Sheria ya kusoma shule kuu ya sheria yaondolewa

Sheria ya kusoma shule kuu ya sheria yaondolewa

The amendment therein haizungumzii uliyopost mkuu, ukitaka kuwa mwanasheria njia bado ni ile ile. Vijana mlio vyuoni someni kama hakuna kesho, Utajuaje kuexecute or present critical cases kotini usipojua vitendo. LST ndiyo kichungi, jikaze na utafaulu tu, ile shule ni simple sana kwa mtu aliyemakinika.
Watanzania wengi wana tatizo la uelewa, na waandishi wa habari ndio tatizo kabisa, na ndio fani inayoelekea shimoni kwa sasa. Hawafanyi tafiti, hawasomi, wakipata kichwa cha habari wana habari nzima. Unaweza kuona vile wamepotosha hii habari. Na kwakuwa watanzania ni wazee wa kusoma vichwa vya habari basi nao wameruka nayo na kuondoka na taarifa ya kichwa cha habari.
 
Hizo ni sheria tu, na sheria nyingi za nchi yetu hazitekelezwi. Sioni kama kuna taasisi itamuona mtu amefaulu hapo shule ya sheria imuache na imchukue mtu kwenye shahada ya sheria ambayo kuipata kwa sasa huko vyuoni ni rahisi sana hata kwa kufanyiana assignments hata kama haitajiki kwa kazi za uwakili.
Ni kweli mkuu kwa ushindani wa ajira bado Law Schol ina umuhimu sana
 
Hiyo Law school ilikuwa kichaka cha kunyima vijana fursa na kuwahemyesha na kuwakamua ada kubwa bila sababu, hayo yanayofundishwa Law school yafundishwe Chuoni katika kile kipindi cha kiaka minne
 
Ni kweli mkuu kwa ushindani wa ajira bado Law Schol ina umuhimu sana
Niliwahi kusema humu, kuna taaluma mbili ambazo katika nchi hutakiwi kucheza nazo wala kuzifanyia siasa za kijinga. Ni udaktari/utabibu na hawa wa sheria.

Hizi taaluma hata kama utachuja ili kupata watu makini na bora zaidi ni sawa. Hata ukitoa watu kumi kila mwaka ni sawa. Tusiangalie watu wengi, tuangalie watu bora.
 
Niliwahi kusema humu, kuna taaluma mbili ambazo katika nchi hutakiwi kucheza nazo wala kuzifanyia siasa za kijinga. Ni udaktari/utabibu na hawa wa sheria.

Hizi taaluma hata kama utachuja ili kupata watu makini na bora zaidi ni sawa. Hata ukitoa watu kumi kila mwaka ni sawa. Tusiangalie watu wengi, tuangalie watu bora.
Kwahiyo Wahandisi wa majengo umetuweka wapi hapo?
 
Niliwahi kusema humu, kuna taaluma mbili ambazo katika nchi hutakiwi kucheza nazo wala kuzifanyia siasa za kijinga. Ni udaktari/utabibu na hawa wa sheria.

Hizi taaluma hata kama utachuja ili kupata watu makini na bora zaidi ni sawa. Hata ukitoa watu kumi kila mwaka ni sawa. Tusiangalie watu wengi, tuangalie watu bora.
Mwenyewe ndio unaona umeandikaaaa. Watu bora ni wale wenye hofu ya Mungu hata upite law school 5 kama hakuna hofu ya Mungu ni bule tu. Watu kibao wanazulumiwa haki zao katika vyombo vya sheria kwa ushahidi wa wazi kisa Dinari. Watu wanakimbili kwenye majukwaa ya siasa ili wapate haki zao sasa hapo kuna maana gani ya hiyo School of law zaidi ya kula ada za watoto wa walala hoi
 
Mwenyewe ndio unaona umeandikaaaa. Watu bora ni wale wenye hofu ya Mungu hata upite law school 5 kama hakuna hofu ya Mungu ni bule tu. Watu kibao wanazulumiwa haki zao katika vyombo vya sheria kwa ushahidi wa wazi kisa Dinari. Watu wanakimbili kwenye majukwaa ya siasa ili wapate haki zao sasa hapo kuna maana gani ya hiyo School of law zaidi ya kula ada za watoto wa walala hoi
Kama una akili sawasawa na huna tatizo la uelewa, ulichoandika hapa ndicho nilichoandika mimi. Tuache utaratibu wa kupitisha watu, tuchuje watu na tubaki na watu sahihi na makini na waadilifu hata kama wakiwa wachache. Watu waadilifu hawawezi kufanya hayo unayolalamikia.

