Sheria ya Mirathi ya Kiislamu kwa mtoto wa nje ya ndoa ibadilishwe

Sheria ya Mirathi ya Kiislamu kwa mtoto wa nje ya ndoa ibadilishwe

Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?

Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?

Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.

Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?

Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .
Uasherati uruhusiwe! Kuna uwezekano pia akawa si mtoto halisi wa marehemu.
 
Unaweza isikutokee wewe ila kizazi chako ikayokea kwaio usijifanye mjuaji sana , kwnz ivo vitabu viliandikwa na watu tu kama mimi na wewe, hao hao ndio walitumia vitabu hivyo kuwaaminisha mababu zetu kuwa kuoa wake wengi ni dhambi na uzinzi lkn wao wametuletea ushoga na usagaji et ni halali mme kuoa mme mwenzie bullshit wandawazimu wote mnaamini dini za kuja

Wewe umeitaja Quran ndio Watu wanakueleza kuhusu taratibu za dini hizo za Ibrahim.

Suala la kuamini hizo dini ni la mtu binafsi. Kwani wewe au mimi ni lazima kuwa muislamu au Myahudi?
Ukishakuwa kwenye dini za Watu fuata maelekezo ya dini husika. Ukitaja dini fulani fuata maelekezo ya dini husika. Ûsilete maoni yako binafsi kwenye dini za Watu.

Hayo maoni yako binafsi yatumie kuanzisha dini yako ili upate Wafuasi watakaofuata maoni yako.

Unaweza kuwa sawa lakini sio katika dini na imani za Watu. Upo sawa kwenye maoni na mtazamo wako ambao unaweza kûutumia kwa uhuru kuanzisha dini yako au kuacha hizo dini za kigeni ukawa msela nunda
 
Sheria nzuri sana hiyo inachangia kuzuia uzinifu, baadhi ya wanawake wanajilengesha mimba za matajiri kwa mbinu zote ili watoto wao warithi mali, mtu na mkewe wamekula dagaa na sukuma wiki ili wajenge, anakuja mpango wa kando na mwanawe kwenye matanga kudai mirathi.
Huo ni mtazamo mfupi tu wala hauakisi faida hiyo,hasara anapata mtoto ambaye hajui hata nyege zenu ziliwafika kwa utaratibu upi.

Ni kama ile ya kufunika mwili wote isipokuwa pua,mvuto wa mwanamke hauamui ngono ila mtazamo uliopo kichwani mwa mwanamume na huyo mwanamke husika,naye anawezaona tu kifua cha mwanamume akamtamani.
 
Kuna mtu aliweka uzi kuhusu hili suala na kwenye maelezo ya huo uzi kuna sehemu ya mirathi ya kimila kwa mtoto wa nje ya ndoa.. nalo kalitizame vizuri

The best and only solution for this is to stop what called zinaa
Mila nyingi za africa hazitambui mtoto wa zinaa, jamaa kama yupo huru aombe elimu juu ya hilo .
 
Sasa hivi hakuna mtu anayetaka kutumia sheria zilizopitwa na wakati kama sheria za kidini na za kimila
Huyo baba kama angekua mfuata dini kweli asinge zaa nje ya ndoa at first place
Hakuna mtu analazimishwa kutumia hizi sheria
😛 😛
 
Na sio uislamu tu ambao umeweka sheria hiyo bali hadi ukristo nao umeweka wazi juu ya suala hilo.

Kama wewe ni mkristo basi unawakilisha zaidi ya 80% ya wenzako ambao hawana muda wa kusoma maandiko ya biblia na maelezo kuhusu ukristo wao.

Na ndio maana zikija mada za kidini wengi wa wakristo wanapenda kuelezea matamanio ya nafsi zao kuliko ukweli wa mambo ulivyo, mfano mzuri ni mgogoro wa Israel na palestina, yaani wakristo wapo radhi kusikia waisrael ambao ni wayahudi wanawazuia waumini wa kikristo kufanya ibada kanisani na wao wanaoshabikia manyanyaso wanayokumbana nayo wenzao, kwa kweli inasikitisha halafu kuthibitisha Kuwa ninyi ni wavivu wa kusoma huwa mnashindwa hata kugugo mambo machache kuhusu hiyo Israel mñayoishabikia, ukisoma kwa wikipedia maelezo kuhusu Israel kwenye suala la kidini ni Kuwa asilimia kubwa ya waisrael ni wayahudi then wanafuata waislamu na waliobakia kwa uchache wao ni wakristo na waumini wa dini nyinginezo, lakini hali ni tofauti huko ghaza ambapo majority ni waislamu then wakristo wapo nafasi ya pili kwa uwingi ila unalikuta jitu kutoka tz anasema bora tu hao wapalestina wafe bila kujua Kuwa wakristo wenzake nao pia ni wahanga wa vita.
Huyo hajasoma sio dini hata mila kabisa wanakataa , zipo mila ukizaa nje ya ndoa unatengwa wewe na mwanao .
 
Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?

Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?

Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.

Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?

Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .
Haya zibadilishe,peleka muswada wa kubadilisha hiyo sheria kwenye Quran kwa mwenye Quran yake.
 
Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?

Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?

Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.

Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?

Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .
MIrathi ya ki-islamu inaongozwa na Quran.
Surat Al Nisa 4: na kuendelea inaongoza na ni muongozo wa "mungu'.
Unataka tu-amend Quran?
 
Katika Uislamu kitendo hicho cha zinaa ambacho kimefanywa na mwanaume na mwanamke ndio makosa na waliofanya wanafaa waadhibiwe hapa duniani ili wasafishwe kwa kosa lao hilo hadharani. Na Allah (Subhaanahu Wa Ta’ala) Ametuagizia Tusikaribie kabisa zinaa (17: 32). Lakini tufahamu ya kwamba yule mtoto anayezaliwa hana hatia yoyote. Allah (Subhaanahu Wa Ta’ala) Anasema:

“Na kila nafsi haichumii ila nafsi yake. Na habebi mwenye kubeba mzigo wa mwenziwe. Kisha marejeo yenu ni kwa Mola wenu Naye Atakuambieni mliyo kuwa mkitofautiana” (6: 164).

Na Mtume (Swalla Allaahu ‘Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) amesema: ((Kila kinachozaliwa kinazaliwa katika Uislamu .....)) l-Bukhaariy).

Na haifai kwa Muislamu kumuita mtoto aliyezaliwa kwa jina la mwana-haramu kwa sababu mtoto mwenyewe si wa haramu bali kitendo chenyewe ndicho haramu. Na ieleweke kuwa mtoto huyu hataitwa kwa jina la huyu mwanaume aliyezini na mamake kwa sababu kisheria si mtoto wake wala hawa wawili hawarithiani kabisa. Mtoto huyu hatamrithi huyo mwanaume na huyo baba hatamrithi mtoto huyo. Lakini mtoto anaweza kumrithi mama yake na mama kumrithi mtoto wake.

Tanbihi kwa kila mmoja wetu ajichunge sana ili asiingie katika madhambi haya ya zinaa. Na ndio sheria ikafanya ndoa kuwa rahisi na ikaweka adhabu kali kwa wenye kuzini.
 
Sioooo babake kwa kutomb..... ovyo
Mtoto wa nje hamfahamu baba'ke mpaka aambiwe na mama'ke, wengi wanabambikiwa tu.

Watoto wengine mpaka wanasikitisha, kila nwanamme anaeingia kwao anaambiwa "mwamkie baba"ko".
 
Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?

Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?

Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.

Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?

Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .
Kama sheria ndiyo iko hivo basi wasinung'unike ISMAEL (ISHMAEL) kunyimwa urithi wa ardhi ya mzee IBRAHIMU, maana ISHHAKA (ISAKA) ndiye alikuwa mtoto wa ndoa
 
Hizi tamaduni za kigeni wanazoita dini hazitufai kabisa sisi waafrika, tuache kufuata hizi mila zao walizoweka kwenye maandishi na kutudanganya kwamba ni maneno ya Mungu kisa tu walikuta mababu zetu wakiwa wajinga na washukuru Mungu walikuja enzi hizo ingekuwa leo hapangetosha.

Kwa mila zetu sisi waafrika kwa mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa ni uamuzi wa mwanamume kuamua aidha anakubali kum-adopt kama baba yake mzazi na kama ni hivyo basi mtoto anakuwa na haki zote kama watoto wengine wa kuzaa huyo mwanamme.

Lakini endapo mwanamme hayuko tayari kum-adopt huyo mtoto basi mama wa mtoto atamuacha huyo mtoto kwa bibi mzaa huyo mama na atalelewa hapo maisha yake yote bila ya kuwa na mafungamano yoyote na yule baba wa kambo na familia yake.

Hivyo ndivyo tunavyofanya sisi waafrika na ni vema tujivunie utamaduni wetu.

Kusema njia ni kuacha zinaa ni kukosa tu uelewa kwani zinaa sawa na dhambi nyinginezo haiwezi kwisha, binadamu tunaishi kwa kufanya makosa na ndio maana tunatofautishwa na malaika na hakuna siku tutaweza kuwa "Perfect" Never on earth na hakuna nchi itakaa isiwe na magereza, hakuna.

Mwisho, tufuate utamaduni wetu waafrika tuachane na tamaduni za kigeni kwani haziendani na utamaduni wetu.
 
Hata wakatoliki ni hivyo hivyo. Mtoto wa kambo hatambuliki.
 
Kuzaa ni maamuzi ya Mwanamke Mkuu.
Sex NI makubaliano ndio lakini kuzaa kupo chini ya mwanamke
Kuzaa ni maamuzi yenu wote wawili pale mnapo amua kufanya unprotected sex

Mwanaume ukivaa condom vizuri mwanamke hawezi kuamua kuzaa na wewe
Mwanaume ukifunga mirija mwanamke hawezi kuamua kuzaa na wewe
Mwanaume usipofanya sex na mwanamke hawezi kuamua kuzaa na wewe
 
Back
Top Bottom