Sheria ya Jeshi kuhusu mavazi ni ya kishamba na kizamani sana

Sheria ya Jeshi kuhusu mavazi ni ya kishamba na kizamani sana

Nazan wasi complicated mtu akivaa nguo zinazoendan na jeshi kwa 95% full uniform ndio achukuliwe hatua na jeshi la polis I

Sio umevaa tuu singilend yako ya mtumba ambayo inamabak tuu wakukamate tupo Zama za kutumia akili sio nguvu


ILA waache wavae uniform zao waend KZN mapema
 
Kwann uvae mavazi ya kijeshi,mbona ya wafungwa hawavai.
Kwann uvae mavazi usiyohusika nayo.
Mbona hawavai maoveroli
 
Kila nchi inaongozwa kwa utaratibu huwezi kuamka tu huko Umeshiba maharage unafikira kuvaa Combart za jeshi Watu wametoa machozi,jasho na damu kuzipata hizo.

Licha ya hivyo Tukumbuke kuwa kila mtu akianza kujiamria kutumia Mavazi ya Jeshi au taasisi yoyote kwa kuamua tu sidhani kama itakuwa sahihi.

Na hakuna nchi ambayo mtu anaamua tu kuvaa combart its Either ni msanii ama mwanamziki ambao kwa sheria hiyo hiyo ya Penal code 178 imeruhusu mtu yyte kutumia ila kwa kibali maalum cha kuzitumia kwa shughuli za kisanii

View attachment 2734897
Mkuu kwakuw umetoa Jasho ili uvae uniform za Jasho wengine wakivaa utaumia

Tafuta Ela babu
 
Akili za kiafrika zinatusumbua.

Siku tukiliondoa hili ndiyo mwisho wa raia kuonewa na vyombo vya usalama wao (Walinzi wa raia au wanajeshi) yaani raia anateswa na mlinzi wake kisa kavaa mavazi kama yake 😄😄😄😄....only in Africa
Kwann avae,mbona awavai ya mavazi ya mapadre au masister,au wafungwa.
 
Mtu unavaa nguo inayofanana na ya jeshi ili nini? Kwamba umekosa nguo nyingine kabisa?
Acha wapigwe tu ili akili iwakae sawa. Tz ukijifanya unaijua sheria kuliko sheria yenyewe ilihali umekosea utajua hujui. Huku sheria zipo kama ushahidi tu, ukileta ujuaji utabondwa tu na baada ya hapo hata hiyo sheria utakua umesahau.
Basi poa Kama nyinyi hamtaki tuvae nguo za mabakabaka,basi tutavaa kaunda suti za usalama wa Taifa tuone Kama nao usalama watatukataza!!
 
Mbona wauza Nyama wanavaa?
Wakiwa eneo lao la kazi yaani buchani Ile ni uniform ya kazi.
Sasa mtaani unavaa nguo ya jeshi why.
Au padre avae mavazi ya kipadri kwenye daladala au kahaba mavazi ya kazi yake kanisan.
Kila vazi na kazi yake
 
Kumbe tungejikita kuwaelimisha watu. Nguo za migambo waliotapakaa nchi nzima kila mtaa zinafanana na sare za polisi mbona haziongelewi?

Wanaotapeli kwa kofia ya kujifanya maafisa usalama wanatapeli mpk ofisini za serikali huko. Kwann hawaongelewi?

Kuna ka ujinga fulani ka wanajeshi kutaka kujiona wako tofauti kwa mavazi peke yake badala ya maarifa.
ELIMU.
Kujion special .
Kutak kila mtu awe chin Yao...

.tusake Ela
 
Kukataza watu kutumia nembo zao za taifa kama bendera, wimbo wa taifa na tunu zingine ilikua ujinga wa kiwango cha lami ndo maana wabongo wengi hawana uzalendo na nchi yao. Leo hii mtu akimaliza shule ya msingi anasahau kabisa wimbo wa taifa, ukienda nchi zingine zinapigwa kila kona, kila mtu ana bendera ya nchi yake. Bongo unafundishwa kuichukia nchi yako.
Ndio maana mwigulu nchemba ndiye mzalendo namba moja tz
 
Nguo za jeshi zina nembo bosi. Mabaka ya kwenye nguo hayajengi uhalali wa sare za jeshi bali nembo ya jeshi.

Kuzuia utapeli ni kisingizio tu. Mbona kila siku watu wanatapeliwa fedha kwa kutumia simu? TCRA wapo na jeshi lipo lkn hawana wanachofanya? Wanauona utapeli kwenye mavazi tu?
Hata rangi ni nembo,
 
Mtu unavaa nguo inayofanana na ya jeshi ili nini? Kwamba umekosa nguo nyingine kabisa?
Acha wapigwe tu ili akili iwakae sawa. Tz ukijifanya unaijua sheria kuliko sheria yenyewe ilihali umekosea utajua hujui. Huku sheria zipo kama ushahidi tu, ukileta ujuaji utabondwa tu na baada ya hapo hata hiyo sheria utakua umesahau.
Sikulaumu ndio matunda ya upe na shule za kanumba, mtaji mkubwa wa watawala wa nchi hii,upumbavu mkubwa kwa middle class, soma hii tena jwtz combats
Mtu unavaa nguo inayofanana na ya jeshi ili nini? Kwamba umekosa nguo nyingine kabisa?
Acha wapigwe tu ili akili iwakae sawa. Tz ukijifanya unaijua sheria kuliko sheria yenyewe ilihali umekosea utajua hujui. Huku sheria zipo kama ushahidi tu, ukileta ujuaji utabondwa tu na baada ya hapo hata hiyo sheria utakua umesahau.
Mwanajeshi hana uwezo wa kupiga raia?
Unaongea ukiwa nchi gani
Ukiwa kwenye nchi ambayo mwanajeshi anapiga raia,elewa unaishi in a shithole country
 
Kwani hao wezi kwenye ripoti ya CAG wanavaa sare za jeshi? Mnaacha uhalifu wa maana, mnahangaika na mambo madogo madogo ya mavazi.
Acha kunililia. Mimi sio CDF. Kama vipi Vaa hizo sare zao kisha pita pale Lugalo
 
Mambo ya Kishamba tu.... So Mtu akivaa Tshirt ama Pensi lake la Mabaka... akivunja dirisha nyumbani utamuangalia tu......
Umeona eeh! Ni ujinga na ushambat tu
 
Back
Top Bottom