Mzee23
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 1,731
- 3,628
Na ya pharmacy council piaSawa, tukafute na mitihani ya CPA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ya pharmacy council piaSawa, tukafute na mitihani ya CPA
Kwamba watakao penda waende wenyewe Law School duh mbona kama kuna mtego hapa kwa wasio kwendaHapo ni kwamba ukiwa na degree ya law waweza fanya kila kitu Kama wakili anavyofanya no limitation
School of law itakuepo Ila itakuwa sio lazima uende huko ndo upate muhuri au kufanya majukukumu mengine
Kwamba watakao penda waende wenyewe Law School duh mbona kama kuna mtego hapa kwa wasio kwenda
Uhuru usio na mipaka (reasonable) ni UTUMWA!Maisha huwa yanapendeza yakiwa hayana mipaka .
Mtu anasoma sheria miaka 4 alafu tena Law School ambayo hajui atamaliza lini wengine zaidi ya mwaka mmojaTuone watakaoenda watakuwa na ubora gani zaidi.
Wale miungu watu ilikuwa muda wa kuwafilisi.
Tuone watakaoenda watakuwa na ubora gani zaidi.
Wale miungu watu ilikuwa muda wa kuwafilisi.
Sasa fremu za mawakili zitakuwa zina kimbizana na za micro financeKada ya uwakili itakuwa na mabishoo sn huko mahakamani .
kama ambavyo hakuna mantiki ya kusoma English Medium Primary SchoolKama wamefanya hivi wapo sahihi Sana .
Hamna mantiki ya uwepo wa hiyo school of law
Mtu anasoma sheria miaka 4 alafu tena Law School ambayo hajui atamaliza lini wengine zaidi ya mwaka mmoja
Uhuru usio na mipaka (reasonable) ni UTUMWA!
kama ambavyo hakuna mantiki ya kusoma English Medium Primary School
Nakazia.😁😁😁
Pia advance haina mantiki MTU akifaulu vizuri aende chuo kikuu
Tunapoteza Sana muda
Samahani, mkuu, wewe ni mwanasheria?Utumwa mbaya ni ule wa kifikra wa kuamini kuwa school of law inatengeneza mawakili bora na kusahau kuwa ubora wa MTU ni zao la AKILI yake
Alafu unataka watu wasipeleke watt wao EMS 😄 ndio nn hiki nimesoma kayumba ona sasaQuici quid plantator solosolo cedit
Mkuu sio kweli ,mabadiliko ya sheria hiyo maana yake ni kuwa hapo awali ilikuwa ni lazima mtu yoyote aliyesoma LL.B ili ni lazima apite law school ili aweze kuajiliwa serikalini Kwa maana nyingine Kwa mtu aliyesoma LL.B tu ilikuwa haiana maana kwako Kwa habari ya kupata ajira popote Tanzania ,Sasa sheria hiyo imefungua mlango kuwa kama unataka kuwa wakili tu ndio utaenda law school ila kama ni legal officer au kada nyingine haitakukataza kuajiliwa hata ukiwa na LL.B ,Ila utaweza kupata mafunzo maalum ambayo sio kama Yale ya mawakili lakini utarat8bu wa mawakili kupatikana ni ule uleRasmi sasa ili kua wakili sio lazima kusoma shule kuu ya sheriaView attachment 3082157View attachment 3082158
Samahani, mkuu, wewe ni mwanasheria?