Sheria ya Jeshi kuhusu mavazi ni ya kishamba na kizamani sana

Sheria ya Jeshi kuhusu mavazi ni ya kishamba na kizamani sana

Ndugu, sipingi maoni yako kwamba ni Mambo ya kizamani.Kama unaona ni Mambo yaliopitwa na wakati,hakuna aliyekukataza kuvaa.Jeshi halijakurupuka kutangaza jambo hili.Imefika wakati wa kutoufautisha matamko ya kisiasa na ya kijeshi.Nawashauri wanaoona kwamba haya ni Mambo ya kizamani WAVAE Weekend njema
Kwenye Serekali ya kiria matamko ya Jeshi hayana nguvu sana Kama matamko ya kisiasa, wanasiasa ndiyo wenye Nchi yao, la sivyo mkitaka matamko yenu yawe na nguvu na nyinyi pinduweni Serekali ya kiria tujuwe kua Sasa tunatawaliwa kijeshi na si kiraia tena!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Usalama wa taifa wa Tanzania unatia aibu just stupid people wasio na uzalendo kabisa; wanaonangaika na uniform za raia.
Yaani inatia kinyaa. Mbumbumbu wasiojua chochote ndiyo hawa wanashupalia brand ya mavazi utadhani wanamitindo
 
Back
Top Bottom