Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Ndio maana mwigulu nchemba ndiye mzalendo namba moja tz
Yes, ndo maana mama hawezi mtumbua jembe lile. Umesikia mkeka mpya Nchemba yuko pale pale jikoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana mwigulu nchemba ndiye mzalendo namba moja tz
Kweli tembea uone maajabu 😂😂😄 🤣 tembea uone baba
Kuna border ya jirani zetu huko, wale waliuana sana wakatuletea na majambazi ya silaha
Huko unauziwa mpaka AK47 hata rocket launcher ukitaka unabadilishiwa kwa gunia 4 za mahindi 😄
Halafu nilienda Beirut miaka ya nyuma watoto wanachezea hand grenades
Yaani Dunia ina mambo hii
🇺🇸 unaweza kuwa na jeshi la mtu mmoja yaani unanunua tu unaweka
Washaanza kurudishaKweli tembea uone maajabu 😂😂
Dah! Wewe mbona ni mjinga sana aisee? Kanzu ni vazi la ibada???Akivaa kama mwanajeshi anakuwa mwanajeshi? Wanaovaa kanzu wote ni mashehe maana kanzu ni vazi la ibada.
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Kanzu sio vazi la ibada bali ni vazi linalovaliwa zaidi na waarabu huko Arabuni na hushonwa kwa staili tofauti tofauti baina ya nchi na Nchi !Dah! Wewe mbona ni mjinga sana aisee? Kanzu ni vazi la ibada???
Wewe mpumbavu acha kufananisha Tanzania na hizo nchi zingine. Kama una hamu ya fashion shop hamia kwenye nchi ambazo zipo. Watu wanaumiza vichwa kuona tunaendelea kuishi kwa amani halafu wewe unaleta ubishi wa kingese. Huo upumbavu mpelekee mama yako aliyeshindwa kukulea kwa maadili mema.Mtu kama wewe ilibidi hata usiandike. Sijui unavyosema Nchi gani sijui unasema wapi, labda wewe umetembelea Burundi au Congo huko ndiyo hutaona. Unajua nchi yetu ni ya kishamba sana, wewe fikiria tangu mwaka 1961 tupate kujitawala hadi leo hakuna hata fashion shop yoyote ile ipo Tanzania, niambie ipi? Under Armor wanauza fashion nyingi za aina hiyo, wanaweza kuwa na shop Tanzania? GAP etc. Acha upumbavu; umezoea mitumba unaona fashion
Upo sahihi...kuna na ile ya "ni marufuku kupiga picha hapa" [emoji3]...wakati ambapo nikitumia Google earth naweza kuona kila kitu mpaka mtu aliyekuwa anaenda chooni wakati satellite ilipochukua picha last time!Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?
Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.
Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?
Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.
Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.
Mjinga mwenyeweDah! Wewe mbona ni mjinga sana aisee? Kanzu ni vazi la ibada???
Wana lao jambo! Si bure.Sioni mantiki ya raia kukomalia kuvaa kama wanajeshi!
Sheria hakuna, Sasa jichanganye!....bunge kutunga sheria mpya zihusuyo mavazi yake.
Ebu fafanua!Yes, ndo maana mama hawezi mtumbua jembe lile. Umesikia mkeka mpya Nchemba yuko pale pale jikoni.
Ebu fafanua!
Sheria hii ifanyiwe marekebisho, adhabu iongezwe!Kila nchi inaongozwa kwa utaratibu huwezi kuamka tu huko Umeshiba maharage unafikira kuvaa Combart za jeshi Watu wametoa machozi,jasho na damu kuzipata hizo.
Licha ya hivyo Tukumbuke kuwa kila mtu akianza kujiamria kutumia Mavazi ya Jeshi au taasisi yoyote kwa kuamua tu sidhani kama itakuwa sahihi.
Na hakuna nchi ambayo mtu anaamua tu kuvaa combart its Either ni msanii ama mwanamziki ambao kwa sheria hiyo hiyo ya Penal code 178 imeruhusu mtu yyte kutumia ila kwa kibali maalum cha kuzitumia kwa shughuli za kisanii
View attachment 2734897
sheria ipo.ndio maana nikaandisha sheria mpya.Sheria hakuna, Sasa jichanganye!
Sheria naona inasema kifungo cha mwezi mmoja ama faini ya elfu 50.by the way sijui hata kama unajua kwamba fine yake ni shilingi 300.
Mjeshi naona umewaka hatariAcha dharau wewe kenge unalifikilia jeshi kwa mihemko yako na wivu zako kujifanya unajua kumbe tahira mmoja hivi. Hujui kila taifa lina muundo na taratibu zake za maisha na maamuzi. Kwetu watu walionekana kutumia sare za jeshi kutapeli watu then unakurupuka na ujinga wako. Ulienda shule kujifunza ujinga unashindwa kung'amua cultural diversities beyond the global world unataka kufananisha tz na marekani ww mjinga nini. Siku nyingine usilete ujuaji dhidi ya jeshi la medani.
Hakuna. Wanafikiri kuvuta bangi na kujichetua na magwanda ndiyo uanajeshi kumbe ni ushamba tuTanzania kuna jeshi??[emoji23][emoji23][emoji23]
Au wendawazimu ??