Sheria ya Jeshi kuhusu mavazi ni ya kishamba na kizamani sana

Sheria ya Jeshi kuhusu mavazi ni ya kishamba na kizamani sana

Akivaa kama mwanajeshi anakuwa mwanajeshi? Wanaovaa kanzu wote ni mashehe maana kanzu ni vazi la ibada.

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Wewe naye! Nani kakuambia kuwa kanzu ni vazi la ibada, sehemu zenye joto watu huvaa kanzu na waarabu wanavaa kanzu bila kujali dini maana mapadri pia wanavaa kanzu.
 
Wewe naye! Nani kakuambia kuwa kanzu ni vazi la ibada, sehemu zenye joto watu huvaa kanzu na waarabu wanavaa kanzu bila kujali dini maana mapadri pia wanavaa kanzu.
Nilitaka uje hivo. Sasa nikivaa hizo nguo za rangi ya jeshi kama siyo mwanajeshi nakuwa mwanajeshi?

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Watoto wetu wazoeshwe kuvaa mavazi ya kijeshi kama Marekani, ili wakue wakilipenda jeshi na ukati ukifika wajiunge walinde nchi. Makatazi kila kona? A lot of don'ts in this TZ.
 
Acha kuuliza swali la kitoto jeshi ni chombo chenye mamlaka ya ulinzi wa nchi taswira yake ikichafuka watu watakosa imani ukizingatia wananchi wengi hawajui mambo ya nembo wala nn. Baadhi ya watu wanakuwa disguised kujifanya wanajeshi angali sio hivyo kufanya ujinga wao ukiona hivyo jeshi limefanya tafiti halijakulupuka.
Tatizo lako shule haipo hapo, wapi nimeuliza swali! Kama unajua elimu yako haikidhi kuwemo kwenye JF of GT's nyamaza, kaa kimya.
 
Kwani hao wezi kwenye ripoti ya CAG wanavaa sare za jeshi? Mnaacha uhalifu wa maana, mnahangaika na mambo madogo madogo ya mavazi

Wala sitamani kuvaa hizo nguo zenye kushabihiana na jeshi, maana nina nguo za kutosha. Ninachosema hilo jeshi lijihusishe na mambo ya maana, hizo nguo kuvaliwa na raia linaweza kushughulikiwa na polisi.
Wewe kama unaona ni haki yako kuvaa nguo za jeshi vaa kisha pita karibu na kambi yao. Mbona hulilii kuvaa sare za jeshi la zimamoto?
 
Nguo si jeshi, jeshi ni ujuzi anaoupata mtu baada ya kupata mafunzo ya kijeshi.
Sasa hawa wanajeshi wanaogopa raia kuvaa mavazi yenye rangi ya sare zao mbona kama hawajiamini? Siku alshabab wakavaa jeans [emoji158] basi tujiandae kumalizwa maana adui anatambulika kwa kuvaa sare

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Ukiwa na vijana (boys) vema kuwazoesha kuvaa mavazi ya kijeshi ili wakue wakiipenda, na hatimaye waje kujiunga na kutumikia jeshini. Vema kueleza kiagaubaga hizo rangi kisayansi, kikemekali, kidesign, texture, density, reflection, strength zikoje. Huko mahakamani ya haki itakuwaje?
Watoto wadogo mwisho miaka 5 nadhani haina madhara lakini kwa wakubwa Big No !!
 
Sasa hawa wanajeshi wanaogopa raia kuvaa mavazi yenye rangi ya sare zao mbona kama hawajiamini? Siku alshabab wakavaa jeans [emoji158] basi tujiandae kumalizwa maana adui anatambulika kwa kuvaa sare

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Hawajiamini kabisa. Lkn wanastahili kutojiamini. Si uliona Hamza alivyowapurula polisi? Yaani alikuwa hana bunduki, akawanyang"anya na kuwapurula 9. Sasa unadhani kutakuwa na tofauti sana na hawa wavaa mabaka?
 
