Ni ukosefu wa wanasheria makini na waadilifu mkuu. Mwanasheria makini na muadilifu ni yule anayeweza kusimamia taaluma yake hadi mwisho, na unaposhauri ukaona ushauri wako haujasikilizwa, ili kulinda taaluma yako unajiuzulu.
Kama wewe ni mwanasheria, ukimshauri mteja wako jambo analotaka kufanya ni kinyume na sheria akaendelea kulifanya na ukamsaidia, utasema wewe ni mwanasheria muadilifu?
Well SaidMkuu sio kweli ,mabadiliko ya sheria hiyo maana yake ni kuwa hapo awali ilikuwa ni lazima mtu yoyote aliyesoma LL.B ili ni lazima apite law school ili aweze kuajiliwa serikalini Kwa maana nyingine Kwa mtu aliyesoma LL.B tu ilikuwa haiana maana kwako Kwa habari ya kupata ajira popote Tanzania ,Sasa sheria hiyo imefungua mlango kuwa kama unataka kuwa wakili tu ndio utaenda law school ila kama ni legal officer au kada nyingine haitakukataza kuajiliwa hata ukiwa na LL.B ,Ila utaweza kupata mafunzo maalum ambayo sio kama Yale ya mawakili lakini utarat8bu wa mawakili kupatikana ni ule ule
waganga wa kienyeji nao wataingilia kati sasa hapaNa ya pharmacy council pia
Kwani China,Dubai na USA wamejenga taifa la namna Gani baada ya kutokea vipaumbele kwenye hayo maprofesionally zaidi ya professional zenye tija katika nyanja za Science na teknolojia?Aibu.
Yaani suluhu ya wanafunzi kufeli ni kuiondoa hiyo shule??
Tunajenga Taifa la namna gani ?? Ambalo watu wanakwepa changamoto badala ya kukabiliana nazo??
Wewe kweli ndo kilaza na kihio namba Moja kwa hyo kumbe unaamini Kila mtu anayefeli kwa makaratasi ya darasani Hana akili na weledi? Wewe nkikuuliza hyo taaluma yako toka umeipata umeshaleta mabadiliko mangapi kwenye taifa lako unitajie matatu tu na Mimi nitajipima wendawazimu wangu.Suala la hyo shule yenu na walimu wenu wenye mentality duni kujisifia kufelisha Bado haigurantee nafasi ya mtu mwenye bachelor degree from UNI yoyote kwamba Hana uwezo na ndo maana elewa kitu kinaitwa Added Advantage anaeweza akaweza Sijui Hakimu na mtu ambaye huo muhuri Hana na akapiga kazi vizuri na kwa weledi mfano mzuri Mimi ni mhasibu na CPA nko nayo na Kuna mwenzangu ni kishoka tu na Hana hata CPA lakini anapata Hela zaidi yangu tupo nae hapa mjini ndo utajua hujui na wewe na huo muhuri wako wa Afutatu Oiiii!!Mimi kweli pale law school wale jamaa nadhani kwa hapa Tanzania wanaongoza kwa weledi.
Hawaangalii sura sijui wewe ni nani au umetoka wapi kama umefeli umefeli tu.
Sasa wale wanaopenda mteremko hawapendi hilo.
Huyo kabudi mwenyewe hajawahi kufaulu Bar exam, uwakili wake ni wa kupewa tu.