mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Kwa maneno mengine ni kwamba ukichora mstari juu sambamba na ule wa chini halafu uchore mstari mwingine kutoka juu hadi chini perpendicular (nyuzi 90) hapo ulipo mpira, huo mstari wa kutoka juu kuja chini haupaswi kuugusa mpira! Kwa hiyo hata kama mpira umebaki.
Nje kwa milimita 1 Hilo dogo goli kwa kuwa Kuna asilimia kidogo za mpira Bado ziko nje!! Tukirudi kwenye sakata la goli analodai kufunga yanga dhidi ya mamelodi ni kwamba kigezo cha mpira kuvuka mstari kwa asilimia 100 hakikufikiwa! Ilikuwa ni maamuzi mepesi ya VAR yasiyohitaji refarii wa kati kusaidia.
Tukubali timu Bora ya Mamelodi ilistahili kusonga mbele! Underdogs yanga walijitahidi.
Nje kwa milimita 1 Hilo dogo goli kwa kuwa Kuna asilimia kidogo za mpira Bado ziko nje!! Tukirudi kwenye sakata la goli analodai kufunga yanga dhidi ya mamelodi ni kwamba kigezo cha mpira kuvuka mstari kwa asilimia 100 hakikufikiwa! Ilikuwa ni maamuzi mepesi ya VAR yasiyohitaji refarii wa kati kusaidia.
Tukubali timu Bora ya Mamelodi ilistahili kusonga mbele! Underdogs yanga walijitahidi.