Kamlaumu mama'ko aliyekuwa anaigawa kama pipi ya sadaka.Maadili which? Maadili who? Mimi kama mtoto wa nje ya ndoa wakininyima urithi basi patachimbika bila hata mpini
Umepumbazwa na dini yakoKamlaumu mama'ko aliyekuwa anaigawa kama pipi ya sadaka.
Siyo urithi tu, hata jina la baba hupewi.
Masuala ya kidini yatamalizwa kwa mafundisho na taratibu za diniNiende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?
Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?
Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.
Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?
Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .
Samahani nilisahau kukuambia Kuwa kama unakereka na mafundisho na sheria za dini yeyote basi acha Kuwa muumini, ila kaa ikitambua Kuwa hayakuwa maamuzi yako kuzaliwa na hata kufa pia hujui lini utakuwa, dunia isikupumbaze,. Kwa mujibu wa takwimu za idadi ya watu duniani ukristo na uislamu ndizo dini zenye wafuasi wengi hapa duniani, hivyo basi wewe na makasiriko yako na matamanio ya nafsi yako si kitu kwenye sheria za kidiniNiende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?
Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?
Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.
Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?
Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .
Umepumbazwa na dini yako
Kwanini asimlaume baba yake aliyekua anachovya kama kuku?
Sex ni makubaliano ya pande mbili
Wale wa proud to be Muslim tutawajua tu,hayo mafundisho sio ya Mungu niyawatu wachache wasijielewa walikaa wakaanfika ushuzi waoMasuala ya kidini yatamalizwa kwa mafundisho na taratibu za dini
Kingine acheni uzinifu, dini imekataa kuzini, hekima yake ndio kama hivi.
Ikiwa sheria ingempa nafasi ya kurithi mali mtoto wa nje ya ndoa basi na zinaa ingekuwa halali.
Kingine tumia akili, elimu na hekima kwenye mazungumzo yako halafu fikiri kabla ya kutenda.
Uislamu na dini nyingine hazikosei kwa kufuata sheria na kanuni zitokanazo na mafundisho na maamrisho ya Mungu.
Usije na hoja nyingine kwa sababu una matatizo ya afya ya akili.
Nimemaliza na naomba kuwasilisha.....
Unaweza isikutokee wewe ila kizazi chako ikayokea kwaio usijifanye mjuaji sana , kwnz ivo vitabu viliandikwa na watu tu kama mimi na wewe, hao hao ndio walitumia vitabu hivyo kuwaaminisha mababu zetu kuwa kuoa wake wengi ni dhambi na uzinzi lkn wao wametuletea ushoga na usagaji et ni halali mme kuoa mme mwenzie bullshit wandawazimu wote mnaamini dini za kujaQuran kwa hilo îpo Sahihî.
Hata Biblia ipo hivyohivyo.
Rejea Kisa cha Ibrahim na watoto zake, Isaka na Ishmael.
Na sio uislamu tu ambao umeweka sheria hiyo bali hadi ukristo nao umeweka wazi juu ya suala hilo.Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?
Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?
Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.
Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?
Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .
na wewe pia huamini kuhusu Mungu na kama utatuongopea Kuwa unaamini kuhusu Mungu tupe maelezo kuhusu mafundisho na maamrisho ya huyo Mungu unaemuamini.Wale wa proud to be Muslim tutawajua tu,hayo mafundisho sio ya Mungu niyawatu wachache wasijielewa walikaa wakaanfika ushuzi wao
Hizi dini zimeanzishwa na watu hakuna uhakika wowote Mungu hawezi kumkataa mtoto et kisa amezaliwa nje ya ndoa hao waliandika vitabu niwajinga tu, ni katae mwanangu et kisa kitabu kimeandika huo si wendawazimuNa sio uislamu tu ambao umeweka sheria hiyo bali hadi ukristo nao umeweka wazi juu ya suala hilo.
Kama wewe ni mkristo basi unawakilisha zaidi ya 80% ya wenzako ambao hawana muda wa kusoma maandiko ya biblia na maelezo kuhusu ukristo wao.
Na ndio maana zikija mada za kidini wengi wa wakristo wanapenda kuelezea matamanio ya nafsi zao kuliko ukweli wa mambo ulivyo, mfano mzuri ni mgogoro wa Israel na palestina, yaani wakristo wapo radhi kusikia waisrael ambao ni wayahudi wanawazuia waumini wa kikristo kufanya ibada kanisani na wao wanaoshabikia manyanyaso wanayokumbana nayo wenzao, kwa kweli inasikitisha halafu kuthibitisha Kuwa ninyi ni wavivu wa kusoma huwa mnashindwa hata kugugo mambo machache kuhusu hiyo Israel mñayoishabikia, ukisoma kwa wikipedia maelezo kuhusu Israel kwenye suala la kidini ni Kuwa asilimia kubwa ya waisrael ni wayahudi then wanafuata waislamu na waliobakia kwa uchache wao ni wakristo na waumini wa dini nyinginezo, lakini hali ni tofauti huko ghaza ambapo majority ni waislamu then wakristo wapo nafasi ya pili kwa uwingi ila unalikuta jitu kutoka tz anasema bora tu hao wapalestina wafe bila kujua Kuwa wakristo wenzake nao pia ni wahanga wa vita.
Asnte sana ndugu GOLD BOY. Mimi nakuomba usome zaidi kuhusu UISLAMU. Kuna mambo ambayo baba wa mtoto wa kando anatakiwa kufanya juu ya mtoto huyu. Mambo ya mirathi ni wakati mtu amekufa lakini akiwa hai kuna mambo anatakiwa atekeleze. Pengine utaelimika zaidi ikiwa utachukuwa muda ukapata mtu sahihi akakufahamisha.Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?
Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?
Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.
Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?
Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .
Mungu hajamkataa mtoto, bali Mungu amekataza zinaa kwa sababu maalumu na lengo moja wapo ni kulinda heshima ya mwanamke pamoja na kuzifanya ndoa zidumu na ndio maana kwenye suala la ndoa kuna maelezo mengi yenye kuhitaji usikivu wa hali ya juu......!!!Hizi dini zimeanzishwa na watu hakuna uhakika wowote Mungu hawezi kumkataa mtoto et kisa amezaliwa nje ya ndoa hao waliandika vitabu niwajinga tu, ni katae mwanangu et kisa kitabu kimeandika huo si wendawazimu
Mungu hajamkataa mtoto, bali Mungu amekataza zinaa kwa sababu maalumu na lengo moja wapo ni kulinda heshima ya mwanamke pamoja na kuzifanya ndoa zidumu na ndio maana kwenye suala la ndoa kuna maelezo mengi yenye kuhitaji usikivu wa hali ya juu......!!!Hizi dini zimeanzishwa na watu hakuna uhakika wowote Mungu hawezi kumkataa mtoto et kisa amezaliwa nje ya ndoa hao waliandika vitabu niwajinga tu, ni katae mwanangu et kisa kitabu kimeandika huo si wendawazimu
Kwa hiyo ina maana Qur'an ibadilishwe au vp?, Qur'an ina miaka takribani 1400 tokea iteremshwe na haijawahi kubadilishwa ije kubadilishwa kwa sababu ya tamaa ya mali.Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .