Ndugu, sipingi maoni yako kwamba ni Mambo ya kizamani.Kama unaona ni Mambo yaliopitwa na wakati,hakuna aliyekukataza kuvaa.Jeshi halijakurupuka kutangaza jambo hili.Imefika wakati wa kutoufautisha matamko ya kisiasa na ya kijeshi.Nawashauri wanaoona kwamba haya ni Mambo ya kizamani WAVAE Weekend njema