Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Sioooo babake kwa kutomb..... ovyoKamlaumu mama'ko aliyekuwa anaigawa kama pipi ya sadaka.
Siyo urithi tu, hata jina la baba hupewi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sioooo babake kwa kutomb..... ovyoKamlaumu mama'ko aliyekuwa anaigawa kama pipi ya sadaka.
Siyo urithi tu, hata jina la baba hupewi.
Uasherati uruhusiwe! Kuna uwezekano pia akawa si mtoto halisi wa marehemu.Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?
Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?
Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.
Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?
Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .
msipende kuzungumzia vitu msivyo na elimu navyo
hakuna Sehemu Quran imezungumzia hilo
ni porojo za vijiweni tu
Unaweza isikutokee wewe ila kizazi chako ikayokea kwaio usijifanye mjuaji sana , kwnz ivo vitabu viliandikwa na watu tu kama mimi na wewe, hao hao ndio walitumia vitabu hivyo kuwaaminisha mababu zetu kuwa kuoa wake wengi ni dhambi na uzinzi lkn wao wametuletea ushoga na usagaji et ni halali mme kuoa mme mwenzie bullshit wandawazimu wote mnaamini dini za kuja
Huo ni mtazamo mfupi tu wala hauakisi faida hiyo,hasara anapata mtoto ambaye hajui hata nyege zenu ziliwafika kwa utaratibu upi.Sheria nzuri sana hiyo inachangia kuzuia uzinifu, baadhi ya wanawake wanajilengesha mimba za matajiri kwa mbinu zote ili watoto wao warithi mali, mtu na mkewe wamekula dagaa na sukuma wiki ili wajenge, anakuja mpango wa kando na mwanawe kwenye matanga kudai mirathi.
SwadaqdaKumbuka, mali za baba zimetafutwa na kusimamiwa kwa msaada wa mke mwenye watoto wa ndoa pamoja na msaada wa watoto wa ndoa. Sasa we utoke ulipotoka uje udai kivipi?
Mila nyingi za africa hazitambui mtoto wa zinaa, jamaa kama yupo huru aombe elimu juu ya hilo .Kuna mtu aliweka uzi kuhusu hili suala na kwenye maelezo ya huo uzi kuna sehemu ya mirathi ya kimila kwa mtoto wa nje ya ndoa.. nalo kalitizame vizuri
The best and only solution for this is to stop what called zinaa
😛 😛Sasa hivi hakuna mtu anayetaka kutumia sheria zilizopitwa na wakati kama sheria za kidini na za kimila
Huyo baba kama angekua mfuata dini kweli asinge zaa nje ya ndoa at first place
Hakuna mtu analazimishwa kutumia hizi sheria
Huyo hajasoma sio dini hata mila kabisa wanakataa , zipo mila ukizaa nje ya ndoa unatengwa wewe na mwanao .Na sio uislamu tu ambao umeweka sheria hiyo bali hadi ukristo nao umeweka wazi juu ya suala hilo.
Kama wewe ni mkristo basi unawakilisha zaidi ya 80% ya wenzako ambao hawana muda wa kusoma maandiko ya biblia na maelezo kuhusu ukristo wao.
Na ndio maana zikija mada za kidini wengi wa wakristo wanapenda kuelezea matamanio ya nafsi zao kuliko ukweli wa mambo ulivyo, mfano mzuri ni mgogoro wa Israel na palestina, yaani wakristo wapo radhi kusikia waisrael ambao ni wayahudi wanawazuia waumini wa kikristo kufanya ibada kanisani na wao wanaoshabikia manyanyaso wanayokumbana nayo wenzao, kwa kweli inasikitisha halafu kuthibitisha Kuwa ninyi ni wavivu wa kusoma huwa mnashindwa hata kugugo mambo machache kuhusu hiyo Israel mñayoishabikia, ukisoma kwa wikipedia maelezo kuhusu Israel kwenye suala la kidini ni Kuwa asilimia kubwa ya waisrael ni wayahudi then wanafuata waislamu na waliobakia kwa uchache wao ni wakristo na waumini wa dini nyinginezo, lakini hali ni tofauti huko ghaza ambapo majority ni waislamu then wakristo wapo nafasi ya pili kwa uwingi ila unalikuta jitu kutoka tz anasema bora tu hao wapalestina wafe bila kujua Kuwa wakristo wenzake nao pia ni wahanga wa vita.
Haya zibadilishe,peleka muswada wa kubadilisha hiyo sheria kwenye Quran kwa mwenye Quran yake.Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?
Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?
Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.
Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?
Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .
MIrathi ya ki-islamu inaongozwa na Quran.Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?
Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?
Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.
Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?
Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .
Mtoto wa nje hamfahamu baba'ke mpaka aambiwe na mama'ke, wengi wanabambikiwa tu.Sioooo babake kwa kutomb..... ovyo
Onesha hivyo vifungu unavyosema, cha "torati" na "Qur'an".Quran ni Version ya Biblia hasa Toratî.
Nikupe kîfungu kwenye Biblia kinachoonyesha mtoto wa nje hapewi Urithi?
Kama sheria ndiyo iko hivo basi wasinung'unike ISMAEL (ISHMAEL) kunyimwa urithi wa ardhi ya mzee IBRAHIMU, maana ISHHAKA (ISAKA) ndiye alikuwa mtoto wa ndoaNiende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?
Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?
Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.
Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?
Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .
Nakazia ...Kama sheria ndiyo iko hivo basi wasinung'unike ISMAEL (ISHMAEL) kunyimwa urithi wa ardhi ya mzee IBRAHIMU, maana ISHHAKA (ISAKA) ndiye alikuwa mtoto wa ndoa
Kuzaa ni maamuzi yenu wote wawili pale mnapo amua kufanya unprotected sexKuzaa ni maamuzi ya Mwanamke Mkuu.
Sex NI makubaliano ndio lakini kuzaa kupo chini ya mwanamke