Tetesi: Sheria mpya: Mwisho polisi kuvaa kiraia wakiwa kazini

Tetesi: Sheria mpya: Mwisho polisi kuvaa kiraia wakiwa kazini

Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.


Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.

HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.
Baba Vikosi kazi baba vikosi kazi.
 
Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.


Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.

HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.
Taarifa kama hizi muwe mnawaandikia wajinga

Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.


Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.

HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.
 
Bwashee huangaliagi hata Senema? 😄😄

Kwenye hizo "senema" huwa kunakuwa na askari wanaojitambulisha hata iwe wamevaa kiraia huwa ni detectives...

Kama ni zoezi la ukamataji lazima kuwe na askari wa uniform, hata iwe makachero watavaa tags au nembo ya ofisi ya ukachero wanayotokea...
 
Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.


Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.

HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.
Hao wanaoteka watu wasingekuwa polisi wangeshakamatwa. Naona hapa ndio unaona umetupoteza maboya ile mbaya.
 
Arresting ifanywe na wenye uniform, au wasio na uniform wakiambatana na wenye uniform.

Still there is a procedure kuhitaji mtu afike kituoni, they should not operate manually, and archaic
Hayo wafanyayo ndio sehemu ya kuhakikisha ccm inabaki madarakani kwa shuruti. Inshort wafanyacho ni maagizo ya serekali.
 
Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.


Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.

HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.
Umeambiwa au umetunga? Askari wa upelelezi, CID, hawavai uniform kutokana na aina ya kazi zao
 
Back
Top Bottom