- Thread starter
- #181
Ndiyo maana huwa linabeba koroshoJeshi limekosa weledi na kazi za kufanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana huwa linabeba koroshoJeshi limekosa weledi na kazi za kufanya
Only in Africa wapi sio kila kinachofanyika nje kinatufaa na sisi mbona Kuna mambo tunasema sio sawa yanaenda kinyume na sheria na tamaduni zetu.It is all about law.Fanya mchakato wa kubadili sheria ili tuanzie hapo mkuu.Sheria inakataza mavazi yanayofanana na majeshi for a reason.Hata katika biashara ndio maana tunasajili nembo/Alama,majina ya biashara ili kujitodautisha na ukiiga linakuwa kosaAkili za kiafrika zinatusumbua.
Siku tukiliondoa hili ndiyo mwisho wa raia kuonewa na vyombo vya usalama wao (Walinzi wa raia au wanajeshi) yaani raia anateswa na mlinzi wake kisa kavaa mavazi kama yake 😄😄😄😄....only in Africa
Unaongea kimtaa mtaa mkuuMpk ujambazi unapangwa na kufanyika jeshi linakuwa limeenda wapi? Kazi ya jeshi ni kuzuia uhalifu siyo kupambana na mtukio ya uhalifu
Kama jeshi lisingekuwa na sifa ya kuonea watu basi nadhani kusingekuwa na sababu ya kuhofia kwamba raia akivaa nguo yenye kufanana na jeshi ataonea watu.Hivi imagine Kila kitu kinafanana kasoro nembo huoni Kwa tz inaweza kutumika kutapeli au kuonea watu...huko vijijini raia wanajua kweli mambo ya nembo?
Acha kuwa na mawazo ya kidikteta. Anasemwa Mungu litakuwa Jeshi hili la Nguo ??JF bhana.
Kila siku mada za kijinga jinga kuhusu majeshi
Uhuru umewazidi uwezo wenu wa kawaida
Wakati watu wanafanya huo utapeli jeshi lilikuwa limelewa pombe gani? Kazi ya jeshi ni kuzuia uhalifu siyo kugombea nguoKwetu watu walionekana kutumia sare za jeshi kutapel
Linakuwa jeshini.Wanapoyatumia vibaya jeshi linakuwa wapi wakati huo?
Kwani hao wezi kwenye ripoti ya CAG wanavaa sare za jeshi? Mnaacha uhalifu wa maana, mnahangaika na mambo madogo madogo ya mavaziMleta uzi umeandika ujinga mtupu. Kama una hamu ya kuvaa mavazi ya jeshi fanya namna ujiunge nalo na sio kulazimisha kuvaa sare zao zinazoweza kutumika vibaya na watu kufanyia uhalifu. Watu imefikia hatua wanashona kaunda suti na kujifanya wanausalama. TII SHERIA BILA SHURUTI AU HAMA NCHI.
Wala sitamani kuvaa hizo nguo zenye kushabihiana na jeshi, maana nina nguo za kutosha. Ninachosema hilo jeshi lijihusishe na mambo ya maana, hizo nguo kuvaliwa na raia linaweza kushughulikiwa na polisi.Acha kunililia. Mimi sio CDF. Kama vipi Vaa hizo sare zao kisha pita pale Lugalo
Kwani ushoga tunaupinga kwa sababu ya Marekani au kwa sababu ya ubaya wa ushoga wenyewe? Tunaweza kuelezea athari za huo ushoga na tukaziona hizo athari hata huko Marekani kwenyewe, sasa huku kukatazana kuvaa nguo zenye kufanana na jeshi athari zake ni kwa Tz tu?Nakubaliana yaani Kila mtu katimba mabaka mabaka eti kisa marekani wanavaa! Mbona tunapinga ushoga na marekani wanaukubali?
Kwahiyo jeshi liko kiwilaya wilaya zaidi?Unaongea kimtaa mtaa mkuu
Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?
Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.
Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?
Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.
Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.
Wewe yanini maneno, si uvae tu utoke ukazurure nazo, usijali, muda wa chai utakunywa.Acha kuwa na mawazo ya kidikteta. Anasemwa Mungu litakuwa Jeshi hili la Nguo ??
Akikujibu nistuesasa huku kukatazana kuvaa nguo zenye kufanana na jeshi athari zake ni kwa Tz tu?
Waganga watakukamata na kukuchapa bakora kwa kuvaa nguo zao za uganga, maana unaweza kuzitumia kutapelia wateja wao!!Vipi mtu akivaa kama mganga? [emoji848]
Safi sana Taifa linahitaji Nguvu kazi kama hii...Sio mtu kung'angania kufanyia Unyangema Nguo za Jeshinkwa kigezo cha Majuu wanavaaSisi bado tunahitaji maji safi na salama pia tunahitaji umeme wa uhakika na mengineyo kibao !
Hatuhitaji sare za majeshi yetu tuvae kisha wengine wakafanyie utapeli !!
Sio kila kinachofanywa na wale wehu wa huko majuu na sisi tuige ! Big NO !!!
Ukiwa na vijana (boys) vema kuwazoesha kuvaa mavazi ya kijeshi ili wakue wakiipenda, na hatimaye waje kujiunga na kutumikia jeshini. Vema kueleza kiagaubaga hizo rangi kisayansi, kikemekali, kidesign, texture, density, reflection, strength zikoje. Huko mahakamani ya haki itakuwaje?Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?
Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.
Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?
Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.
Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.
JF inakupa kiburi na hiyo simu yako.Acha kuwa na mawazo ya kidikteta. Anasemwa Mungu litakuwa Jeshi hili la Nguo ??
Nadhani jeshi ndio linatakiwa kubadilika kisha ndio lianze kutumia nguvu kuzuia hizo nguo zenye kufanana na sare zao.Anaongea bila kufikiri huyo ,anaweza akavaa tu mtu t-shirt kama y bakabaka yuko kweny Gari akasimamishwa n traffic asisimame, hapa mtakuja kusema mjeda kakataa kusimama.
Hivi duniani kote wanajeshi wanapenda kuogopewa na raia kama ilivyo Tanzania?Nyie wote mnaokomalia kuvaa nguo za wajeda, naona mnajikuta much know sana kama kitu kimekatazwa msifosi. Nguo za kuvaa zipo nyingi. Je nao jeshi waseme wavae kama raia mtawachukuliaje? Tusikaze mafuvu yetu ili kuepusha shari na vyombo wa usalama.