Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Baba Vikosi kazi baba vikosi kazi.Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.
Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.
HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.
Taarifa kama hizi muwe mnawaandikia wajingaKutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.
Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.
HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.
Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.
Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.
HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.
Bwashee huangaliagi hata Senema? 😄😄
Watekaji ni binadamu kumbe binadamu huweza kusababisha changamoto kwa makusudi ama kwa bahati mbayaLabda ccm iondoke madarakani
Watekaji ni taasisi kama wanaweza kurudi kuteka na wasikamatwe, tena kwa kumjulisha mtekwaji kwamba wanarudi na kweli wakarudiKwa hiyo serikali inaogopa wahuni??
Maana hawakamatwi hawa watekaji??
Hao wanaoteka watu wasingekuwa polisi wangeshakamatwa. Naona hapa ndio unaona umetupoteza maboya ile mbaya.Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.
Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.
HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.
Hayo wafanyayo ndio sehemu ya kuhakikisha ccm inabaki madarakani kwa shuruti. Inshort wafanyacho ni maagizo ya serekali.Arresting ifanywe na wenye uniform, au wasio na uniform wakiambatana na wenye uniform.
Still there is a procedure kuhitaji mtu afike kituoni, they should not operate manually, and archaic
Taasi ya ccm kama uvccm, uwt na interahamweWatekaji ni taasisi kama wanaweza kurudi kuteka na wasikamatwe, tena kwa kumjulisha mtekwaji kwamba wanarudi na kweli wakarudi
Umeambiwa au umetunga? Askari wa upelelezi, CID, hawavai uniform kutokana na aina ya kazi zaoKutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.
Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia magenge ya kihuni yanachukua mwanya hapo kufanya mambo yao wakijifanya ni police.
HAtua hii inaweza kuwa ni hatua kubwa kwa usalama wa raia ambao sasa hawana uhakika na wanaonekana kuto liamini jeshi la police.