Tetesi: Sheria mpya: Mwisho polisi kuvaa kiraia wakiwa kazini

Tetesi: Sheria mpya: Mwisho polisi kuvaa kiraia wakiwa kazini

Hawanga muda, kitu hatutaki kuelewa ni kwamba Washakai hawana mud na sisi na shida zetu. Wanajua tu mpaka mwakani tutakuwa tushasahau kila kitu, watatuletea wasanii, tutafurahi, tutawachagua tena, tutapitishwa kwenye msoto tena, ni mzunguko usioisha.
Washajua watanzania ni wepesi tu, hata hii mada ya utekaji haitochukua hata week, tutahamishwa.

Kutaka kuishi kwa amani Tanzania: we jua tu washkaji hawana muda na sisi.
 
Labda iwe kazi ya kachero ni kutafuta taarifa tu, baada ya hapo magwanda waifanyie kazi.
Kutafuta taarifa ni Kazi ya raia kama wewe

Kachero Kazi yake ni kunusa na kuchunguza

Kukamata ni sehemu ya uchunguzi
 
Kuna majukumuu yabidi uvae ka Muuza miwa/madafu/karangaa ...etc
Jamii yetu ina mambo mengi sanaaa yalojifich

..lakini sio jukumu la kukamata.

..wakati wa kukamata ni vizuri Polisi wakavaa sare zao za kazi.
 
Serikali au jeshi unadhani linajali hayo, hao washikaji hatuna uhakika kama wataadabishwa.
 
Hata kama itatungwa lakini haiwezi kutekelezeka Kwa sababu watekaji ndiyo haohao wanaosimamia sheria
 
Kwa sasa baadhi ya askari Polisi wanatumia mwanya wa nafasi yao ya uaskari kutekeleza uovu, pia wanashirikiana na wahalifu.
 
ft.jpg
 
Kwa mfano nina bifu na mtu, naona kama kwa sasa ni rahisi kuwacheki hawa washikaji wa police kummaliza adui yangu kwa malipo ya pesa..
 
Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.


Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.

HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.
Story za kusadikika
 
hao ambao hawavai gwanda maana yake ni polisi wa siri (mpelelezi), hawa kazi yao kubwa sio kukama tunao ongelea ni wale wanaokuja kukamata lazima awe na gwanda vinginevyo lolote linaweza kutokea juu yake kama raia mwingine
 
Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.


Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.

HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.
Kwa Tanzania hiyo sheria inahitaji Tamko moja tu la Raisi ambalo halihitaji hata dakika 5 kama kweli anawapenda watanzania wenzake.
 
Wanaotumiwa kukamata wavae sare zao na wafuate utaratibu na utaratibu huo ujulikane kwa wananchi...
 
Back
Top Bottom