kiraia wakiwa kazini

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.


Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.

HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.
 
Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.


Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.

HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.
Labda ccm iondoke madarakani
 
Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.


Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.

HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.
Acha kufikiria mambo ambayo hayawezekani katika utawala huu wa kishetani!
 
Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.


Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.

HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.

Halitekelezeki hata kwa fimbo
 
Hiyo haitekelezeki duniani kote kuna polisi wanaovaa sare na wasio na sare.

Hiyo ipo hivyo kulingana na majukumu yao.

Sisi tu ndio tumeshindwa kuweka adhabu kali kwa hao mazuzu wanaotumia mwanya huo wa kutokuwa na sare hivyo kufanya wanayoyajua wao ikiwemo uhalifu kwa sababu inakuwa ngumu kuwatofautisha na raia wa kawaida.

Wenzetu wameweza vizuri tu .
 
Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.


Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.

HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.
Kuna mtu anaweza kuteka mtu mchana kweupe? Kama huamini jaribu kufanya wewe kama try halafu uone
 
Arresting ifanywe na wenye uniform, au wasio na uniform wakiambatana na wenye uniform.

Still there is a procedure kuhitaji mtu afike kituoni, they should not operate manually, and archaic
 
Huu ni ujinga bado na kutupumbaza, Askari huyo huyo ataenda kufanya kazi halali akiwa na gwanda ila wakimtuma kufanya utekaji haramu anavua gwanda shida iko wapi?
 
Back
Top Bottom