Sheria ya kusoma shule kuu ya sheria yaondolewa

Sheria ya kusoma shule kuu ya sheria yaondolewa

Ni ukosefu wa wanasheria makini na waadilifu mkuu. Mwanasheria makini na muadilifu ni yule anayeweza kusimamia taaluma yake hadi mwisho, na unaposhauri ukaona ushauri wako haujasikilizwa, ili kulinda taaluma yako unajiuzulu.

Kama wewe ni mwanasheria, ukimshauri mteja wako jambo analotaka kufanya ni kinyume na sheria akaendelea kulifanya na ukamsaidia, utasema wewe ni mwanasheria muadilifu?

Nimesomea sheria na kufanya kazi Mahakamani, Firm na kwenye Jamii.

Ninaandika nilichokishuhudia toka kwenye Miswada, Bungeni, Serikalini na Mahakamani.
 
Mkuu sio kweli ,mabadiliko ya sheria hiyo maana yake ni kuwa hapo awali ilikuwa ni lazima mtu yoyote aliyesoma LL.B ili ni lazima apite law school ili aweze kuajiliwa serikalini Kwa maana nyingine Kwa mtu aliyesoma LL.B tu ilikuwa haiana maana kwako Kwa habari ya kupata ajira popote Tanzania ,Sasa sheria hiyo imefungua mlango kuwa kama unataka kuwa wakili tu ndio utaenda law school ila kama ni legal officer au kada nyingine haitakukataza kuajiliwa hata ukiwa na LL.B ,Ila utaweza kupata mafunzo maalum ambayo sio kama Yale ya mawakili lakini utarat8bu wa mawakili kupatikana ni ule ule
Well Said
 
Wakati tunamaliza form six miaka ile ya 1986 ili kusoma medicine walianzisha kitu kinaitwa remedial course jamaa yangu mmoja pamoja na kufaulu vizuri PCB hii kozi ilimtoa.
Akatumia mbinu zake akaenda kusoma urusi karudi nchini kasoma kozi zingine tena kwa sasa ni proffessor na ni lecturer wa medicine.
Hivi na ile ya walimu iliishia wapi?
Kitu kikipangwa kisiasa kinakuwa cha hovyo sana mfano ule mpango wa UPE miaka ileeeeeee?
 
Aibu.

Yaani suluhu ya wanafunzi kufeli ni kuiondoa hiyo shule??

Tunajenga Taifa la namna gani ?? Ambalo watu wanakwepa changamoto badala ya kukabiliana nazo??
Kwani China,Dubai na USA wamejenga taifa la namna Gani baada ya kutokea vipaumbele kwenye hayo maprofesionally zaidi ya professional zenye tija katika nyanja za Science na teknolojia?
 
Mimi kweli pale law school wale jamaa nadhani kwa hapa Tanzania wanaongoza kwa weledi.

Hawaangalii sura sijui wewe ni nani au umetoka wapi kama umefeli umefeli tu.

Sasa wale wanaopenda mteremko hawapendi hilo.

Huyo kabudi mwenyewe hajawahi kufaulu Bar exam, uwakili wake ni wa kupewa tu.
Wewe kweli ndo kilaza na kihio namba Moja kwa hyo kumbe unaamini Kila mtu anayefeli kwa makaratasi ya darasani Hana akili na weledi? Wewe nkikuuliza hyo taaluma yako toka umeipata umeshaleta mabadiliko mangapi kwenye taifa lako unitajie matatu tu na Mimi nitajipima wendawazimu wangu.Suala la hyo shule yenu na walimu wenu wenye mentality duni kujisifia kufelisha Bado haigurantee nafasi ya mtu mwenye bachelor degree from UNI yoyote kwamba Hana uwezo na ndo maana elewa kitu kinaitwa Added Advantage anaeweza akaweza Sijui Hakimu na mtu ambaye huo muhuri Hana na akapiga kazi vizuri na kwa weledi mfano mzuri Mimi ni mhasibu na CPA nko nayo na Kuna mwenzangu ni kishoka tu na Hana hata CPA lakini anapata Hela zaidi yangu tupo nae hapa mjini ndo utajua hujui na wewe na huo muhuri wako wa Afutatu Oiiii!!
 
Back
Top Bottom