LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Hicho kilatini mkuu wanasheria kama DR HAYA LAND kama wanajua maana yakeAlafu unataka watu wasipeleke watt wao EMS π ndio nn hiki nimesoma kayumba ona sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho kilatini mkuu wanasheria kama DR HAYA LAND kama wanajua maana yakeAlafu unataka watu wasipeleke watt wao EMS π ndio nn hiki nimesoma kayumba ona sasa
πππHicho kilatini mkuu wanasheria kama DR HAYA LAND kama wanajua maana yake
πππππππππππππππππππSasa fremu za mawakili zitakuwa zina kimbizana na za micro finance
Nimehisi tu kwa hii move anayetafutwa ni TLS tuNi step ya kuivuruga kama sio kuiua kabisa TLS, watajazwa vibaraka wa CCM humo, na hii strategy kuna member aliisuggest humu kpnd mwabukusi kashinda uraisi wa TLS
Bora umewafafanulia vilazaMkuu sio kweli ,mabadiliko ya sheria hiyo maana yake ni kuwa hapo awali ilikuwa ni lazima mtu yoyote aliyesoma LL.B ili ni lazima apite law school ili aweze kuajiliwa serikalini Kwa maana nyingine Kwa mtu aliyesoma LL.B tu ilikuwa haiana maana kwako Kwa habari ya kupata ajira popote Tanzania ,Sasa sheria hiyo imefungua mlango kuwa kama unataka kuwa wakili tu ndio utaenda law school ila kama ni legal officer au kada nyingine haitakukataza kuajiliwa hata ukiwa na LL.B ,Ila utaweza kupata mafunzo maalum ambayo sio kama Yale ya mawakili lakini utarat8bu wa mawakili kupatikana ni ule ule
Wengi hawajaelewa bora umewafafanulia, watu wa LLB ni muda wao kupata ajira bila ya kwenda Law schoolβ¦Mkuu sio kweli ,mabadiliko ya sheria hiyo maana yake ni kuwa hapo awali ilikuwa ni lazima mtu yoyote aliyesoma LL.B ili ni lazima apite law school ili aweze kuajiliwa serikalini Kwa maana nyingine Kwa mtu aliyesoma LL.B tu ilikuwa haiana maana kwako Kwa habari ya kupata ajira popote Tanzania ,Sasa sheria hiyo imefungua mlango kuwa kama unataka kuwa wakili tu ndio utaenda law school ila kama ni legal officer au kada nyingine haitakukataza kuajiliwa hata ukiwa na LL.B ,Ila utaweza kupata mafunzo maalum ambayo sio kama Yale ya mawakili lakini utarat8bu wa mawakili kupatikana ni ule ule
Aise!MTU Kama ameshindwa kushibia katika sahani je atashibia katika mwiko?
MTU akae chuo 3-4 then useme hawezi kufanya Kazi mpaka apite shule ya sheria
Kwa hili serikali imefanya vzr
Acha tufikiwe tu kwakweliVipi na CPA nao watafikiwa!!?
Soon uwakili unakua kama uwalimu so sad
Mkuu mbona umefurahia sana wewe ni Learned LawyerThis is defeated mind set .
Hata mimi nimehisi hivyo. Kuna hesabu inapigwa kwa utaalam mkubwa ili kuipasua TLS. Na kumnyofoa Mwabukusi kwa hesabu kali.Nimehisi tu kwa hii move anayetafutwa ni TLS tu
Mkuu mbona umefurahia sana wewe ni Learned Lawyer
Sawa lakini toa mapendekezo ya nini kifanyike wawe competent pia.Mimi ni muumini wa uwezo na positivity.
Na ukiwa muumini wa haya mambo lazima ufurahie kuona waliokuzunguka wanaondolewa mipaka na kufanikiwa.
I'm not a lawyer
Sawa lakini toa mapendekezo ya nini kifanyike wewe competent pia.