GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Inasemekana:
Kwa Sheria ya Tanzania, hakuna mtu anayeweza kumiliki ardhi. Anaweza kupangishwa tu, labda kwa kipindi cha miaka 99.
Kwa Sheria za Tanzania, Rais ndiye "mmiliki" wa ardhi yote nchini. Sijui itakuwaje pale Serikali itakapoitamani ardhi iliyokupangisha! Sijui itakupokonya!
Kwa Sheria za Tanzania, kilichopo chini ya ardhi ni mali ya Serikali. Siku ukigundua kuna almasi kwenye ardhi unayojitia kuimiliki huruhusiwi "kuyavuna" mpaka upate kibali cha mwenye ardhi ambaye ni Serikali. Cha kusikitisha, unaweza usipewe leseni hata kama utakuwa umekidhi vigezo.
Sijui kama hayo ni kweli!
Kama ni kweli, kwa nini muswada usipelekwe bungeni kubadilisha hizo Sheria kandamizi?
Kwa Sheria ya Tanzania, hakuna mtu anayeweza kumiliki ardhi. Anaweza kupangishwa tu, labda kwa kipindi cha miaka 99.
Kwa Sheria za Tanzania, Rais ndiye "mmiliki" wa ardhi yote nchini. Sijui itakuwaje pale Serikali itakapoitamani ardhi iliyokupangisha! Sijui itakupokonya!
Kwa Sheria za Tanzania, kilichopo chini ya ardhi ni mali ya Serikali. Siku ukigundua kuna almasi kwenye ardhi unayojitia kuimiliki huruhusiwi "kuyavuna" mpaka upate kibali cha mwenye ardhi ambaye ni Serikali. Cha kusikitisha, unaweza usipewe leseni hata kama utakuwa umekidhi vigezo.
Sijui kama hayo ni kweli!
Kama ni kweli, kwa nini muswada usipelekwe bungeni kubadilisha hizo Sheria kandamizi?