Maadili unayofunzwa katika taaluma yako ndio yanakupa msaada katika utendaji wako, hayo mambo ya hofu ya Mungu, kuna watu hata hawamuamini huyo 'Mungu' wako.
 
Umeelewa vibaya. Ili uwe wakili wa kujitegemea, Hakimu ama wakili wa serikali sharti la kusoma law school lipo pale pale.

Ila kwa mtu anayetaka kufanya kazi za kisheria nje ya nafasi hizo tatu basi halazimiki kupitia law school.
Kwa Mimi bado naona mkanganyoko.
Huyu mtu asiyeenda school of law atafanyeje ili kutenda sawa na matakwa ya Sheria ili hata ikitokea swala linaenda mahakan awe katika upande salama?
 
IMG_3453.jpeg
IMG_3453.jpeg
Kifungu kilichorekebishwa

Marekebisho.
NB: Sharti la kusoma LST lipo palepale isipokuwa, "ni kwa mtu yeyote anayetaka kuwa Wakili, hakimu au State Attorney ndiye anatakiwa apitie LST.

Zamani sheria iliwataja "law degree students" ila Sasa ni "any person".
Screenshot_20240830-195522.png
 
Kama una akili sawasawa na huna tatizo la uelewa, ulichoandika hapa ndicho nilichoandika mimi. Tuache utaratibu wa kupitisha watu, tuchuje watu na tubaki na watu sahihi na makini na waadilifu hata kama wakiwa wachache. Watu waadilifu hawawezi kufanya hayo unayolalamikia.

Maadili unayofunzwa katika taaluma yako ndio yanakupa msaada katika utendaji wako, hayo mambo ya hofu ya Mungu, kuna watu hata hawamuamini huyo 'Mungu' wako.
Kwa hiyo kwa akili zako za kukopa kwa Mumeo ndio unaona mchujo wa mitihani ya law of school ndio suluhisho. Kwa maana suala unaloongea kuhusiana na mchujo ndio hicho kinachofanyika sasa, watahiniwa zaidi ya 1000 wanafauli aprox between 70 na Miamoja hiyo ni sawa. Mbona bado kwa hiyo cream iliyochujwa hatuoni haki ikitendeka kwa wenye haki mpaka watu wanawakimbilia kwa wanasiasa.

Na kama hawamuamini Mungu wangu ila, wanamuamini mungu wako hayo maadili unayoyataka yatatoka wapi?
 
Pole pole mafyongo yaliyoko law school yanayo lalamikiwa yataeleweka.

PhD holder wa law kutoka Havard anafeli LST, mtindo mmoja.

Ni Kwa mambumbumbu ya uswahilini ya aina za kina Stroke kuuhalalisha ukweli huo.

Kinacholalamikiwa si uwepo wa LST, ila mafyongo yake.

Pole pole tutafika panapopaswa kuwa.

Udhwalimu haujawahi kushinda!
Havard sio kwa kila mtu ,hauwezi soma havard ukafeli law school au CPA tuache ubabaishaji ,wenzetu kwenye shule wako mbele ya muda, hayo mambo ambayo ni magumu law school kwa wanafunzi wa havard,yale ,oxford ,etc ni vitu vidogo sana
 
Kwa hiyo kwa akili zako za kukopa kwa Mumeo ndio unaona mchujo wa mitihani ya law of school ndio suluhisho. Kwa maana suala unaloongea kuhusiana na mchujo ndio hicho kinachofanyika sasa, watahiniwa zaidi ya 1000 wanafauli aprox between 70 na Miamoja hiyo ni sawa. Mbona bado kwa hiyo cream iliyochujwa hatuoni haki ikitendeka kwa wenye haki mpaka watu wanawakimbilia kwa wanasiasa.

Na kama hawamuamini Mungu wangu ila, wanamuamini mungu wako hayo maadili unayoyataka yatatoka wapi?
Kwanza huna adabu, hili ni jukwaa la watu waliostaaharabika na wewe umenionesha ni mtoto mjinga. Na watoto wajinga kama wewe huwa mnafikiri maneno uliyotumia hapo juu na nikakusaidia kuyabold kwa wino mwekundu ni silaha na yanaweza kumkwaza mtu. Pole!

Pili, kama unataka kujadiliana na mimi hapa jukwaani, kaa chini na ujielimishe jinsi ya kujadiliana na watu usiowafahamu mitandaoni na ni majina gani unapaswa kutumia kama hujui au huna hakika na jinsia ya mtu.

Tatu, una uelewa mdogo sana wa mambo.
 
Back
Top Bottom