mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Ulibana sana ila mwisho uliliwaHuu muda mnatumia kuiongelea Yanga mngepambana na Mudy afanye usajiri pale umbumbumbuni ili msimu ujao msitie aibu kupigwa mbele nyuma na Mwarabu.
Sasa lile la Aziz Ki mpira ulivuka mstari kwa asilimia 200, ni halali si halali ?🐒Kwa maneno mengine ni kwamba ukichora mstari juu sambamba na ule wa chini halafu uchore mstari mwingine kutoka juu Hadi chini perpendicular (nyuzi 90) hapo ulipo mpira, huo mstari wa kutoka juu kuja chini haupaswi kuugusa mpira! Kwa hiyo hata kama mpira umebaki
nje kwa milimita 1 Hilo dogo goli kwa kuwa Kuna asilimia kidogo za mpira Bado ziko nje!!
Tukirudi kwenye sakata la goli analodai kufunga yanga dhidi ya mamelodi ni kwamba kigezo Cha mpira kuvuka mstari kwa asilimia 100 hakikufikiwa! Ilikuwa ni maamuzi mepesi ya VAR yasiyohitaji refarii wa kati kusaidia!
Tukubali timu Bora ya Mamelodi ilistahili kusonga mbele! Underdogs yanga walijitahidi!
Mbumbumbu.We
Ulibana sana ila mwisho uliliwa
Kwahiyo wewe uliona wapi wamechora hiyo hiyo mistari ili kuonesha kuwa sio goli? Yaani tatu mzuka fc mnaweweseka.Kwa maneno mengine ni kwamba ukichora mstari juu sambamba na ule wa chini halafu uchore mstari mwingine kutoka juu Hadi chini perpendicular (nyuzi 90) hapo ulipo mpira, huo mstari wa kutoka juu kuja chini haupaswi kuugusa mpira! Kwa hiyo hata kama mpira umebaki
Nje kwa milimita 1 Hilo dogo goli kwa kuwa Kuna asilimia kidogo za mpira Bado ziko nje!! Tukirudi kwenye sakata la goli analodai kufunga yanga dhidi ya mamelodi ni kwamba kigezo Cha mpira kuvuka mstari kwa asilimia 100 hakikufikiwa! Ilikuwa ni maamuzi mepesi ya VAR yasiyohitaji refarii wa kati kusaidia!
Tukubali timu Bora ya Mamelodi ilistahili kusonga mbele! Underdogs yanga walijitahidi!
Tumepewa Al Ahly tunawajua wale yaani nusu fainali lazima utopolo mtapigwa nyingi sana na Mamelodi. Saivi mmesahau kujadiliana litimu lenu libovu imepigwa nje ndani na ndio timu pekee iliyofungwa kwa aggregate ya 3-0Picha zote zinazotumiwa kusema goli ni halali hazijitoshelezi kbs kwa kuwa zinatokea upande mmoja..!
Zilihitajika picha zaidi za kamera inayochukua kutokea juu na kutokea nyuma ya goli.(kumbuka goli la Nzengeli dhidi ya IHEFU,picha kutokea angles tofauti ndio zilionyesha halikuwa bao halali)
Hivyo Refarii angeweza kuamua chochote..!
Hata hivyo, nasubiri mapovu kutokea upande ule kwa haya maoni..!
Halikuvuka acha uongo, [emoji23][emoji23][emoji23]Sasa lile la Aziz Ki mpira ulivuka mstari kwa asilimia 200, ni halali si halali ?[emoji205]
Uongoooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndugu mbumbumbu umeandika goli Lili hitaji maamuzi ya muda mfupi kwakua mpira haukuingia kwa asilimia 100.
Kitu kilicho shangaza ni refa kutumia zaidi ya dk 5 kutoa maamuzi wakati wewe umeandika alichukua muda mfupi.
Hivi katika soccer dk 5 ni muda mfupi Tena ukiongozwa na VAR!!!
Ule mpira ulivuka mstari hazipungui sm 10, hakukua na shaka yoyote na goli, ukitumia libero kitu kinasoma ndani.
Tatizo unaendeshwa na mapenzi na sio uhalisia, unajua kuwa matukio yenye utata refarii anashauriwa na nani kwenda kwenye VAR? kasome kanuni za matumizi ya VAR, mwamuzi licha ya kushauriwa bado ndio mwenye maamuzi ya mwisho, sasa kama in ale walioko kwenye VAR, walimwambia kuwa lile sio goli, alikuwa na ulazima gani wa kwenda?Ndugu mbumbumbu umeandika goli Lili hitaji maamuzi ya muda mfupi kwakua mpira haukuingia kwa asilimia 100.
Kitu kilicho shangaza ni refa kutumia zaidi ya dk 5 kutoa maamuzi wakati wewe umeandika alichukua muda mfupi.
Hivi katika soccer dk 5 ni muda mfupi Tena ukiongozwa na VAR!!!
Ule mpira ulivuka mstari hazipungui sm 10, hakukua na shaka yoyote na goli, ukitumia libero kitu kinasoma ndani.
ulivukishwa na mshindo wa mkiki wa Aziz Ki🐒Halikuvuka acha uongo, [emoji23][emoji23][emoji23]
we mzoefu au ndo unaanza?Halikuvuka acha uongo, [emoji23][emoji23][emoji23]
naona umecheka hapo kwa koment yangu, kulikon mkuu?, unalosema ni kwel kabisa captain alitakiwa kumshinikiza refa aende kwenye var, au hata angetoa timu nje kama alivofanyaga ronaldo, kama mbwai iwe mbwai tu, wooiiiiihWachezaji wetu ndiyo wa kuwalaumu
Walizubaa sana walitakiwa wamzonge refa sana hasa captain kumshinikiza aende kwenye var
Hapananaona umecheka hapo kwa koment yangu, kulikon mkuu?, unalosema ni kwel kabisa captain alitakiwa kumshinikiza refa aende kwenye var, au hata angetoa timu nje kama alivofanyaga ronaldo, kama mbwai iwe mbwai tu, wooiiiiih