Sheria ya kusoma shule kuu ya sheria yaondolewa

Sheria ya kusoma shule kuu ya sheria yaondolewa

Ujinga kabisa, Bila shaka imeondolewa Kwa ajili tu ya TLS ya Mwabukusi.

Yaan ili mradi umalize Shahada yako chuo Cha matopeni na GPA yako ya 3.0, unajiita mwanasheria Msomi na wewe unakua na muhuri wako, unaanza kula Hela za watu.
 
Mkuu sio kweli ,mabadiliko ya sheria hiyo maana yake ni kuwa hapo awali ilikuwa ni lazima mtu yoyote aliyesoma LL.B ili ni lazima apite law school ili aweze kuajiliwa serikalini Kwa maana nyingine Kwa mtu aliyesoma LL.B tu ilikuwa haiana maana kwako Kwa habari ya kupata ajira popote Tanzania ,Sasa sheria hiyo imefungua mlango kuwa kama unataka kuwa wakili tu ndio utaenda law school ila kama ni legal officer au kada nyingine haitakukataza kuajiliwa hata ukiwa na LL.B ,Ila utaweza kupata mafunzo maalum ambayo sio kama Yale ya mawakili lakini utarat8bu wa mawakili kupatikana ni ule ule
Lini mtu asiye wakili hakuweza ajiriwa ktk utumishi wa umma? Utakua mtoto wewe.
 
The amendment therein haizungumzii uliyopost mkuu, ukitaka kuwa mwanasheria njia bado ni ile ile. Vijana mlio vyuoni someni kama hakuna kesho, Utajuaje kuexecute or present critical cases kotini usipojua vitendo. LST ndiyo kichungi, jikaze na utafaulu tu, ile shule ni simple sana kwa mtu aliyemakinika.
 
Mimi kweli pale law school wale jamaa nadhani kwa hapa Tanzania wanaongoza kwa weledi.

Hawaangalii sura sijui wewe ni nani au umetoka wapi kama umefeli umefeli tu.

Sasa wale wanaopenda mteremko hawapendi hilo.

Huyo kabudi mwenyewe hajawahi kufaulu Bar exam, uwakili wake ni wa kupewa tu.

Kwamba uhalisia wako umejengwa kwenye kudhania?

IMG_20240824_065438.jpg


Bure kabisa!
 
Hakuna dhuluma.

Sema uwezo mdogo tu ulio nao.

Mmezoea kufaulu kwa kujipendekeza kwa lectures,

Pale LST hicho kitu hakipo. Hata ukifanikiwa kupata mtihani kwa njia za panya huta kaa ufaulu wana njia zao za kudeal na wezi wa mitihani.

Iko hivyo mzee. Hongereni sana LST vilaza wakiifuta hiyo shule hakuna tatizo, mmetimiza wajibu wenu Taifa haliwadai.

Kwani wewe ni nani kujipa u halali wa kuhalalisha lolote?

Wapi nani alikwambia anataka mtihani nje ya utaratibu?

Au hata hiyo mitihani itokeje nje ya utaratibu?

Mada hata umeielewa tokea kwenye kijiwe cha boda boda pale?
 
Hakuna dhuluma.

Sema uwezo mdogo tu ulio nao.

Mmezoea kufaulu kwa kujipendekeza kwa lectures,

Pale LST hicho kitu hakipo. Hata ukifanikiwa kupata mtihani kwa njia za panya huta kaa ufaulu wana njia zao za kudeal na wezi wa mitihani.

Iko hivyo mzee. Hongereni sana LST vilaza wakiifuta hiyo shule hakuna tatizo, mmetimiza wajibu wenu Taifa haliwadai.
Ww ni bushlawyer au bushshamba? Hv unaelewa kilichobadilishwa!?
 
PhD holder wa kutoka havard anafeli LST?
Kwanza ni nani huyo? Shaka na huu ukweli

Pili hakuna formula kuwa sababu ulisoma sehemu flani basi ukienda sehemu flani pia utafaulu tu, hii sio kwenye education bali ni kwenye sekta zote ndio maana unaona hata kwenye soka shishimbi alikua mchezaji tishio Yanga Ila alipoenda Tabora United akafeli

Acha maisha ya kukariri

Ulichoandika hapa unamaanisha kufaulu LST hakuna formula.

Ni mwendo wa ku bet au kuangaliana usoni?

Hilo ni kinyume cha utaratibu na ndiyo maana kuna TCU kwa ajili ya harmonization.

Elimu ya juu siyo Simba na Yanga ndugu!
 
Mimi kweli pale law school wale jamaa nadhani kwa hapa Tanzania wanaongoza kwa weledi.

Hawaangalii sura sijui wewe ni nani au umetoka wapi kama umefeli umefeli tu.

Sasa wale wanaopenda mteremko hawapendi hilo.

Huyo kabudi mwenyewe hajawahi kufaulu Bar exam, uwakili wake ni wa kupewa tu.
Hiko ndio kilio kwa nchi yetu kuwa sehemu zote tupate aina ya watu walioko LST. Hawa wajinga wachache huwa hawakosekani uzuri hupuuzwa
 
Ulichoandika hapa unamaanisha kufaulu LST hakuna formula.

Ni mwendo wa ku bet au kuangalia a usoni.

Hilo ni kinyume cha utaratibu na ndiyo maana kuna TCU kwa ajili ya harmonization.

Elimu ya juu siyo Simba na Yanga ndugu!
Sio kubet bali kuonyesha kuwa ukiwa hapo wapo serious hakuna kuangalia mtu usoni. Utafaulu kama utakua vizuri, na utafeli kama utakua hovyo.
Ni sawa na TO wa advance ategemee akienda chuo kwa mazingira yoyote atafaulu tu, hiyo haipo
Ndio maana wapo TO ambao wamewahi ku-disco University
Na wapo waliopata Div 2 or 3 lakini wakaondoka na first class.
 
Sio kubet bali kuonyesha kuwa ukiwa hapo wapo serious hakuna kuangalia mtu usoni. Utafaulu kama utakua vizuri, na utafeli kama utakua hovyo.
Ni sawa na TO wa advance ategemee akienda chuo kwa mazingira yoyote atafaulu tu, hiyo haipo
Ndio maana wapo TO ambao wamewahi ku-disco University
Na wapo waliopata Div 2 or 3 lakini wakaondoka na first class.

TO ndiyo kina nani ndugu?

Hata hivyo tuko busy na mliowateka.

Samahani lakini

Cc: Stroke fyi
 
Bora wamefuta kwa sababu watoto wa masikini walikosa
ajira kwa kulazimishwa kutafuta postgraduate diploma in Law wakati
amesha soma L.L.B 4 years.
Hizo ni sheria tu, na sheria nyingi za nchi yetu hazitekelezwi. Sioni kama kuna taasisi itamuona mtu amefaulu hapo shule ya sheria imuache na imchukue mtu kwenye shahada ya sheria ambayo kuipata kwa sasa huko vyuoni ni rahisi sana hata kwa kufanyiana assignments hata kama haitajiki kwa kazi za uwakili.
 
Back
Top Bottom