Bora umesema wewe ni ushamba
Angalia hapa maduka kibao tena ni bisashara za watu binafsi na wwnauza kila kitu kinachohusiana na jeshi mpaka viatu na mikanda

Hapa mpaka makazini unakuta mtu kavaa sare ya jeshi (suruali)
Mimi navaa voatu na t-shirt sana
Sasa nikija huko naziacha kwa ushamba wenuView attachment 2735338
Zipo Nchi niliona bunduki zimetundikwa Sokoni panapo uzwa vitu mbali mbali nikauliza hizi bunduki ni vipi mbona zimetundikwa hapo juu nikajibiwa kuwa zinauzwa !!😅😅😅

Je unaonaje na hapa kwetu tukawaiga wale jamaa wa huko ??!
Panya Rodi tu na mibisibisi yao tunajificha mvunguni je ikiwa vinginevyo itakuwaje ??!!
😅😅😅🙏🙏
 
Zipo Nchi niliona bunduki zimetundikwa Sokoni panapo uzwa vitu mbali mbali nikauliza hizi bunduki ni vipi mbona zimetundikwa hapo juu nikajibiwa kuwa zinauzwa !![emoji28][emoji28][emoji28]

Je unaonaje na hapa kwetu tukawaiga wale jamaa wa huko ??!
Panya Rodi tu na mibisibisi yao tunajificha mvunguni je ikiwa vinginevyo itakuwaje ??!!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji120][emoji120]
Kwanza serikali ipunguze bajeti ya kuandaa na kuajiri wanajeshi maana wapo wanokula mishahara minono wanastaafu mpaka wanakufa hawaeleweki wanafanya nini. Wenyewe wanakuambia Wana kazi nyingi ambazo hazionekani wakati usiku wanalala nyumbani na wake zao kama sisi! Kazi kutesa na kunyanyasa raia. Ngoja nipake nyumba yangu rangi ya jeshi waje waichukue

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Kuna uhusiano gani kati ya sare za jeshi na utapeli?? Hii hoja haina kichwa wala miguu.
Sisi huku bongo tuna asili ya kuwaheshimu walinzi wetu kwahiyo akija mtu mbaya amevaa hizo sare na akaniomba nimsaidie labda usafiri au kitu kingine chochote siwezi kumkatalia kama usafiri au nimuazime kitu ni lazima nitampa kwa sababu nitakuwa nimejiaminisha huyu ni mlinzi wetu na hawezi kuwa ni mtu mbaya. !!

Hivyo ndivyo tunaishi huku kwetu bongo siwezi kuanza kumuuliza mtu vitambulisho vyake ndipo nitoe msaada !!
Kila ndege huruka kwa ubawa wake ulivyo sio kila kitu cha kuiga Mkuu !!! 🙏
 
Kwanza serikali ipunguze bajeti ya kuandaa na kuajiri wanajeshi maana wapo wanokula mishahara minono wanastaafu mpaka wanakufa hawaeleweki wanafanya nini. Wenyewe wanakuambia Wana kazi nyingi ambazo hazionekani wakati usiku wanalala nyumbani na wake zao kama sisi! Kazi kutesa na kunyanyasa raia. Ngoja nipake nyumba yangu rangi ya jeshi waje waichukue

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Ni bora uahirishe huo mpango 😅😅😅🙏🙏
 
Lakini kwanini wavae. Hebu fikiria mtu kavaa full uniform kama mjeda au polisi huoni Kwa nchi kama yetu anaweza tumia huo mwanya kutapeli/kunyanyasa watu?
Nyingine zinapatikana katika mabaro ya mitumba, nyingi tu.
Mbaya zaidi mtu kanunua mtumbani halafu anavuliwa hata barabarani! Huu ni hudharirishaji.
 
Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?

Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.

Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?

Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.

Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.
Polisi wakitangaza hivyo watakamata mno, maana suruali zinazovaliwa nyingi zina rangi ya mavazi ya kipolisi
 
Zipo Nchi niliona bunduki zimetundikwa Sokoni panapo uzwa vitu mbali mbali nikauliza hizi bunduki ni vipi mbona zimetundikwa hapo juu nikajibiwa kuwa zinauzwa !!😅😅😅

Je unaonaje na hapa kwetu tukawaiga wale jamaa wa huko ??!
Panya Rodi tu na mibisibisi yao tunajificha mvunguni je ikiwa vinginevyo itakuwaje ??!!
😅😅😅🙏🙏
😄 🤣 tembea uone baba
Kuna border ya jirani zetu huko, wale waliuana sana wakatuletea na majambazi ya silaha
Huko unauziwa mpaka AK47 hata rocket launcher ukitaka unabadilishiwa kwa gunia 4 za mahindi 😄
Halafu nilienda Beirut miaka ya nyuma watoto wanachezea hand grenades
Yaani Dunia ina mambo hii

🇺🇸 unaweza kuwa na jeshi la mtu mmoja yaani unanunua tu unaweka
 
Back
Top Bottom